Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Usidharau movement za Upinzani. The mighty fall kwa kuchukulia mambo poa. Soma kitabu cha Collins Why the Mighty fall , in his book ame demonstrate 5 stages of decline , focus na stage namba 3. Denial of Risk and Peril, then soma stage number 1 Hubris born of success

Sijazidharau ila pia siwezi kuidharau CCM ninayoijua na uwezo wake
 
Rizimoja ndie waziri mkuu ajae wa Mama iwapo Mama atafanikwa kurudi madarakani.

Mzee wa Msoga anaandaa future ya kijana wake.
It is too risky, ita confirm ile minong'ono na ku link direct to JK. Hiyo kazi labda iende kwa bashungwa au doto since wale ni watendaji in nature less politicians. Lakini pia support ya watu wa kanda ya ziwa
 
Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!

Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu

kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"

Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?

Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.

Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.

Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?

Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni

"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.

Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?

kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.

Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.

Kazi kwenu!
Msikilize Jk kwa makini
 
Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!

Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu

kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"

Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?

Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.

Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.

Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?

Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni

"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.

Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?

kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.

Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.

Kazi kwenu!
Samia kakaripia watu kuanza kampeni kabla ya wakati, halafu yeye kaenda kuanza kampeni bila kufuata wakati.

Kikao kimevunja katiba ya CCM ya 1977, toleo la Disemba 2022, ibara ya 100, kifungu cha 5 c.

Kama kuna watu wanataka kupinga jambo hili, wanaweza.
 
Samia kakaripia watu kuanza kamoeni kabla ya wakati, halafu yeye kaenda kuanza kamoeni bila wakati.

Kikao kimevunja katiba ya CCM ya 1977, tileo la Disemba 2022, 8bara ya 100, kifungu cha 5 c.

Kama kuna watu wanataka kupinga jambo hili, wanaweza.
Walipingie wapi?
 
Samia kakaripia watu kuanza kamoeni kabla ya wakati, halafu yeye kaenda kuanza kamoeni bila wakati.

Kikao kimevunja katiba ya CCM ya 1977, tileo la Disemba 2022, 8bara ya 100, kifungu cha 5 c.

Kama kuna watu wanataka kupinga jambo hili, wanaweza.
Watu wamejitoa akili wanapinga kila kitu kukidhi matakwa na matamanio yao.
 
Ccm hawajawahi kuwa na utaratibu wa kufuata katiba. Sio ya chama ama katiba ya nchi.

Alieshika rungu ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Na sasa hivi rungu lipo kwa mama kizimkazi na msoga gang.
Wanalamba asali
 
Samia kakaripia watu kuanza kamoeni kabla ya wakati, halafu yeye kaenda kuanza kamoeni bila wakati.

Kikao kimevunja katiba ya CCM ya 1977, tileo la Disemba 2022, 8bara ya 100, kifungu cha 5 c.

Kama kuna watu wanataka kupinga jambo hili, wanaweza.
Sahihi kabisa. Kuruhusu uvunjifu ni kukaribisha uvunjifu.
 
Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!

Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu

kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"

Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?

Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.

Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.

Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?

Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni

"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.

Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?

kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.

Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.

Kazi kwenu!
upotoshaji kama huu ni muhimu kupuuzwa,

ndrugu zango,
my friends, ladies and gentlemen,

hakuna haja wala sababu hata moja kwa ndugu zangu wapinzani kuweweseka, kufadhaika na kukata tamaa ya kufanya siasa Tanzania ,

kwasabb tu mgombea uraisi wa CCM na mgombea mwenza wake wanakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi na waTanzania wote.

Ushindi wa kishindo kwa CCM ni jambo la kawaida sana mbona 🐒
 
Hata JPM ndio alikuwa dola mwenyewe. Nyie bado ni wachanga wa kujifunza
Ndiyo nakwambia wanaofanya hivyo vikao vya siri wajue CCM hakuna siri, so wakae mkao wa kula.

Yaani vikao vya siri kumsema mwenyekiti wa CCM - hiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom