Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Sasa Didy ndio anapenda waliokosa nyama hao na si umesikia aliwaita chumbani wakaangalie tv? Alafu Tale alivyo zwazwa eti oooh jamaa akatukataza hivi kweli mtoto wa kiume uitwe na kidume mwenzio njoo chumbani tuangalie movie na sebuleni ipo pia ? Masikini Tandale president
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Je ni mambo gani waliyoyafanya ambayo Mond mwenyewe alisema hayapaswi kuwekwa public?

Au alipapaswa papaswa tu?

Alivyo ona wese linaletwa akakimbia...😄😄
Sema mnawaza ngono ndio maana akili yako inaenda mbali Pdidy ukiacha haya mambo yake ni mtu ambaye anaujua mziki vizuri kama ingekuwa Diamond anamaanisha hivyo wala asingetamka kabisa hilo neno
 
Ni tajiri wa pili kutoka Jay-Z
Ila naona kwa kuwa aliingia kwenye umalaya na madawa ya kulevya ambayo vijana wengi wanayapapatikia vya bure
Hiyo imemfanya wasanii wakiomba wapige show au kupanda jina ndio anatumia mwanya huo
Mbona tajiri wa kwanza hana makuu?
Subiri, it's just a matter time. Issues za Bill Cosby na R Kelly zilikuja unexpectedly sasa behind the curtain kuna rumors nyingi nyingne zinamuhusu Jay Z, tuendelee kula/kunywa mtori nyama ziko chini.
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
Unambiwa ukiona Manyoya.....ujue
 
Back
Top Bottom