Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Watu wamepiga hesabu za 2030. Wameona akitoka Samia zitakuja zama mpya so lazima wajiwekee tena mtu wao ambae atakuja kuwa mrithi baada ya mama, ili ulaji uendelee. JK anahofia sana kuja mtu tofauti nje ya kundi lake. Ndiyo maana EN kapewa uwenza ili aje kuchukua mikoba 2030, coz ni mkatoliki na ni wa kundi Lao. Kwa znz tayari wamepachika bin Kombo foreign kumuandaa. Patachimbika!!
Kumpamba mama kote kule lkn bado watu wanahofia mchujo, washasoma alama, namba hazitimii.
Ni shida
 
Samia kakaripia watu kuanza kampeni kabla ya wakati, halafu yeye kaenda kuanza kampeni bila kufuata wakati.

Kikao kimevunja katiba ya CCM ya 1977, tileo la Disemba 2022, 8bara ya 100, kifungu cha 5 c.

Kama kuna watu wanataka kupinga jambo hili, wanaweza.
Mkuu Watu hawajasoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2022.
Kuna ukiukwaji wa Katiba. Tuangalie kwa uchache

Tuanze na Fungu VII Vikao vya Taifa.
Fungu VII 99 (4) Kamati maalumu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa (Zanzibar).

Fungu VII, 110 (7)(b) Kamati Maalumu itapendekeza majina KWA Kamati kuu CCM kwa Wanachama wanaoomba kuteuliwa nafasi ya Urais, Uwakilishi na Ubunge

Hoja: Wanachama waliotaka kuomba nafasi wamenyimwa haki yao kikatiba hakuna mchakato uliopendekeza majina na kuchujwa na Kamati kuu ya CCM Taifa. Jina la H.A Mwinyi lilipatikanaje?

Kamati Kuu ya CCM.
Fungu VII M 104 (1)(7)(b) Kamati Kuu itapendekeza kwa Halmashauri kuu majina yasiyozidi matano ya Wanaoomba kugombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Fungu VII ,104 (1)(7)(d) kufikiria na kupendekeza majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaotaka kugombea kiti cha Rais wa Zanzibar

Hoja: Nafasi ya majina 5 au 3 ingepatikanaje ikiwa hakukuwa na uombaji na mchakato ?

Halmashauri kuu
Fungu VII, 103(12) (b na c) Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa Taifa majina yasiyozidi matatu kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano , na jina mmoja kwa nafasi ya Rais wa Zanzibar

Hoja: Halmashuri kuu haikufanya kazi kwasababu haikupokea majina kutoka Kamati kuu.

Wanachama waliotakiwa kuwa 5 Kamati kuu kisha 3 Halamshauri kuu kwa Jmahuri ya Muungano, na Wanachama 3 Kamati maalum Zanzibar kisha jina moja Kamati kuu hawakupewa nafasi.

Mkutano Mkuu
Fungu VII, 101 (5)(c) Kuchagua jina moja kwa atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Hoja: Jina moja kutoka matatu yaliyopendekezwa na Halmashuri Kuu kwa Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Kwa Upande wa Zanzibar, katiba haijasema chochote. Maana yake Halamshauri kuu ndio kikao cha mwisho cha uteuzi wa Rais wa Zanzibar. Mwinyi alithibitishwaje Dodoma?

Rais Mstaafu Kikwete anasema, limeshatoka azimio la Mkutano Mkuu, akina ''Emanuel' kwa maana ya KM wa CCM waangalie taratibu za kisheria. Katiba ya CCM inakataa .

Fungu VII, 101 (7) linatoa Uhuru wa Mkutano Mkuu Kukasimu shughuli zake kwa Halamshauri kuu ya CCM isipokuwa kifungu (c) kinachokataza Mkutano Mkuu kukasimu madaraka ya uteuzi wa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano, na (d)Kuthibitisha mgombea Urais wa Zanzibar.

Rais Mstaafu anatueleza, CCM imeweka mkokoteni mbele ya Farasi halafu zitafutwe njia za kuhalalisha hilo

Yote haya yapo wazi kwenye Katiba ya CCM, Watu wasome waje tujadiliane kama kuna makosa ya tafsiri

JokaKuu
 
Alichofanya magufuli tumeona kwenye vituo vya kura kwa macho yetu bila hata kuhadithiwa

Mimi kituo nilichopiga kura mwaka 2020 hakukua na wakala yeyote wa upinzani sikuwah kuona katika chaguzi zote nilizoshiriki sasa huo ni uchaguzi au uhuni
Usitete ujinga
Wakala nae ni binadamu. Unategemea gaidi mbowe ale pesa yote, mawakala hawalipwi, nani atakaa. Mbowe ameshindwa kupata support kutetea kiti kwa sababu hicho chama hela inabaki tu juu, haishuki chini. Mashinani kumepauka, njaa kali. Huwezi kukuza chama. CCm angalau wana vimradi mikoani, nyumba, fremu za maduka, shule, hospitali, viwanja vya mpira. Kila kitu mwisho wake ni maslahi
 
Watu wamepiga hesabu za 2030. Wameona akitoka Samia zitakuja zama mpya so lazima wajiwekee tena mtu wao ambae atakuja kuwa mrithi baada ya mama, ili ulaji uendelee. JK anahofia sana kuja mtu tofauti nje ya kundi lake. Ndiyo maana EN kapewa uwenza ili aje kuchukua mikoba 2030, coz ni mkatoliki na ni wa kundi Lao. Kwa znz tayari wamepachika bin Kombo foreign kumuandaa. Patachimbika!!
Kumpamba mama kote kule lkn bado watu wanahofia mchujo, washasoma alama, namba hazitimii.
2020 kuna watu walivuruga uchaguzi maksudi wakasahau kwamba ajuaye kesho leo hii ni mwaka wa nne hawapo duniani vyote wameviacha

Huwezi shiba fedha ukipenda fedha kupita kiasi utadhalilisha utu wako
Watu wenye akili wanapigania wawe na legacy zuri lakini hii ni tofauti na jk mtu mzima hovyo
 
Mnyonyanyi mkubwa kwa ss ni ex president ndio maana wakati wa jiwe alikua kmy sn alibanwa sawa sawa ila kwa sasa yuko close na chura kiziwi ndio maana anatumia effort kubwa kumpambania ili aendelee kuwa kwny system
 
Wakala nae ni binadamu. Unategemea gaidi mbowe ale pesa yote, mawakala hawalipwi, nani atakaa. Mbowe ameshindwa kupata support kutetea kiti kwa sababu hicho chama hela inabaki tu juu, haishuki chini. Mashinani kumepauka, njaa kali. Huwezi kukuza chama. CCm angalau wana vimradi mikoani, nyumba, fremu za maduka, shule, hospitali, viwanja vya mpira. Kila kitu mwisho wake ni maslahi
Maswala ya ugaidi wa mbowe yanatoka wapi kwenye uzi
Kama mbowe ni gaidi na yupo uraiani basi tuna-inch ya hovyo sana
 
Mkuu Watu hawajasoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2022.
Kuna ukiukwaji wa Katiba. Tuangalie kwa uchache

Tuanze na Fungu VII Vikao vya Taifa.
Fungu VII 99 (4) Kamati maalumu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa (Zanzibar).

Fungu VII, 110 (7)(b) Kamati Maalumu itapendekeza majina KWA Kamati kuu CCM kwa Wanachama wanaoomba kuteuliwa nafasi ya Urais, Uwakilishi na Ubunge

Hoja: Wanachama waliotaka kuomba nafasi wamenyimwa haki yao kikatiba hakuna mchakato uliopendekeza majina na kuchujwa na Kamati kuu ya CCM Taifa. Jina la H.A Mwinyi lilipatikanaje?

Kamati Kuu ya CCM.
Fungu VII M 104 (1)(7)(b) Kamati Kuu itapendekeza kwa Halmashauri kuu majina yasiyozidi matano ya Wanaoomba kugombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Fungu VII ,104 (1)(7)(d) kufikiria na kupendekeza majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaotaka kugombea kiti cha Rais wa Zanzibar

Hoja: Nafasi ya majina 5 au 3 ingepatikanaje ikiwa hakukuwa na uombaji na mchakato ?

Halmashauri kuu
Fungu VII, 103(12) (b na c) Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa Taifa majina yasiyozidi matatu kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano , na jina mmoja kwa nafasi ya Rais wa Zanzibar

Hoja: Halmashuri kuu haikufanya kazi kwasababu haikupokea majina kutoka Kamati kuu.

Wanachama waliotakiwa kuwa 5 Kamati kuu kisha 3 Halamshauri kuu kwa Jmahuri ya Muungano, na Wanachama 3 Kamati maalum Zanzibar kisha jina moja Kamati kuu hawakupewa nafasi.

Mkutano Mkuu
Fungu VII, 101 (5)(c) Kuchagua jina moja kwa atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Hoja: Jina moja kutoka matatu yaliyopendekezwa na Halmashuri Kuu kwa Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Kwa Upande wa Zanzibar, katiba haijasema chochote. Maana yake Halamshauri kuu ndio kikao cha mwisho cha uteuzi wa Rais wa Zanzibar. Mwinyi alithibitishwaje Dodoma?

Rais Mstaafu Kikwete anasema, limeshatoka azimio la Mkutano Mkuu, akina ''Emanuel' kwa maana ya KM wa CCM waangalie taratibu za kisheria. Katiba ya CCM inakataa .

Fungu VII, 101 (7) linatoa Uhuru wa Mkutano Mkuu Kukasimu shughuli zake kwa Halamshauri kuu ya CCM isipokuwa kifungu (c) kinachokataza Mkutano Mkuu kukasimu madaraka ya uteuzi wa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano, na (d)Kuthibitisha mgombea Urais wa Zanzibar.

Rais Mstaafu anatueleza, CCM imeweka mkokoteni mbele ya Farasi halafu zitafutwe njia za kuhalalisha hilo

Yote haya yapo wazi kwenye Katiba ya CCM, Watu wasome waje tujadiliane kama kuna makosa ya tafsiri
Kikwete ameharibu sana utaratibu, na ametia doa urais wa Samia hata kama atakuja kushinda.

Kwa sababu watu wataangalia mchakato mzima wa Samia alivyokuwa rais, na kuona matatizo haya ya kikatiba.

Na zaidi, wameacha mwanya wa Samia kuwekewa pingamizi.
 
Ila hili taifa tunakwama sana huyu mama pamoja na underperformance hii lkn bado tunampa nafasi ya kuliongoza tena taifa. Wenzetu wa Malawi yule mama baada ya kuupata urais ndondokela kama huyu wa kwetu na akaperform chini ya kiwango uchaguzi uliofuata watu walipiga chini hawakuangalia usoni ila sisi sasa dah
 
Kikwete ameharibu sana utaratibu, na ametia doa urais wa Samia hata kama atakuja kushinda.
Hata ndani ya CCM wanasema wazi kilichofanyika hakikuwa sahihi. Nadhani walitaka kukwepa ushindani wa majina 5 kisha 3. Nashangaa wanaogopa nini? Kuna wakati alikuwepo Msuya, JK, na Mkapa!
Tuliona ushindani mkubwa sana! Hata wakati wa Magufuli. Nini kinaogopwa!
Kwa sababu watu wataangalia mchakato mzima wa Samia alivyokuwa rais, na kuona matatizo haya ya kikatiba.
Mchakato mzima umekosa uhalali hata kwa wasiojua sheria. Ukisoma katiba tu unajua kuna tatizo
Na zaidi, wameacha mwanya wa Samia kuwekewa pingamizi.
Nakuhakikishia ingelikuwa ni CDM au ACT leo Msajili wa Vyama ungemsikia kwa kila neno.
Kungekuwa na pingamizi kubwa mbele ya safari.

Ninasubiri kuona mazingaombwe ya kukwepa kikwazo hicho. Katiba ya CCM ipo wazi kabisa, Mgombea anaanza kupatika kwa vikao gani halafu ikasisitiza, Mkutano Mkuu hauwezi kukasimu shughuli za uteuzi kwa H/Kuu . JK anapata wapi nguvu za kusema '' warekebishe'' kisheria!

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Ila hili taifa tunakwama sana huyu mama pamoja na underperformance hii lkn bado tunampa nafasi ya kuliongoza tena taifa. Wenzetu wa Malawi yule mama baada ya kuupata urais ndondokela kama huyu wa kwetu na akaperform chini ya kiwango uchaguzi uliofuata watu walipiga chini hawakuangalia usoni ila sisi sasa dah
Underperformance gani so far aliyofanya. Kitu gani hakiendi. Shida ni nyie taliana mnaaminishana kuwa ndio kila kitu
 
Kikwete ameharibu sana utaratibu, na ametia doa urais wa Samia hata kama atakuja kushinda.

Kwa sababu watu wataangalia mchakato mzima wa Samia alivyokuwa rais, na kuona matatizo haya ya kikatiba.

Na zaidi, wameacha mwanya wa Samia kuwekewa pingamizi.
Unajua nchi za wazungu viongozi baada ya kustaafu hasa maraisi walio save maximum terms. Na viongozi wengine wakuu wa idara nyeti ambao hawawezi tena kuwa viongozi (senior serikali au kwenye vyama) wanapewa power withdraw therapy pamoja na watoto ambao washazoea ulinzi how to be civilians.

Tanzania hatuna utaratibu huo, from 2016 wengine tumekuwa tunasema issue ya JK ni psychology ya kudhani bado ni mtu influential na kupambania kubaki relevant kwenye decision making za nchi (ni mental issue),

Kwa nafasi yake alikuwa na mamlaka gani ya kupitisha azomio la Dodoma, kwa nafasi gani aliyonayo CCM leo.

JK ni mental case, sema Tanzania atuelewi tu. Kilichotokea Dodoma hana mamlaka ya kichama wala serikali kuyaidhinisha yaliyofanyika Dodoma ni wazimu wake tu.
 
Kwamba ni mpango wa JK

Alihusishwa toka mwanzo, ingawa alijifanya ameshitushiwa pale.

Kwa jinsi Maza alivyojipanga kuitetea hiyo nafasi sitashangaa watu wakifa safari hii kwa sababu ya Urais. Anawekeza nguvu na mali nyingi.
 
Unajua nchi za wazungu viongozi baada ya kustaafu hasa maraisi walio save maximum terms. Na viongozi wengine wakuu wa idara nyeti ambao hawawezi tena kuwa viongozi (senior serikali au kwenye vyama) wanapewa power withdraw therapy pamoja na watoto ambao washazoea ulinzi how to be civilians.

Tanzania hatuna utaratibu huo, from 2016 wengine tumekuwa tunasema issue ya JK ni psychology ya kudhani bado ni mtu influential na kupambania kubaki relevant kwenye decision making za nchi (ni mental issue),

Kwa nafasi yake alikuwa na mamlaka gani ya kupitisha azomio la Dodoma, kwa nafasi gani aliyonayo CCM leo.

JK ni mental case, sema Tanzania atuelewi tu. Kilichotokea Dodoma hana mamlaka ya kichama wala serikali kuyaidhinisha yaliyofanyika Dodoma ni wazimu wake tu.
Tanzania ma ex presidents wana tabia hii tangu Nyerere. Ambaye hakufanya mchezo huu ni Mwinyi tu. Tofauti hawakufanya wazi hivi.

Nyerere alimkata Kikwete kwa kubadilisha sheria za mchezo katikati ya mchezo.

Mkapa alitulazimishia Magufuli despite recommendations za security organs.

Kikwete ndiye huyu sasa.

Wamerithishana uhuni wa kujiona kingmakers.
 
Hata ndani ya CCM wanasema wazi kilichofanyika hakikuwa sahihi.

JokaKuu Pascal Mayalla
Its true hakikuwa sahihi, nimemwandikia barua Dada kumshauri hili lirekebishwe Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa

Mpanga wa awali ulikuwa ni CCM kutoa fomu moja na kupitishwa kwa mserereko, kwenye barua yako hiyo nimemweleza Dada hata huo mserereko ni kinyume cha katiba ya CCM na ya JMT.
P
 
Wanaishi kwenye dunia yao.

Washauri makini wa raisi kwenye maswala ya siasa.

Wangeenda NEC na kuomba matokeo ya uchaguzi 2020 na kuelewa watanzania wanataka nini, based on actual votes za uraisi (ambapo Magufuli hakuwa na mpinzani).

Sio scientific people, wanapeana nafasi na kujazana ujinga tu; hakuna qualified people kwenye nafasi za strategy ya chama wala serikalini,

Ujinga mtupu, you can tell kwa kuwasikiliza tu this person doesn’t know how things work.
Ni kweli kabisa ! 😅
Lakini je huoni kwamba hii yote ya sasa and and the worse to come inasababishwa na itaendelea kusababishwa na madaraka makubwa kupita maelezo aliyonayo mtu mkubwa kupita wote Nchini ??!
Ambaye sio kwamba eti labda anavunja Katiba ! Bali tu Katiba haijamzuwia kufanya lile analotaka kulifanya japo wengine mnaona kwamba sio sahihi !!
Je ni mikanganyiko kwenye Katiba sasa unajidhihirisha zaidi hivi sasa kuliko wakati mwingine wowote ???!

Je watu waendelee kutoona u muhimu wa Katiba mpya kwa sababu zile zile za kuulinda utawala wetu wa Chama Chetu ???!!
Hilo swali ni swali fikirishi !

Na Mimi naendelea kusema watu wataendelea kuogopa kutoa misimamo yao huko Chamani kwa sababu wanajua kwamba itakuwa ni kujipalia mkaa 🙄!
Locuta causa finita ! 😂😂👍🙏
 
Tanzania ma ex presidents wana tabia hii tangu Nyerere. Ambaye hakufanya mchezo huu ni Mwinyi tu. Tofauti hawakufanya wazi hivi.

Nyerere alimkata Kikwete kwa kubadilisha sheria za mchezo katikati ya mchezo.

Mkapa alitulazimishia Magufuli despite recommendations za security organs.

Kikwete ndiye huyu sasa.

Wamerithishana uhuni wa kujiona kingmakers.
Lakini Katiba haijawakataza kufanya yale wayafanyayo ! Right ?
Je tatizo lipo kwa hao wakubwa au lipo kwa sababu Katiba haijazuwia watu kujifanya ma-King makers ??!
 
Huu ni uongo mkubwa sana.
Mjumbe gani alizuia JPM kujiongezea muda?
Si haohao wajumbe ndio walikuwa wanaropoka huko mikoani anakopita JPM kuwa awe Rais mpaka kifo chake?
Hakuna mjumbe aliyechukia Samia kuwekwa kwenye nafasi ya kugombea peke yake na kwa haraka.
Naijua CCM na pia nawajua wana CCM vizuri acheni kukuza mambo
Kama kweli wapo wana CCM waliochukia tuwaone nao wakiipigania Katiba mpya ipatikane ambayo itapunguza madaraka makubwa kweri kweri aliyopewa Mkuu wa Nchi ambaye huyo huyo ndiye Mkuu wao wa Chama 😳😳🙄!
Je watakuwa na ubavu huo ???!
 
Back
Top Bottom