Yanafikirisha kwa wapumbavuKuna jirani yangu hapa Chadema damu damu, juzi tunapiga vyombo akasema anahisi Mbowe ni sehemu ya waliopanga njama za kumuua Lissu, kwa umri wake 60+ na mazingira yetu ya kijijini maneno yake yanafikirisha Sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanafikirisha kwa wapumbavuKuna jirani yangu hapa Chadema damu damu, juzi tunapiga vyombo akasema anahisi Mbowe ni sehemu ya waliopanga njama za kumuua Lissu, kwa umri wake 60+ na mazingira yetu ya kijijini maneno yake yanafikirisha Sana!
Mambo ya saisa sio ya muhimu sana Bali uchumi ndio maana hakuna Mtanzania anahangaika sana na mambo ya saisa za Wapinzani nimiwemo Mimi.
Kwangu Cha muhimu ni uchumi uwe unafanya vizuri tuu
Lissu kwa sasa kaigia cha kike, ni bora aachane na siasa arudi kufanya kazi yake ya uwakili full time.Mambo ya saisa sio ya muhimu sana Bali uchumi ndio maana hakuna Mtanzania anahangaika sana na mambo ya saisa za Wapinzani nimiwemo Mimi.
Kwangu Cha muhimu ni uchumi uwe unafanya vizuri tuu
Hahaha wizi wa kura haukuanzishwa na Magufuli, yeye aliukuta na akauendeleza. CCM miaka yote wanaiba kura, kwa hili msimsingizie Magufuli.Wakati Jiwe ndio muasisi wa huu wizi wa kura sema tu hakuua kwenye uchaguzi.
Hahaha! Unajitekenya na kucheka mwenyewe, siyo?Kadri muda unavyokwenda TL anapunguza ukali wa kauli zake juu ya JPM .Kuna uwezekano kuna Mambo anaendelea yaliyokuwa yamejificha .
Kuhusu mikataba mibovu alishakiri kwamba kwenye Mali za Nchi JPM hakupenda zichezewa akimaanisha JPM alikuwa mzalendo.
Baada ya vifo uchaguzi Serikali za mitaa 2024 kakiri Magufuli hakuua mtu 2019
Katika kuazimisha miezi 6 ya Makonda alitwambia JPM he was a good man kuna Tundu lissu atakuliana na Mh Makonda
Tuendelee kusubiri .
Fake ID yako ndiyo inayokupa nguvu ya kuandika unachoandika , Jifunze kuheshimu watu mjinga weweKitu nikichogundua humu jukwaani wote wanaotumia majina yao halisi ni wapuuzi karibu na upumbavu. Ni wachumia tumbo wanaotaka teuzi na hawawezi kusema kweli, nitajieni mmoja mwenye akili
Mkuu unachokitumia punguza utadata
Anamaanisha unavuta bangi sana,Kivipi muu
Crap!Kadri muda unavyokwenda TL anapunguza ukali wa kauli zake juu ya JPM .Kuna uwezekano kuna Mambo anaendelea yaliyokuwa yamejificha .
Kuhusu mikataba mibovu alishakiri kwamba kwenye Mali za Nchi JPM hakupenda zichezewa akimaanisha JPM alikuwa mzalendo.
Baada ya vifo uchaguzi Serikali za mitaa 2024 kakiri Magufuli hakuua mtu 2019
Katika kuazimisha miezi 6 ya Makonda alitwambia JPM he was a good man kuna Tundu lissu atakuliana na Mh Makonda
Tuendelee kusubiri .
Elimu, Elimu, Elimu.Kwanza Lisu hajaeleza huo u hovyo wa Mkataba wa DP World vs Tanzania.
Pili sitarajii maoni tofauti kutoka Kwa Lisu kama Mpinzani lakini kama mtu mwenye mlengo wa ujamaa au msimamo mkali wa Utaifa yaani Nationalist sawa tuu na Magufuli kama alivyomuekeza.
Ni vyema ikaeleweka vizuri kwamba Samia sio muumini wa ujamaa Baki upebari na Biashara huria so anapenda kushirikiana na watu kutoka pande zozote za Dunia au ndani ya Nchi Ili kuleta Tija lakini hakuna Mwekezaji ambae atakuja kutoa Msaada lazima apate faida.
So long as huo uwekezaji unaleta Tija dhidi ya tulikotoka naunga mkono hoja.
Mara nyingi wajamaa Huwa hawafanyi uchambuzi wa jambo Kwa mapana yake ila Huwa wanaona wengine ni maadui,watu wa hivyo ndio hao wako tayari kuona maelfu Wanateseka huko Vijijini Kwa kukosa miundombinu ila wanatumia pesa zao kujenga miradi ya mapambo eg Sgr.
Ni matumizi mabaya ya akili, Rasilimali Fedha na kutokujali Kwa kujenga Sgr za mapambo Ili uonekane wa kwanza kufanya.
Akili ipi inakuongiza kutumia Trilioni 13 kujenga Sgr ya Dom-Dar badala ya km 8,000 za lami Nchi nzima? Kipi kina Tija Kwa watu?
Mjinga babaako aliyezaa mnafiki wewe, challenge nilichoandika unataka niwe mnafiki?Fake ID yako ndiyo inayokupa nguvu ya kuandika unachoandika , Jifunze kuheshimu watu mjinga wewe
Acha ujinga nyuma ya fake idMjinga babaako aliyezaa mnafiki wewe, challenge nilichoandika unataka niwe mnafiki?
Mjinga na mamaako, yupi anayetumia jina lake ana akili? Wewe unatumia jina halisi au hii akaunti yako nyingine? Nasema kweli unakasirika unataka kuniteka mbwa weweAcha ujinga nyuma ya fake id