"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Ndo tunapima kama utaajibika kunitunza utakaponioa au utanioa niende kuzeeka mapema ,Kama uchumbani uliajibika ipasavyo huko mbeleni ni raha,Kama uchumbani uliniita ombaomba huko mbeleni ni majanga
Unataka ujue matokeo kabla ya kufanya mtihani? Unatakiwa kwanza uishi ndipo ujue uwezo wa mwanaume sio akuonyeshe sasa atakuonyesha hadi lini yaani kila siku awe anakununulia tu vitu ili wewe ndio ujiskie umekamilika? [emoji848]
 
Hapo ndo tunapo tofautiana, wewe unaona mzigo ila mm sioni mzigo kwasababu nimeamua kijimilikisha.

Hata mm mpenzi wangu anafanya kazi ila hela zake ni za kwake, mimi sitaki hata kuziona.
Unajimilikisha malaya, we unatoa hela ya service, wahuni wanakula for free.

We endelea kutunza chakula cha wote.
 

Vijana pigeni sana sala, hawa ndo wanawake mnqoenda kuoq, na hizi ndo akili zao.
 
Kwani nikikusifia napata nini atiii???? Gharama zangu kwako ziandane na ninachokipata!
 
House chores linabaki kuwa jukumu la mke, solely for her, hapo hakuna mjadala🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…