Pamoja sana kaka..
vitoto vya siku hizi ni sheedah . ukiwa mkali sana mtoto anaweza hata kuondoka nyumbani na usijue ameenda wapi.
So inabidi uwe Wise. Watoto wa siku hizi sio sawa na dada zetu wa miaka ya themanini/70 na mwanzoni mwa miaka ya 90.
Nilivyo kuwaga nikimuona video vixen Tunda alivyo haribikiwa halafu nikitazama cv ya baba ake mzazi Afande SabaSita nilikuwa nashangaa sana aisee na kuona kama mzee Sabasita anazingua .kumbe kuna umri binti akisha fika baadhi ya mambo huwezi kumzuia zaidi ya kumuachia Mungu. P funky kwa Kajala, baba ake Lulu, baba ake Wema, etc etc.
Mtoto wa kike alie balehe huwezi kumzuia kumiss behave ( kwa mfano kugongwa). Unacho weza kufanya ni :
1. Kumuwekea mazingira magumu sana ya kupata nafasi ya kugongwa. Yani hata akienda kugongwa basi awe amekulia timing ya hatari sana.
2. Kumchelewesha kuanza kugongwa. Badala ya kuanza kugongwa akiwa na miaka 13 basi at least aanze akiwa na miaka 17/18/19.
Ukiujua ukweli utakuweka huru