Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Utakuwa unaishi Canada.Nyie mlikuwa mnaishi Kwa propaganda za Mwendazake.

Sasa Kwa taarifa Yako Barabara zifuatazo ni vumbi tupu.

Kigoma-Tabora
Mpanda-Sumbawanga
Kigoma-Mpanda
Morogoro -Songea
Mbeya-Tabora
Mbeya-Singida
Arusha-Musoma
Arusha-Simiyu
Njombe-Morogoro via Ifakara.
Mtwara-Masasi via Tandahimba
Morogoro -Lindi
Kigoma-Kagera

Hiyo ni Baadhi tuu ya Barabara kuu za Mikoa kwa Mikoa ambazo zimejaa mavumbi au Baadhi ya vipande Bado ni mavumbi.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Arusha to simiyu ambayo pia inafika musoma ni lami tuuu boss ilianza kujengwa siku nyingi na inapitika
 
Kuna haja ya kuifanya Central Corridor kuwa Dual carriage way.
 
Tukiwaambia kwamba hakuna alichofanya Cha maana Mwendazake kwenye Barabara za lami wakati wa Uongozi wake muwe mnaelewa.
Hapo juu umeonyesha Chuki na Gubu na Visirani binafsi Dhidi ya Hayat J.P M
Utajijiju.

====================
Sikiliza Viongozi wa Nchi yako na sio Huyu ChoisiVariabo, Viongozi hawa ndio wanaojua nini kinafanyika nchi hii kuliko huyu Shetani na wakala wa Wazungu na Mabeberu.
Hebu wasikilize viongozi wetu na kwa Umoja mumtumie maua yake Raisi Ali Hassan Mwinyi👇

View: https://m.youtube.com/watch?v=a_hFBtGem2s&pp=ygUjTXN0YWFmdSBNd2lueWkgTXNpYmFuaSBrd2EgbWFndWZ1bGk%3D

====================Na Mheshimiwa Marehemu Membe akizungumzia Barabara Tanzania

View: https://m.youtube.com/watch?v=IuR9dUnyg7c&pp=ygU2bWVtYmUgYW1rdWJhbGkgRGt0IE1hZ3VmdWxpLCB1amVuemkgd2EgQmFyYWJhcmEgTmNoaW5p Msimamizi wa Karibu Barabara zote Tanzania! (Haijawahi kutokea na Tawkimu hazidanganyi)
screenshot_20230514-154115-2-jpg.2623924
 
Kulingana na Taarifa za TANROADS,Utawala wa Magufuli ulijenga Kilomita zaidi ya 3500 elfu tatu na Miatano za Lami kwa kipindi cha miaka mitano!
Hakuna , Waziri au Raisi baye atakaekuja kumshinda Hayati Rais Magufuli kwa Ujenzi wa Barabara Nchini!

Nadiriki Kusema, hakuna barbaraba yeyote ile ambayo inajengwa, ilishajengwa na zingine zinazokuja kujengwa ambazo hazina signature ya Magufuli kutoka miaka 20 iliyopita na angalau mitano inayokuja.

Kama unabisha, katambike.
 

Soma....​

Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

≠===================

Kikwete: Hayati Dkt. Magufuli alikuwa adui mkubwa wa wanafiki na wababaishaji​


Kikwete kwenye hiyo video amefafanua kuwa wakati akiwa Rais jembe lake alikuwa waziri Dkt. Magufuli na alimpa kazi ya kuunganisha mikoa yote kwa barabara za lami na kweli mpaka anaondoka madarakani mwaka 2015 walikuwa wamefanikiwa kuunganisha mikoa yote isipokuwa katavi tu.

Kikwete amesema bila ubunifu na kujituma kwa Dkt. Magufuli isingewezekana.
 
ChoiceVariable ni mzushi, mpotoshaji wa hali ya juu kuwahi kutokea JamiiForums. Mfano mwingine ni haya maneno aliyo yasema katika Uzi huu, akitaka kuaminisha Umma kuwa maneno aliyoyasema yeye Choice ya kigaidi, yamesemwa na Naibu Waziri.

Nilishasema huko nyuma, TCRA wamshugulikie huyu bwana kwa upotoshaji, na Uwasilishaji wa Takwimu za Nchi, kwani huwa ya anatumia Fedheha na mbwembwe zingine za kupata wasomaji ambao kiuhalisia ni zile za genge lake au grupu alilolitengeneza katika Jamvi lingine Nje ya Nchi! Mbali yote Huwa anakiuka sheria za Nchi na kanuni za Usambazaji habari.
 
Inaonekana jinsigani ilikua na matarajio Makubwa toka kwa JPM. Umeropoka mpaka uongo. Mpanda to Sumbawanga ni Lami isipokua kipande Cha hifadhi ya Taifa.
Sasa Umesahau moja la JPM kuwatia mimba wewe na Mamayako hilo nalo ulisemee.
 
Tukiwaambia kwamba hakuna alichofanya Cha maana Mwendazake kwenye Barabara za lami wakati wa Uongozi wake muwe mnaelewa.

Imagine Hadi Leo hii huwezi fika Kigoma bila kutembea kwenye mavumbi na hali Iko hivyo kwenye Mikoa Mingi sana.

Sasa kipele kimepata mkunaji ambao km 51 zilizosalia zinaenda kukamilika kabla ya desemba 2024 hivyo Kigoma-Dar itakuwa lami.Kazi hii ya kutukuka anaifanya Rais Samia.

==============

BADO KM 51.1 KUUNGANISHA TABORA-KIGOMA KWA LAMI

IMEELEZWA kuwa bado kilomita 51.1 ili kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa barabara ya lami na hivyo kuandika historia ya aina yake nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Tabora- Kigoma sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 na Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1.

“Kwa kweli nimeridhika na kasi ya ujenzi sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 ambayo ujenzi wake umefikia asilimia 99”, amesema Eng. Kasekenya.

Naibu Waziri huyo amemtaka mkandarasi STECOL Cooperation Ltd anayejenga sehemu ya Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1 kufanya kazi usiku na mchana ili kuandika historia ya kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa lami mapema iwezekanavyo.

Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Kigoma Eng. Narcis Choma amesema ujenzi huo umefikia asilimia 45 na watamsimamia kikamilifu mkandarasi ili maeneo yanayoweza kuathiriwa na mvua yakamilishwe mapema ili kuepuka visingizio na kuwawezesha wasafiri na wasafirishaji wa mikoa hiyo kunufaika na barabara ya kisasa.

Zaidi ya shilingi bilioni 62.7 zinatumika katika ujenzi huo ambazo ni matapo ya ndani na mkopo nafuu kutoka mifuko ya OPEC na Abu Dhabi.

Katika hatua nyingine Naibu Waziri Kasekenya amemtaka Mbunge wa Urambo Mhe. Margareth Sitta kuhamasisha wananchi wa jimbo hilo kulinda miundombinu inayojengwa katika jimbo hilo ikiwemo taa na alama za barabarani ili kuepusha ajali na kuendana na kasi ya Serikali ya kupendezesha barabara nchini.

“Tunawajengea barabara na mzunguko wa kisasa round about ili kupunguza ajali eneo lililokuwa na kona kali na kutengeneza taswira nzuri ya Urambo hivyo hakikisheni miundombinu hii inalindwa na kuendelezwa kwani inatumia fedha nyingi za Serikali “, amesisitiza Naibu Waziri Kasekenya.

Kwa upande wake Mhe. Margareth Sitta ameishukuru Serikali kwa uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya kisasa katika wilaya ya Urambo na kuahidi kutoa elimu kwa wananchi kuthamini uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali ili kuchochea maendeleo ya wananchi.
Kigoma ni mkoa uliokuwa unatia aibu kubwa
 
Kulingana na Taarifa za TANROADS,Utawala wa Magufuli ulijenga Kilomita zaidi ya 3500 elfu tatu na Miatano za Lami kwa kipindi cha miaka mitano!
Hakuna , Waziri au Raisi baye atakaekuja kumshinda Hayati Rais Magufuli kwa Ujenzi wa Barabara Nchini!

Nadiriki Kusema, hakuna barbaraba yeyote ile ambayo inajengwa, ilishajengwa na zingine zinazokuja kujengwa ambazo hazina signature ya Magufuli kutoka miaka 20 iliyopita na angalau mitano inayokuja.

Kama unabisha, katambike.
Toa ujinga wako hapa,weka hiyo taarifa.Km 3500 unazijua au unazisikia? Alizijenga wapi ikiwa Barabara kubwa aliyojenga ni Moja tuu ya Mpanda-Tabora?
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=6aWqsbW3A8U&pp=ygU2bWVtYmUgYW1rdWJhbGkgRGt0IE1hZ3VmdWxpLCB1amVuemkgd2EgQmFyYWJhcmEgTmNoaW5p

Mtafutieni SSH sifa zingine, sio za Ujenzi wa Barabara Tanzania.

Ugawiaji wa Bandari Yes
Uangamizaji wa Wamasai Yes
Ufisadi maofisini Yes
Ukosefu wa Petroli na Dizeli Yes
Nepotism Yes
Kukanyaga Katiba Yes
yaani four R's
Repent Repent Repeat Repent

Wivu 😂😂 stuka tuko na Samia kuanzia 2021 ....

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1705138486133588268?t=6ZPCvK0myft2QwgKiwsSmA&s=19
 

Hapo juu umeonyesha Chuki na Gubu na Visirani binafsi Dhidi ya Hayat J.P M
Utajijiju.

====================
Sikiliza Viongozi wa Nchi yako na sio Huyu ChoisiVariabo, Viongozi hawa ndio wanaojua nini kinafanyika nchi hii kuliko huyu Shetani na wakala wa Wazungu na Mabeberu.
Hebu wasikilize viongozi wetu na kwa Umoja mumtumie maua yake Raisi Ali Hassan Mwinyi👇

View: https://m.youtube.com/watch?v=a_hFBtGem2s&pp=ygUjTXN0YWFmdSBNd2lueWkgTXNpYmFuaSBrd2EgbWFndWZ1bGk%3D

====================Na Mheshimiwa Marehemu Membe akizungumzia Barabara Tanzania

View: https://m.youtube.com/watch?v=IuR9dUnyg7c&pp=ygU2bWVtYmUgYW1rdWJhbGkgRGt0IE1hZ3VmdWxpLCB1amVuemkgd2EgQmFyYWJhcmEgTmNoaW5p Msimamizi wa Karibu Barabara zote Tanzania! (Haijawahi kutokea na Tawkimu hazidanganyi)
screenshot_20230514-154115-2-jpg.2623924

Huwa nasikiliza vitu vya msingi na sio propaganda za kusifia Jiwe.

Over 2,000km at par,kazi ya Samia hii


View: https://youtu.be/zQGotpiYVGc?si=d_l8ZR3eA_Y5NtNR
 
Back
Top Bottom