Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Huyu Brig General hakuwa amestaafu? Duh wanasafirisha au? MzeeBrig General Robinson Mboli Mwanjela ameagwa leo, asubuhi saa tatu pale Lugalo, na saa saba baada ya misa katika kanisa la Wazo Hill KKKT.
Pale Lugalo zilitolewa heshima zote za kuaga kijeshi, na procession ya kuutoa mwili mortuary ilikuwa very touching.
Kule Wazo Hill Majenerali Mboma na Mwamunyange wamemwagia sifa za kazi yake kwa Ofisa huyu wa ngazi za juu aliyekuwa a very humble doctor.
Ni Young Dee siyo Young Killer!
kidogo nitokwe chozi, watu wema hawadumu .. sadTrue saying it was a very touching moment kwa kweli..
REST IN POWER BRIG GENERAL
Huyu Brig General hakuwa amestaafu? Duh wanasafirisha au? Mzee
Young D
Ilikuaje akawa na itikadi za Mboga wakati mshua ni Mtu smart ? .
Manzi😂,dume, ana mapupu huyoHuyu manzi cocastic katoa boko hapo
Ma chanjaMwache aingie kingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah.Hawa washikaji zangu wewe waache hii ni moja kati ya line za mashairi ya joslin kwenye niite basi mpenzi...
Ombi: Hili nalo cocastic ukalitizame..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli MkuuKuna wasanii wengi tu wamekulia familia mambo safii na baba zao watu smart kiakili .
Wema sepetu. Baba yake kashika vyeo kibao vikubwa mpaka ubalozi.
Irene uwoya baba yake rubani
Cyril kamikaze mama yake alikuwa mkurugenzi.
Young D baba yake generali wa jwtz
TUNDA wa whozu baba yake sabasita ni askari sniper mwenye heshima kubwa ndani ya jeshi la polisi. Na hata majambazi wanamuogopa.
Shaaa wa master jay. Baba yake professa udsm
Master jay producer baba yake alikuwa mkurugenz Tanesco.
Na wengine kibao sijawataja.
Wazazi mambo safi ni open minded wana tabia ya kuwaacha watoto wao wafanye wanachotaka..
Hii ni hii konyagi ninayokunywa hapa au mbona sielewi Basi Nenda unanichanganya ujueee🤣🤣🤣Manzi😂,dume, ana mapumbu huyo 🤣🤣
Hata sitakuamini eti wewe dada mzurimzuri una makende kama sie au ni ule uzi wa mtu mwenye jinsia mbili uliwachanganya hawa jamaa wakashindwa kujielewa 🤣🤣🤣
Mwache ajichanganye..Manzi😂,dume, ana mapupu huyo
Hapo Kwa mike t umechemka... Yeye ni mnyaki Sema wazazi wake wameloea iringa na kupiga maskani..Jina la Mwa--- sio kwa wanyakyusa pekee, limesambaa kwa makabila ya kanda za juu kusini.
Mike tee jina lake ni Mwakatundu lakini ni mhehe,
Nilikuwa na rafiki baba yake yupo jeshini anaitwa Mwamanga lakini alikuwa mbena,
Wapo kina Mwakipande ni wakinga,
Wapo wanaitwa kina mwashinga ni wasafwa, n.k
hata chifu mkwawa alikuwa na jina la Mwamuyinga.
Point yangu kuu ni kwamba tusiwe na haraka kufanya hitimisho
Alafu kwenye sinaga swaga no 6 ya young killer kuna mstari ana mdisi young d anasema anasikia "ana bar kwa nyuma"[emoji1]Kwa hiyo dogo akashindwa kufuata nyayo za mdingi akaamua kuwa mfokafoka![emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa sanaaa mbavu cnaa, sasa wee una amini nn? Au unataka kuamini nn?Hata sitakuamini eti wewe dada mzurimzuri una makende kama sie au ni ule uzi wa mtu mwenye jinsia mbili uliwachanganya hawa jamaa wakashindwa kujielewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]