"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Mwanamke hajawahi kuwa tegemezi, bali rafsiri, hata anayekaa nyumbani huku aki manage familia huyo ni mfanyakazi kamawafanyakazi wengine......
 

Jukumu gani? Kutoa sex ni jukumu?

So ikitokea umepata Ajari na uwez tena kufanya sex Kwa mwaka mzima means utakuwa out of market?
 

Umeongea vizuri kabisa mkuu ilaaa umeisoma hiyo attitude nyuma ya hiyo thread na kuielewa

Mwanamke atunzwe ni sawa Ila mwanamke asiwe TEGEMEZI na MDUMAVU kimwili, kiakili na kiroho..

Mwanamke ambaye hawezi hata kupata fikra ya kujilisha na kujipendezesha bila nwanaume. Anaweza kufanya nini maishani

Ulichokiongea ni sawa kama ni for fun maana ndio malipo ya huduma lakini kama upo kwa serious relationship. Mwanamke anatakiwa akuelewe lakini pia achangie ukuaji wako kiakili, kihisia, kifedha, kiroho etc..

Unless una vipaumbele tofauti mkuu na ni sawa pia
 
Mwanamke hajawahi kuwa tegemezi, bali rafsiri, hata anayekaa nyumbani huku aki manage familia huyo ni mfanyakazi kamawafanyakazi wengine......
Naamini hii mentality ya kipuuzi kabisa huwezi kuja kuwapandikiza mabinti zako mkuu

Na ndio maana wanawake wengi sana hii ndio β€œajira” pekee wameikodolea macho....... ukimu approach siku ya kwanza tu anaanza kudai ujira πŸ˜‚
 
Mkuu, umependeza sana kwenye Avatar.

Hiyo nguo imekutoa barabara. Ila kwapa kama vile linapata uweusi kupitiliza. Usitumie sana Deodorant. Ama la, nunua zile Classic.
Ndio maana ana ombaomba..,KWAPA tu linamshinda! Alafu sura imekomaa daah!
 
Naamini hii mentality ya kipuuzi kabisa huwezi kuja kuwapandikiza mabinti zako mkuu

Na ndio maana wanawake wengi sana hii ndio β€œajira” pekee wameikodolea macho....... ukimu approach siku ya kwanza tu anaanza kudai ujira πŸ˜‚
In short wewe hujawahi kumanage familia.
 
Kwani wewe ni Mlemavu?
 
Wewe cute mbona povu sana unadhani wanaume wote tunafanya hivyo wewe mzodoe huyo huyo zoba wako wengine tuache huru.

Lkn kusifiwa umependeza hata kama sijachangia chochote na siyo hawala yako kosa liko wapi?

Kukusifia umependeza , mlimbwende , Mungu alikuumba wa pekee ili ni ingize gia ya mtongozo shida Iko wapi?

Naweza kurupuka tu nakutana na wewe barabarani natoa bungutu la Hela nenda shopping babe 😘 bila kufahamiana na wewe

Cute cute cute punguza povu mama we love some one who care herself msafi natural

Aiseee
 
Jukumu gani? Kutoa sex ni jukumu?

So ikitokea umepata Ajari na uwez tena kufanya sex Kwa mwaka mzima means utakuwa out of market?
Yote niliyoyataja hapo, ndio kwani kuna mwanaume anaweza kuwa na mwanamke ambaye hampi sex, kutoa sex ni jukumu kwa kila jinsia
 
Mnajipa majukum kwa lazima baadae mnataka kujiua wakiwatosa.

Huyo unayemfanya kama mlemavu aliye na ukoma ni binadamu mwenzako.

Sasa mtu aliyekuwa anatembea na kufanya kazi unataka umfanye kama Zumugulu eti umezuia wanaume wengine kwani yupo kwa ajili ya kuuza Nyapu tu?

Hizi akili Wanawake wataendelea kuliwa sana hadi 0713.

Kwanini ionekane K ni kitga uchumi?

bahati Mbaya sana wakati wewe unahudumia na kuiba kazini ili uhonge kuna Mchizi pembeni katulia anaichakata bure tena anavyotaka
 
Harafu jiulize kama Kila mwanamme akakubariki Kwa kakuambia mbaya na mshamba hebu nambie povu lake cute
 
Mwanamke kusifiwa humfanya ajisikie vizuri, sema wewe una makasiriko yako tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…