Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Baada ya hapo ndiyo pale watu watakapokuja kugundua kuwa Kigoma ni moja ya mikoa potential na strategic iliyopo tanzania.
Kigoma ni mkoa usiokuwa na majengo ya maghorofa, ila una hali ya hewa na ardhi yenye rutuba ambayo mikoa iliyo mingi Tanzania haina.
 
Maumivu ya wivu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ni kukosa akili pekee, wakoloni waliteta shule, makanisa, misikiti, hospitali, reli, barabara, maji n.k lakini bado tuliona hawafai, tuna taka vitu vikubwa, ni aibu na ujinga leo hii nchi kuwa gizani huku mito, gas, misitu, mapori, mifugo, maziwa, bahari unavyo unazidiwa na Zambia ambao wanategemea bwawa pekee.
 
Rubbish gani Sasa,huu ndio ukweli hakuna kitu Cha maana alifanya Mwendazake kwenye Barabara Nchi hii badla yake Samia ndio ataweka historia.
Kwa kweli akili za wewe labda ni za matopeni sababu mwenye akili timamu hawezi andika huo uchafu.
 
Vyote vitakuja baada uchumi kufunguka maana hata umeme ni tia maji tia maji.
 
Kama walikijengea shule Kwa nini mama Yako hakusoma?

Kama.walijenga saizi tunajenga za nini sasa?

Maumivu ya wivu 🀣🀣
 
Hoja ni vumbi na vyote vilimshinda Mwendazake na mama anaenda kufuta vumbi.
Hata kama ni uchawa kwa mama huwezi kudharau alichofanya jpm kwenye barabara kiasi hicho...
Ingawaje Kikwete set it all in motion kwenye barabara.
 
Hata kama ni uchawa kwa mama huwezi kudharau alichofanya jpm kwenye barabara kiasi hicho...
Ingawaje Kikwete set it all in motion kwenye barabara.
Hakilingani na sifa mnazompa.Samia anajenga takribani km 4,000 Kwa mpigo hizi ni Barabara kuu pekee sijazungumzia Tarura.

Nani aliwahi kujenga hivyo? Rais yupi? Ni mwendo wa facts tuu.

Mwisho bila kuongozwa Mwendazake hawezi kitu ndio maana rekodi yake kubwa ni akiwa chini ya Mkapa na JK ila alipokuwa yeye Rais hakuna Cha maana alifanya kwenye Barabara.
 
Vyote vitakuja baada uchumi kufunguka maana hata umeme ni tia maji tia maji.
Watu huwa wanai-rate Kigoma kwa kuangalia maghorofa pale mjini.
Kigoma ni mkoa mzuri mno ambao unaweza ukawa among the TOP 5 nchi hii. Subiri hii bararbara ikamilike, halafu watu watakuja kuona ndani ya miaka michache ijayo. Kigoma ina kila kitu isipokuwa maghorofa, halafu pia iko mpakani
 
Wewe taktaka hizo km zinajengwa wapi?

Njoo hapa ukonga uone kulivyochakaa
 
"Anajenga takribani km 4000"
Subiri azimalize hizo km ndo ulete uchawa.
Hizi barabara zimekuwa za kupokezana ujenzi tokea enzi za Mwinyi.Unless umeajiriwa juzi na wizara ya ujenzi/tanroads maana una vitakwimu vya afisa anayetumwa kufanya monitoring kwenye ujenzi.
 
Mama anaufungua Mkoa wa Kigoma kama ifuatavyo

Barabara zote za kuingia na kutoka Kigoma ziko under construction

Anajenga na kupanua Airport ya Kigoma(Gombe-Mahale International Airport) Kwa kupanua runway ,kujenga jengo la Abiria ,parking ya ndege na mnara wa kuongozea ndege ziruke usiku na mchana full taa.

Anajenga hospital ya Kanda ya Magharibi yenye hadhi ya Muhimbili

Muhimbili inayenga Branch ya Chuo Kikuu hapo

Anaipanua Bandari ya Kigoma

Anajenga meli Mpya 2 za Abiria Ziwa Tanganyika,anakafabati mv Liemba,Mt Sangara na kujenga meli Mpya za mizigo

Kuna tawi la BoT linajengwa

Kuna mradi wa grid ya Taifa wa umeme unaenda(Hapo uvinza kutajengwa substation kubwa sana itayopokea njia kubwa ya kutoka Kagera na kutoka Sumbawanga).

Hivyo ni vichache tuu kati ya vingi.
 
Hakuna Cha uchwara ni facts tuu hata kama hutaki.Zinamalizika mwaka Hadi mwaka ndio maana ya takwimu.

Na Kwa taarifa Yako kama mama atajaaliwa Hadi kufika 2030 hakuna Kipande Cha Barabara kuu Tanzania hii litakuwa na vumbi ,kote itakuwa ni mkeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…