Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"