Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Barabara imeanza kujengwa chini ya JK kuanzia Manyoni kwenda Tabora na pia kutoka Kigoma Hadi Uvinza plus Malagarasi bridge na Barabara zake alijenga JK.

Kwa hiyo hapo nani alianzisha? Kwa nini hakukamilisha kwa miaka 6?
 
Una undugu na Lucas Mwashambwa?
 
Barabara imeanza kujengwa chini ya JK kuanzia Manyoni kwenda Tabora na pia kutoka Kigoma Hadi Uvinza plus Malagarasi bridge na Barabara zake alijenga JK.

Kwa hiyo hapo nani alianzisha? Kwa nini hakukamilisha kwa miaka 6?
mm nimekutajia
vipande alivyoanzisha na kuvijenga na
sio barabara yote mbona una uelewa mdogo hivyo
 
Kumbe unaweza kutoka Moro hadi Njombe kupitia Ifakara. Hii sikuijua.
 
Wakimalizie na kile kipande cha Nyakanazi-Kigoma ili mkeka ukamilike Mashariki hadi Magharibi mkeka.
 
Rubbish gani Sasa,huu ndio ukweli hakuna kitu Cha maana alifanya Mwendazake kwenye Barabara Nchi hii badla yake Samia ndio ataweka historia.
Yaan ujinga ni janga aisee barabara hizi zimeanzakujengwa miaka 60 ,Leo anayemaizia Ndio mnamsifia ....!
 
Sumbawanga-katavi tayari mkuu kilibakia kipande Cha hifadhi kl 70 ambazo tayari mkandarasi yupo barabarani.na katavi kigoma Kuna kilomita 50 mkandarasi anachapa kazi mama yupo kazini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sumbawanga-katavi tayari mkuu kilibakia kipande Cha hifadhi kl 70 ambazo tayari mkandarasi yupo barabarani.na katavi kigoma Kuna kilomita 50 mkandarasi anachapa kazi mama yupo kazini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hoja Iko pale pale,Barabara alizozikuta Mwendazake Zina vumbi aliziacha vile vile hadi Sasa ambapo mama anazijenga.

Mwisho hiyo section ya kibaoni-Sitalike Ina km zaidi ya 85
 
Hoja Iko pale pale,Barabara alizozikuta Mwendazake Zina vumbi aliziacha vile vile hadi Sasa ambapo mama anazijenga.

Mwisho hiyo section ya kibaoni-Sitalike Ina km zaidi ya 85
Hata Samia ataondoka na kuziacha barabara zisizo na lami, huu ndio ukweli.
 
Hata Samia ataondoka na kuziacha barabara zisizo na lami, huu ndio ukweli.
Tunazungumzia Barabara Kuu,hizo zote ataziweka lami zitasalia Barabara za Mikoa tuu.

Kufika 2030 hakuna Barabara kuu itakuwa na vumbi Tanzania hii.
 


Baaba ya miaka 60! tuna kazi. Hivi tujiulize tumefikaje miaka 60 !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…