Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani yako itakuponya. Upo kwenye stage namba 3 of 5 stages of decline. By Jim Collinsupotoshaji kama huu ni muhimu kupuuzwa,
ndrugu zango,
my friends, ladies and gentlemen,
hakuna haja wala sababu hata moja kwa ndugu zangu wapinzani kuweweseka, kufadhaika na kukata tamaa ya kufanya siasa Tanzania ,
kwasabb tu mgombea uraisi wa CCM na mgombea mwenza wake wanakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi na waTanzania wote.
Ushindi wa kishindo kwa CCM ni jambo la kawaida sana mbona 🐒
Yaani mzee wa ubwabwa ndo wa kuitoa CCM na Samia madaràkani?Nchi inaenda upinzani
Nani kasema fulani ndo ataitoa chichiemu madarakani..?Yaani mzee wa ubwabwa ndo wa kuitoa CCM na Samia madaràkani?
Kuweni serious basi.
Wakati wa kuwekeana mapingamizi kule tume ya uchaguzi. Pingamizi lenyewe ni rahisi, kwamba ccm haina mgombea Kwa maana wamevunja kanuni na taratibu za katiba yao iliyopo Kwa msajili wa vyama. Na pingamizi hili, litaibua uhalali wa mgombea huyo na kutupwa nje. Hapo ndipo kwenye issue maana nchi haijaruhusu mgombea binafsi au kujichagulia bila kufuata utaratibu. Hilo jambo pia halikuwemo kwenye ratiba ya kikao na mwenyekiti alikuwa na conflict of interest kukataa kutoka nje ya kikao na hoja toka Kwa kibajaji.Walipingie wapi?
CCM, mahakamani, kwenye court of public opinion, kama kweli wana conviction hata kuweka rekodi sawa kuwa kuna watu hawapendi ujinga.Walipingie wapi?
Lazima kieleweke. WanaCCM hatuwezi kukubali kurudi kwenye mambo ya kihuni kwenye chama chetu. Jpm alikirejesha chama kwa wanachama. Mama anakirudisha chama mikononi kwa wahuni. Mulimsikia yule bush lawyer mzee Makamba akisema chama ni chao kwa hiyo wanaweza kufanya wanavyotaka. Lazima katiba na utaratibu ufuatwe. Hatuwezi kua na mgombea ambaye anaweza kua rais mihula miwili huku hakuwawi kugombea kuteuliwa kua mgombea urais kufuatana na katiba na taratibu za chama.Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!
Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu
kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"
Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?
Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.
Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.
Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?
Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni
"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.
Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?
kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.
Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.
Kazi kwenu!
Lumumba ni mwendo wa kushikana mashati wenye chama Wamechachamaa...haiwezekani kuswaga kama NyumbuMtasubiri sana hadi kizazi cha saba kuanzia sasa
SaInside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!
Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu
kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"
Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?
Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.
Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.
Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?
Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni
"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.
Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?
kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.
Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.
Kazi kwenu!
Samahani ninaomba kuelimishwa kifungu cha katiba au kanuni za uchaguzi za CCM zilizokiukwa.Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!
Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu
kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"
Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?
Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.
Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.
Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?
Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni
"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.
Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?
kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.
Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.
Kazi kwenu!
Haahaa aiseh, ndimi mbili😂Samia kakaripia watu kuanza kamoeni kabla ya wakati, halafu yeye kaenda kuanza kamoeni bila wakati.
Kikao kimevunja katiba ya CCM ya 1977, tileo la Disemba 2022, 8bara ya 100, kifungu cha 5 c.
Kama kuna watu wanataka kupinga jambo hili, wanaweza.
Hawezi kupewa uwaziri mkuu kwa sababu akishika nafasi hiyo ni ngumu kuja kushika muhimili uliojichimbia zaidiRizimoja ndie waziri mkuu ajae wa Mama iwapo Mama atafanikwa kurudi madarakani.
Mzee wa Msoga anaandaa future ya kijana wake.
Form moja ipo kabla ya nunda wa chatoWalianza kuruhusu Form Moja wakati wa JPM, sasa wanashangaa nini?
Kuna mambo hapa yapo tata sanaLazima kieleweke. WanaCCM hatuwezi kukubali kurudi kwenye mambo ya kihuni kwenye chama chetu. Jpm alikirejesha chama kwa wanachama. Mama anakirudisha chama mikononi kwa wahuni. Mulimsikia yule bush lawyer mzee Makamba akisema chama ni chao kwa hiyo wanaweza kufanya wanavyotaka. Lazima katiba na utaratibu ufuatwe. Hatuwezi kua na mgombea ambaye anaweza kua rais mihula miwili huku hakuwawi kugombea kuteuliwa kua mgombea urais kufuatana na katiba na taratibu za chama.