Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Nimeshangaa sana

Hawa watu wakienda kwa didy siku kibao wakahudhuria party

Hawajatuambia walichoona chochotee huko

Leo hii mnakuja

Ati pdidy akitualika chimban kwake

Sijui nani akawambia msiende mkaondoka bila kuoga

Huyu mwingine anasema ooh kweli tulialikwa kwa didy

Ila kuna mambo yalifanyika kwenye party siwezi kuyaongea hadharan

Yapi??tutajuaje kweli hamkuoga na mkakimbia

Tutajuaje hamkwenda chumban kwa didy.....

Kama mlikuwa kwa party mnasema kunamambo yalifanyika OK

Hamwezi kuyaweka hadharan
Mambo gani

Na kwanini hamtuamboa mkivyorudi mlijua siri Mungu hadhihakiwi

Wenzenu wameanza itwa fbi wote wakioshiriki ile party

Mnafundisha nn watoto wetu

G2k
Didyoil com
 
Mkuu hizo clip ni za muda mrefu walifanyiwa interview na millard ayo kipindi crew nzima ya Wasafi walivyoenda marekani hakuna sehemu Diamond kazungumza kuhusu Pdidy sema baada ya scandal za Pididy kuibuka kipindi hiki ndio zikaibuliwa hizo clip
 
Waseme tu ukweli kama mafuta yaliwaingia. Wanaogopa nini? Wajikaze kiume waseme ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…