Baby dady Drama: Ni ngumu sana kushindana na baba wa mtoto ukianzisha mahusiano na single maza, ngumu sana!

Kemea kuoa single mother maana kifo nje nje kama unataka uanze kujawa na gas tumboni oa single mama Niko pale. 👉
 

So bado anakupigia

Aisee hili ni gap
 

You guys are gender discriminatory

Why focus uwe kwa mwanamke aliyezaa

Vipi man aliyezaa yaani single father
Kwani yeye sio tatizo kwa mwanamke ambae hajazaa na anaolewa na man mwenye mtoto already

Nataman kuona nyuzi kama hizo pia

Maana changamoto
Za hivi ni hata kwa single fathers pia
 
Single father anaamka anaondiloka kuwajibika iyo shida yake unakutana nayo wapi changamoto za single father na single mother zipo tofauti haziwezi lingana
 

Ni ujinga kuwa na notion kama hizi.

Unaweza kuoa huyo asiye single mother na ukawa unagongewa kama kawaida na watoto wa mjini au na ex wake .

What about single father, mbona
Shida inakuwa addressed kwa single mothers tu

Oa mtu ambae mna terms zinazofanana

Unaona mtu kisa sio single mother ndio in
Two years inakuwa juu ya mawe dadeki
 

Sasa huoni kuwa huyo dada yako ni hakuna kitu kichwani

Yaani hana intellectuel virtues , hana character development and she cannot learn .

Halaf nawaona mpo kwenye general fallacy yaani mna generalize as if ndio ipo ivo kwa watu wote

Proportion ya watu wa hivo ni asilimia ngapi in a given sample ?

Kuna haja ya kufanya research maana hizi uzi ni Kama zinamshambulia single mother leaving behind single fathers

, haya mambo ya uaminifu haina uhusiano na usingle mother unless tufanye research tuje na hard evidence

Lakini pia tufanye research za wanawake kuwa na single fathers as well , implications na consequences wanazo kutana nazo kama jinsi
Inavoelezwa kwenye consequences za wanaume wanaokuwa na single mothers

Otherwise hizi nyuzi ni subjective and bias
 
Haikuwa bahati mbaya na sijawahi sema nilipata bahati mbaya ila tambua kuwa simfahamu huo utamu wa ngono kutoka kwake....I mean sikupata Radha yoyote

Ulipata ladha sehemu nyingine ?
 
Yaan inamaana jamaa alikua anakurukiarukia tu juu yako wakati huo huna time nae amalize aende?

Babu acha uhuni amesema alijiachia ila hakusikia raha

Inawezekana ana low libido sana
It’s common mbona

Labda muulize ana gets wet sana au kidogo

Wetness yake inachafua underpants wakati wa kuaandaana au ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…