Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hapa unakosea. CCM hakuna Vijana kuna Wajukuu. Kwani humuoni Babu yao wa miaka 80Kwa sasa taifa halina vijana makini. Vijana tuliokuwa nao ni aina ya Lucas Mitishamba…chochote atakachofanya kiongozi kwao ni sawa . They say give them sweets, take them gold
Asante sana Joka kuu kwa Upembuzi yakinifu. Mambo kama haya unajiuliza yale makofi pale dodoma yalikuwq yanatoka wapi.Mkuu Watu hawajasoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2022.
Kuna ukiukwaji wa Katiba. Tuangalie kwa uchache
Tuanze na Fungu VII Vikao vya Taifa.
Fungu VII 99 (4) Kamati maalumu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa (Zanzibar).
Fungu VII, 110 (7)(b) Kamati Maalumu itapendekeza majina KWA Kamati kuu CCM kwa Wanachama wanaoomba kuteuliwa nafasi ya Urais, Uwakilishi na Ubunge
Hoja: Wanachama waliotaka kuomba nafasi wamenyimwa haki yao kikatiba hakuna mchakato uliopendekeza majina na kuchujwa na Kamati kuu ya CCM Taifa. Jina la H.A Mwinyi lilipatikanaje?
Kamati Kuu ya CCM.
Fungu VII M 104 (1)(7)(b) Kamati Kuu itapendekeza kwa Halmashauri kuu majina yasiyozidi matano ya Wanaoomba kugombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Fungu VII ,104 (1)(7)(d) kufikiria na kupendekeza majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaotaka kugombea kiti cha Rais wa Zanzibar
Hoja: Nafasi ya majina 5 au 3 ingepatikanaje ikiwa hakukuwa na uombaji na mchakato ?
Halmashauri kuu
Fungu VII, 103(12) (b na c) Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa Taifa majina yasiyozidi matatu kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano , na jina mmoja kwa nafasi ya Rais wa Zanzibar
Hoja: Halmashuri kuu haikufanya kazi kwasababu haikupokea majina kutoka Kamati kuu.
Wanachama waliotakiwa kuwa 5 Kamati kuu kisha 3 Halamshauri kuu kwa Jmahuri ya Muungano, na Wanachama 3 Kamati maalum Zanzibar kisha jina moja Kamati kuu hawakupewa nafasi.
Mkutano Mkuu
Fungu VII, 101 (5)(c) Kuchagua jina moja kwa atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Hoja: Jina moja kutoka matatu yaliyopendekezwa na Halmashuri Kuu kwa Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Kwa Upande wa Zanzibar, katiba haijasema chochote. Maana yake Halamshauri kuu ndio kikao cha mwisho cha uteuzi wa Rais wa Zanzibar. Mwinyi alithibitishwaje Dodoma?
Rais Mstaafu Kikwete anasema, limeshatoka azimio la Mkutano Mkuu, akina ''Emanuel' kwa maana ya KM wa CCM waangalie taratibu za kisheria. Katiba ya CCM inakataa .
Fungu VII, 101 (7) linatoa Uhuru wa Mkutano Mkuu Kukasimu shughuli zake kwa Halamshauri kuu ya CCM isipokuwa kifungu (c) kinachokataza Mkutano Mkuu kukasimu madaraka ya uteuzi wa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano, na (d)Kuthibitisha mgombea Urais wa Zanzibar.
Rais Mstaafu anatueleza, CCM imeweka mkokoteni mbele ya Farasi halafu zitafutwe njia za kuhalalisha hilo
Yote haya yapo wazi kwenye Katiba ya CCM, Watu wasome waje tujadiliane kama kuna makosa ya tafsiri
JokaKuu
That is true , the Guy is psychological challenged kwenye Power, shida ni hajapata Training na therapy ya withdraw.Unajua nchi za wazungu viongozi baada ya kustaafu hasa maraisi walio save maximum terms. Na viongozi wengine wakuu wa idara nyeti ambao hawawezi tena kuwa viongozi (senior serikali au kwenye vyama) wanapewa power withdraw therapy pamoja na watoto ambao washazoea ulinzi how to be civilians.
Tanzania hatuna utaratibu huo, from 2016 wengine tumekuwa tunasema issue ya JK ni psychology ya kudhani bado ni mtu influential na kupambania kubaki relevant kwenye decision making za nchi (ni mental issue),
Kwa nafasi yake alikuwa na mamlaka gani ya kupitisha azomio la Dodoma, kwa nafasi gani aliyonayo CCM leo.
JK ni mental case, sema Tanzania atuelewi tu. Kilichotokea Dodoma hana mamlaka ya kichama wala serikali kuyaidhinisha yaliyofanyika Dodoma ni wazimu wake tu.
Ni lini samia kasimama kwenye uchaguzi kama RaisUlikua akhera Kati ya 2015-2024?
Vijana hao wameridhika na ile kazi ya kutumwa kwenda kuwadhalilisha na hata kuwadhuru wale wanaohoji na kukosoa masuala mbali mbali yanayohusu Taifa na Rasilmali zake !Ni kweli, lakini pia katiba haijawapa mamlaka wanayotumia . Nadhani tatizo si Katiba, tatizo ni moja, ukiwa Mwanachama wa CCM kuna mambo unayotakiwa kufanya.
Kwanza, kuacha weledi wako, pili, kutotumia akili na tatu kuwa mnyonge.
Fikiria hivi, CCM kuna Vijana Wasomi ! hili wanaliruhusu vipi litokee!
Ukitaka kujua Vijana CCM ni ndondocha ni pale waanapokubali kuongozwa na Mzee wa miaka 80 , na Mzee huyo anasimama katika jukwaa chini kuna Vijana wa CCM akiwahutubia '' Vijana ninyi ni Taifa la Kesho, ndio viongozi wa Chama baadaye. Mnapaswa kujiajiri kama sera ya Chama inavyosema''
Vijana wanapiga makofi kwa kwa kwa! hapo kuna akili ya kuhoji chochote wastaafu wnaposema!
JokaKuu Kiranga
Why should he needs therapy ilihali mambo yake na ushauri wake unatekelezwa kama atakavyo ??!That is true , the Guy is psychological challenged kwenye Power, shida ni hajapata Training na therapy ya withdraw.
Enzi ya Ngosha alikuwa pia anatabia hizo…….. Ngosha akam screw kidogo na kumtolea macho…….. mzee akatulia kabisa na akaamua kwenda kulima mananasi. Alipoingia Mama tabia imerudi and now he is a remote behind all odds. Yeye anaamini he can run things as Nyerere…..
Tatizo lingine ni mzee anatamani one day kidoti awe pale juu na anaamini inawezekana…… the Guy needs therapy
Nakuuliza ulikua akhera 2015-25?Ni lini samia kasimama kwenye uchaguzi kama Rais
Ukifinywaaa utalia??? The guy ndo anaongoza nchi.That is true , the Guy is psychological challenged kwenye Power, shida ni hajapata Training na therapy ya withdraw.
Enzi ya Ngosha alikuwa pia anatabia hizo…….. Ngosha akam screw kidogo na kumtolea macho…….. mzee akatulia kabisa na akaamua kwenda kulima mananasi. Alipoingia Mama tabia imerudi and now he is a remote behind all odds. Yeye anaamini he can run things as Nyerere…..
Tatizo lingine ni mzee anatamani one day kidoti awe pale juu na anaamini inawezekana…… the Guy needs therapy
Tatizo kubwa ndani ya CCM ni moja tena wanalijua vizuri sana !Mpina alibakii anashangaa kama kapigwaa na Shot ya umeme.
Tatizo kubwa ndani ya CCM ni moja tena wanalijua vizuri sana !
Ni waoga wa mabadiliko 😳 !
Kama bado wataendelea kuogopa kuzitenganisha kofia mbili basi wataendelea kuumia mioyoni mwao daima dumu 🙄!
Au nasema uongo ndugu zanguni ???!
Ndio maana huwa walatini Wanasemaga “ Locuta causa finita “
😄😅😂 !
Watabaki wanalalamikia pembeni tu !
ILE ILIKUWA PINDUA MEZA.WENGINE TUJIPANGE 2030.MBONA KESHO KUTWA TUU?Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!
Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu
Soma, Pia: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
Kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"
Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?
Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.
Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.
Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?
Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni
"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.
Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?
kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.
Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.
Kazi kwenu!
Hiiii wale wenye kujiona wao ndio wenye uwezo wa kutoboa 2030 wataanza kuwalia taimingi wanaowahofia ili wasiwaovateki 😳😂😄🤣 !ILE ILIKUWA PINDUA MEZA.WENGINE TUJIPANGE 2030.MBONA KESHO KUTWA TUU?
ILA ZAMU YA MWISALM HAPO 2030 HAPO HAMNA.LAZIMA AJE MKRISTO.