Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!

Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu

Soma, Pia: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?

Kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"

Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?

Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.

Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.

Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?

Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni

"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.

Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?

kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.

Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.

Kazi kwenu!


Kwani ilikuwepo agenda ya kufanya hivyo kati miongoni mwa agenda ambazo ziliandaliwa kwaajili ya huo mkutano Mkuu ??
 
Ulipoandika "zitakuwa" tu umeonesha umeandika kitu usichokijua.

Umesoma hizo katiba?
Logic iko hivi kama Katiba ipo vizuri ni kwa namna gani mtu yeyote atakuwa na ujasiri wa kuivunja ??!
Ukiona inavunjwa ni kwa sababu Katiba yote haipo sawa !
Na ndio maana hata Nyerere alipata kuonya kwamba kwa Katiba hii siku mkimpata mwenye kujua kung’ata sawasawa mtajuta !

Ina maana hata yeye alikuwa ana wasiwasi na hiyo Katiba kwamba itakuja kusumbua huko mbele ya safari !
Ila kwa sababu inatupendelea sisi wa Chamani kwetu tunaiona iendelee hiyo hiyo ila inapotokea na sisi tukang’atwa ndipo tunapoanza kulalamikia kichini chini huku tukiogopa kutoa sauti !!
 
Logic iko hivi kama Katiba ipo vizuri ni kwa namna gani mtu yeyote atakuwa na ujasiri wa kuivunja ??!
Ukiona inavunjwa ni kwa sababu Katiba yote haipo sawa !
Na ndio maana hata Nyerere alipata kuonya kwamba kwa Katiba hii siku mkimpata mwenye kujua kung’ata sawasawa mtajuta !

Ina maana hata yeye alikuwa ana wasiwasi na hiyo Katiba kwamba itakuja kusumbua huko mbele ya safari !
Ila kwa sababu inatupendelea sisi wa Chamani kwetu tunaiona iendelee hiyo hiyo ila inapotokea na sisi tukang’atwa ndipo tunapoanza kulalamikia kichini chini huku tukiogopa kutoa sauti !!
Hiyo unayoiita logic yako haina logic.

Kwani katiba ikiwa nzuri ndiyo lazima ifuatwe?

Kikwete kaivunja katiba ya CCM. Hutaki?
 
Hiyo unayoiita logic yako haina logic.

Kwani katiba ikiwa nzuri ndiyo lazima ifuatwe?

Kikwete kaivunja katiba ya CCM. Hutaki?
Kaivunja Katiba ya CCM kwa niaba ya Mwenyekiti !
Sasa shughuli pevu inakuja huyo Mwenyekiti ndio huyo huyo Mkuu wa Nchi !
Na Katiba ya Nchi imemkasimisha madaraka makubwa kweli kweli ambayo kila mtu anaogopa ataanzia wapi kuhoji uvunjwaji wa Katiba 😅😂
!!
 
Kaivunja Katiba ya CCM kwa niaba ya Mwenyekiti !
Sasa shughuli pevu inakuja huyo Mwenyekiti ndio huyo huyo Mkuu wa Nchi !
Na Katiba ya Nchi imemkasimisha madaraka makubwa kweli kweli ambayo kila mtu anaogopa ataanzia wapi kuhoji uvunjwaji wa Katiba 😅😂
!!
Kwa hiyo unataka kusema watu wenye utamaduni wa kutoheshimu katiba, wakiwa na katiba nzuri, hawataivunja?
 
Mliletewa akina Doto Magari, Zuchu, Irene Uwoya, Diamond, Baba Revo, Konde boy na wasanii wote mpaka wale mama ntilie maarufu ili mrubuniwe msahau mambo ya msingi.

Kilichotokea Dodoma kimedhihirisha namna gani akili za wanachama wengi wa CCM zilivyo, wahusika walijua akina Zuchu ndio muhimu kwenu.
Kwa sasa taifa halina vijana makini. Vijana tuliokuwa nao ni aina ya Lucas Mitishamba…chochote atakachofanya kiongozi kwao ni sawa . They say give them sweets, take them gold
 
Huwa wanasomaga Hawa watu? Elimu Huwa wanaiacha wanashikiliwa na mtu akili! Waliitazama CHADEMA kama chama kisichokua na demokrasia. Things changed na wakaona how the party make decisions Kwa kutumia consensus and compromise! Kwao demokrasia ni kukunaliana na mawazo ya Mwenyekiti even by surprise! Tabia hii ilianza na Magufuli sasa Samia ameenda extra miles! What will come next? Who knows! Mifumo mingi ilijenga misingi ya kujiondoa nyenyewe duniani!
That is right . Samia is just a continuation of JPM. CHADEMA imedhihirisha kuwa CCM ndio chama kisichokuwa na misingi ya demokrasia. Samia ameingia tamaa ya madaraka na huu ni ugonjwa kama wa ngozi……. Ukiumwa ugonjwa wa Ngozi kupona ni ngumu sana. Utatumia creams na corticoïdes za kutosha…. But the more you use the more unaharibu collagene na texture ya ngozi yako…..

As for CHADEMA , we need Little push kumtoa chura kwenye matope yake
 
Ila hili taifa tunakwama sana huyu mama pamoja na underperformance hii lkn bado tunampa nafasi ya kuliongoza tena taifa. Wenzetu wa Malawi yule mama baada ya kuupata urais ndondokela kama huyu wa kwetu na akaperform chini ya kiwango uchaguzi uliofuata watu walipiga chini hawakuangalia usoni ila sisi sasa dah
Mama anapaswa kupigwa CHINI immediately ; Hana performance na anaipeleka nchi the worst part ……hana performance na hatoweza kuwa na performance…….kwa sasa kinachoendelea ni Ameingia tu tamaa ya madaraka na Asali ya state ni multivitamins tamu snaa.

Nyuma yake timu msoga wanajambo lao ku

mtaelewa kwanini yule mpare, balozi na wenzie walikuwa against cdf
 
Kama kweli wapo wana CCM waliochukia tuwaone nao wakiipigania Katiba mpya ipatikane ambayo itapunguza madaraka makubwa kweri kweri aliyopewa Mkuu wa Nchi ambaye huyo huyo ndiye Mkuu wao wa Chama 😳😳🙄!
Je watakuwa na ubavu huo ???!
Chama kimeshagawanyika kama ilivyokuwa kwa JPM

That is the best part
 
Lakini Katiba haijawakataza kufanya yale wayafanyayo ! Right ?
Je tatizo lipo kwa hao wakubwa au lipo kwa sababu Katiba haijazuwia watu kujifanya ma-King makers ??!
Ni kweli, lakini pia katiba haijawapa mamlaka wanayotumia . Nadhani tatizo si Katiba, tatizo ni moja, ukiwa Mwanachama wa CCM kuna mambo unayotakiwa kufanya.
Kwanza, kuacha weledi wako, pili, kutotumia akili na tatu kuwa mnyonge.

Fikiria hivi, CCM kuna Vijana Wasomi ! hili wanaliruhusu vipi litokee!
Ukitaka kujua Vijana CCM ni ndondocha ni pale waanapokubali kuongozwa na Mzee wa miaka 80 , na Mzee huyo anasimama katika jukwaa chini kuna Vijana wa CCM akiwahutubia '' Vijana ninyi ni Taifa la Kesho, ndio viongozi wa Chama baadaye. Mnapaswa kujiajiri kama sera ya Chama inavyosema''

Vijana wanapiga makofi kwa kwa kwa! hapo kuna akili ya kuhoji chochote wastaafu wnaposema!

JokaKuu Kiranga
 
Wakala nae ni binadamu. Unategemea gaidi mbowe ale pesa yote, mawakala hawalipwi, nani atakaa. Mbowe ameshindwa kupata support kutetea kiti kwa sababu hicho chama hela inabaki tu juu, haishuki chini. Mashinani kumepauka, njaa kali. Huwezi kukuza chama. CCm angalau wana vimradi mikoani, nyumba, fremu za maduka, shule, hospitali, viwanja vya mpira. Kila kitu mwisho wake ni maslahi
Hizi porojo tu hazina maana yoyote. Magufuli alikuwa mpumbavu aliyekuwa tayari kuua watu waliompinga. Kwa uchaguzi ule wakala gani angekuwa tayari kuweka maisha yake hatarini!? Hivyo vimiradi uchwara vya ccm havina faida yoyote acha kudanganya watu hapa. Ndio maana wanaiba pesa BoT kugharamia chaguzi zao.
 
Back
Top Bottom