Magufuli enzi zake umeme haukatiki , mtua akimlilia kitu kinatatulika , ujenzi wa shule, hospitali na makazi ya mapolisi wamejengewa kabla hajafa kajenga nyumba za makazi ya watu serikali zaidi ya nyumba elfu 5 nchi nzima , ongezeko la mishahara , mikopo kwa wafanyakazi na vijana , wazee kupewa posho kila mwaka na kupimwa afya zao, hata chakula , ndege za nchi , hospitali kubwa kuwekwa vifaa na vitanda vya wagonjwa , kuongezwa kwa manesi na madaktari , umeme hakukatiki sasa kwa samia nilichoona ni kimoja tu utalii baso nakuweka diamond darajani ., na kupewa dp world kila kitu basi