Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Leta za kwenu mlizodanganyia wakubwa
Magufuli enzi zake umeme haukatiki , mtua akimlilia kitu kinatatulika , ujenzi wa shule, hospitali na makazi ya mapolisi wamejengewa kabla hajafa kajenga nyumba za makazi ya watu serikali zaidi ya nyumba elfu 5 nchi nzima , ongezeko la mishahara , mikopo kwa wafanyakazi na vijana , wazee kupewa posho kila mwaka na kupimwa afya zao, hata chakula , ndege za nchi , hospitali kubwa kuwekwa vifaa na vitanda vya wagonjwa , kuongezwa kwa manesi na madaktari , umeme hakukatiki sasa kwa samia nilichoona ni kimoja tu utalii baso nakuweka diamond darajani ., na kupewa dp world kila kitu basi
 
Hivi hukujua kuwa hiyo barabara aliyeianzisha na kuijenga kwa kiasi kikubwa ni JPM au unajitia ujinga?

BTW, Watz inabidi tuache uchawa, kuwasifia viongozi wanapotimiza majukumu yao unawatia ujinga.

Vv

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
 
Aiseee sijawahi kufikiri kuwa mpaka Sasa kuna barabara ya mkoa wowote Tanzania haina lami.
CCM ilaaniwe kwa uovu na wizi
Kigoma imetengwa sana.
Kuelekea Mwanza bado haijaungwa na Lami, kuelekea Tabora/Dar vile vile.
Mbaya zaidi magari ya kwenda Kigoma ni mabaya sana na hakuna ustaarabu watu wanajazwa kama mkaa.
 
Kwanza wewe ni mpumbavu, mtoto wako alifanya vyema Huwa unamsifia au unamtukana?

Mwisho anaemalizia ndio hupewa sifa,huyo tunahesabu alishindwa
 
Kigoma imetengwa sana.
Kuelekea Mwanza bado haijaungwa na Lami, kuelekea Tabora/Dar vile vile.
Mbaya zaidi magari ya kwenda Kigoma ni mabaya sana na hakuna ustaarabu watu wanajazwa kama mkaa.
Harafu wanataka asifiwe yule Mzee wao wa Sgr , stupid zao
 
Hakuna kitu amefanya Mwendazake kumzidi Samia hakipo ,kama unakijua nitajie tulinganishe.

Yaani sio Barabara tuu kila.kiti inachokijua wewe kafunikwa na Samia.Propaganda ndio mlifaulu.

Toka umezaliwa umewahi sikia Magufuli kajenga Skimu za umwagiliaji?

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1706656275117883739?t=Vb0cXkPnLchHpmaAssB0lg&s=19
 
Harafu wanataka asifiwe yule Mzee wao wa Sgr , stupid zao
Hata wewe huna hoja.
Mimi sio mtoto wala mjinga kama unavyofikiri.


Miradi ya barabara ya Kigoma njia ya Tabora na Mwanza yote alianzisha Magufuli.
Nilikuwepo Kigoma 2021 mapema hata Samia hajui hata harufu ya urais.

Pili, mtekelezaji wa miradi ni serikali na sio utashi wa rais kama unavyofikiri.

Barabara zote nchini ziko kwenye mpango hata kabla JPM wala Samia kuwa marais.
 
Umeandika matope tu.hao wengine wasingefanya chochote zingebaki hizo kilomita unazozungumzia?au unataka uteuzi?
 
Alivyoipokea kwa JK aliyeanzisha ndivyo aliiacha na Sasa Samia anafuta Kila vumbi huko.
 
Toa utaahira wako hapa,alivyoipokea Kwa JK aliyeanzisha ndivyo aliiacha na Sasa Samia anafuta Kila vumbi huko.
Siku zote chawa hutanguliza MATUSI huwezi kutetea hoja bila tusi?
Acha uchawa fanya kazi halali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…