kuna siku hawa serikali watatahitaji kupima maji yanayotumika kubatiza watu ...au hata haya majivu niliyopakwa leo...
ki msimgi hapo hawapimi dawa ila wanatafuta kipima nguvu za Mungu.......mungu anaweza kuniotesha mimi hapa akaseam: mwanangu Edson huo mti wa mlonge unaouona hapo mbele ni dawa ya kutibu a, b, c, d, e, f, g, ect...chukua majan yake chemsha na kisha wape watu na watapona....kupitia wewe nasi mtu mwingine.....
jaman kuna miti mingi ya aina hii..lakini Mungu kauchagua mlonge huu na mimi pekee ndo nitoe dawa.....sasa hapa si mti wa mimi tunapaswa kupimwa...maana mimi ni chombo tu ila mungu kupitia mimi anatibu watu.....hawa serikali ni wapumbavu wakubwa......
maana hapa wanatak kumjaribu Mungu...kwa nini wasitumie wale waliopina kujiridhisha? kipindu pindu huwa kinachukua mda gan jamani...shemeji yangu schola amepona kisukari na mpka leo amepona sasa, alikunywa sawa ya babu sasa hawa wanaema nini
hapan ndipo pa kuandamana ndugu zangu......