Hata kujua nini unatakiwa kufanya, na nini hustahili, inahitaji akili.Babu tale anakosea sana kuliingilia hili swala kisiasa. Atayaona matokeo yake. Bora angekaa kimya au angeiga busara za Diamond mwenyewe
Achana na maneno ya mtaani hakuna pesa za mapepo, pesa yote inatengenezwa ulaya, tafuta pesa wewePesa tunazo za wastani na halali!! Nyie logeni,ueni na muingie frimasoni kulazimisha utajir wakipepo!! Tamaa mbele...
Mazingira walioishi kina Marley na Makeba ni tofauti na haya ya Tanzania...kuna suala la makatili vs wanyonge.
..upande wa dhuluma vs haki.
..mwanamuziki mkubwa kama diamond hatakiwi awe upande mmoja na makatili wanaodhulumu haki za wanyonge.
..diamond ajifunze toka kwa bob marley, miriam makeba, mohamed ali, na wengine waliosimama imara kutetea haki.
Wote uluowataja walipokuwa wabunge ulisonga mbele kwenye nini?Mimi mpaka kesho ukiniambia tale ni mbunge huwa siamini. Imagine tu Tale ni Mbunge then kina Lissu, Mbowe, Lema, Sugu, Zitto, Heche, Msigwa eti sio wabunge. Watanzania tujitafakari kama tunataka kusonga mbele.
Hawezi jifunza huyo mkuu 🤣🤣 Yaan huyo jamaa utaumiza akili yako tu, ni totally hopeless, low IQ.Mkuu samahan, sio kila mtu humu ni mwanasiasa au yuko upande fulani.
Jaribu kuwa objective wakati mwingine.
Angalia majibu ya Diamond kuhusu kadhia hii utajifunza kitu.
Siyo kweli,diamond ni msanii lakini ni mwananchi wa Tanzania hivyo ana haki ya kukipenda/shabikia chama chochote nchini.Mwanaharakati si mwanasiasa. Mwanaharakati hupiga kote kote......Ukweli uko wazi, akiwa kama mwanamuziki maarufu Diamond na wanasanii wengine wote alipaswa kuwa neutral kama dada Judith Lady Jaydee. Kujitanabaisha kuwa wao ni ccm au cdm kwa waziwazi pasipo haya wamekosea sana. Siku wanamuziki vipenzi wa upinzani wakiwa nominated nao watakumbana na zengwe, na ikitokea chama kingine kikachukua nchi hata kama ni kwa kutotarajia, wasanii mashabiki wa ccm lazima watafanyiwa zengwe.
Music is a universal language, haipaswi mwanamuziki attached kwa tabaka lolote la kisiasa au chama cochote
soma upya nilichoandika. hasa mstari wa mwisho. Nimesema music is a universal language inamgusa kila mtu. ukijiegemeza upande mmoja upande mwingine lazima ukurushie mawe. na nimesema hata waliojiegemeza upande wa upinzani hasa chadema nao watarajie ipo siku watarushiwa mawe.Siyo kweli,diamond ni msanii lakini ni mwananchi wa Tanzania hivyo ana haki ya kukipenda/shabikia chama chochote nchini.
Siasa siyo chuki mkuu.
Angalia washabiki wa YANGA,walimchangia MANARA alipoumwa hali ya kuwa yupo simba
DIAMOND ni mshabiki lialia wa YANGA,lakini sisi SIMBA tunanunua video zake.Mo anauza bidhaa zake kwa wanasimba na wanayanga
MWACHENI KIJANA WETU AFANYE MUZIKI,wivu tu!
Wanafiki lazima mjibiwesoma upya nilichoandika. hasa mstari wa mwisho. Nimesema music is a universal language inamgusa kila mtu. ukijiegemeza upande mmoja upande mwingine lazima ukurushie mawe. na nimesema hata waliojiegemeza upande wa upinzani hasa chadema nao watarajie ipo siku watarushiwa mawe.
Lady Jaydee analijua hilo, ndiyo sababu tangu mwaka 2000 aliweka wazi kuwa mashabiki wake ni wa vyama vyote vya siasa, alikataa kujihusisha na chama chochote cha siasa iwe mikutano ya ndani au ya nje au kampeni. Jaydee hata akiwa nominated hakuna mtu atathubutu kurusha mawa kwa kigezo cha siasa kwamba yuko chama fulani.
Kwa kuwa Diamond ameshajitanabaisha kwa kutumia haki yake ya utanzania kuwa yeye ni mwana ccm kindakindaki, ni lazima wasio wana ccm wamrushie mawe. Ukipingana na hilo ujue wewe ni mwehu. Anachopaswa kufanya ni kuithibitishia BET kuwa hakubaliani na mawe anayorushiwa na atoe sababu za msingi na hasa ikiwa BET haipendi influence za siasa kwa wanamusic wanaokuwa nominated na wao. Huo ndiyo kweli, mengine yote ni porojo tu.
Aliyekosea zaidi ni Tale, ambaye tayari ni mbunge na ni meneja wa diamond kwa kuanza kupersonalize issue hiyo. angenyamaz akimya, yeye kama meneja wa Diamond, akasuka mikakati kulishughulikia jambo hilo kisayansi.
Chadema hawawezi kuelewa hiloSiyo kweli,diamond ni msanii lakini ni mwananchi wa Tanzania hivyo ana haki ya kukipenda/shabikia chama chochote nchini.
Siasa siyo chuki mkuu.
Angalia washabiki wa YANGA,walimchangia MANARA alipoumwa hali ya kuwa yupo simba
DIAMOND ni mshabiki lialia wa YANGA,lakini sisi SIMBA tunanunua video zake.Mo anauza bidhaa zake kwa wanasimba na wanayanga
MWACHENI KIJANA WETU AFANYE MUZIKI,wivu tu!
Mkuu wewe najua una uelewa mzuri tu na hata jibu lako linajielezasoma upya nilichoandika. hasa mstari wa mwisho. Nimesema music is a universal language inamgusa kila mtu. ukijiegemeza upande mmoja upande mwingine lazima ukurushie mawe. na nimesema hata waliojiegemeza upande wa upinzani hasa chadema nao watarajie ipo siku watarushiwa mawe.
Lady Jaydee analijua hilo, ndiyo sababu tangu mwaka 2000 aliweka wazi kuwa mashabiki wake ni wa vyama vyote vya siasa, alikataa kujihusisha na chama chochote cha siasa iwe mikutano ya ndani au ya nje au kampeni. Jaydee hata akiwa nominated hakuna mtu atathubutu kurusha mawa kwa kigezo cha siasa kwamba yuko chama fulani.
Kwa kuwa Diamond ameshajitanabaisha kwa kutumia haki yake ya utanzania kuwa yeye ni mwana ccm kindakindaki, ni lazima wasio wana ccm wamrushie mawe. Ukipingana na hilo ujue wewe ni mwehu. Anachopaswa kufanya ni kuithibitishia BET kuwa hakubaliani na mawe anayorushiwa na atoe sababu za msingi na hasa ikiwa BET haipendi influence za siasa kwa wanamusic wanaokuwa nominated na wao. Huo ndiyo kweli, mengine yote ni porojo tu.
Aliyekosea zaidi ni Tale, ambaye tayari ni mbunge na ni meneja wa diamond kwa kuanza kupersonalize issue hiyo. angenyamaz akimya, yeye kama meneja wa Diamond, akasuka mikakati kulishughulikia jambo hilo kisayansi.
MjingaBabu tale anakosea sana kuliingilia hili swala kisiasa. Atayaona matokeo yake. Bora angekaa kimya au angeiga busara za Diamond mwenyewe
Wanamwonea tu kijana yule.Yaani mtu asipokuwa kwao tu basi anakuwa aduiChadema hawawezi kuelewa hilo
Walioanzisha habari ya kumkong'oli(kumsakama) diamond ndio totally hopeless,low IQHawezi jifunza huyo mkuu 🤣🤣 Yaan huyo jamaa utaumiza akili yako tu, ni totally hopeless, low IQ.
Sasa inaonekana diamond ana akili zaidi kuliko chama kizima kwa jinsi anadili na hii ishu(bwa mdogo kaonyesha ukomavu)sio tu kwenye muziki bali hata siasa(ccm inampika vizuri)Ndiyo maana wakaitwa nyumbu
Huu ni mtazamo wako tu,lakini wala haiko hivyo,Babu tale ana akili tena vizuri na ndio maana WCB inasonga mbele,lakini bado analisemea jimbo na kuishauri serikaliMtu anayemnukuu Babu Tale,huyo hana tofauti naye,empty,empty,empty!!
Ukuwa na utimamu kichwani,huwezi hata kujinasibisha na mtu kama Babu Tale.
Babu Tale ndio mdudu gani?
Alishindwa JIWE yeye ataweza kupambana na Lissu?
Asakamwaje? Je hao wanaharakati hoja yao ni nn? Je hoja yao ina mashiko?Walioanzisha habari ya kumkong'oli(kumsakama) diamond ndio totally hopeless,low IQ