"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Sasa sex unaona ni kitu muhimu cha kushindanisha na hela? Pesa zinaenda zikiongezeka mwili unaenda ukizeeka. Wewe ukizeeka utatoa nini sasa kwa wanaume ili upewe hayo mahitaji unayoforce kupewa as if baba yako aliacha mirathi yake kwa wanaume?

πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hamnaga shukrani nyie,nakununulia nguo na juma unaenda kuvuliwa na james si bora nile kitimoto choma tumbo lipendeze!!wanawake baadhi ni too selfish!
 
cocastic umependeza leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…