Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Mliletewa akina Doto Magari, Zuchu, Irene Uwoya, Diamond, Baba Revo, Konde boy na wasanii wote mpaka wale mama ntilie maarufu ili mrubuniwe msahau mambo ya msingi.
Kilichotokea Dodoma kimedhihirisha namna gani akili za wanachama wengi wa CCM zilivyo, wahusika walijua akina Zuchu ndio muhimu kwenu.
Kilichotokea Dodoma kimedhihirisha namna gani akili za wanachama wengi wa CCM zilivyo, wahusika walijua akina Zuchu ndio muhimu kwenu.