Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Umejenga hoja vyema sana mkuu.

Lakini msingi wa swali ni kuwa mahakama na tume ni za kwao, kutegemea matokeo kuwa kwa upande wetu sisi wafuata taratibu inakua ngumu sana.
Asante mkuu, lakini hata kama ni za kwao, ingefaa sasa kila kijiji cha nchi hii kifungue shauri la kupinga mambo yote ya ajabu ajabu humu nchini- ni suala la uratibu tu na malipo kwa wanasheria ndio issue.

Majaji wapewe kazi ya zaida zaidi toka kila kijiji cha nchi hii. Wakichoka kusilikiza mashauri ya namna hii ndipo waatanza kutenda haki. yaanai kesi za kupinga kila corner kijiji.

Ningefurahi sana iwapo CDM wangeweka katika kila kijiji/kata/ tarafa mwanasheria wa kufungua kesi mbali mbali nyingi sana, hadi majaji wachoke na waanze kutenda haki. Hapa ndipo tulipo kwama maana hawa majaji wakipewa kashi kashi, hakutakuwa tena na delaying techinics. Ningependa sana mwanasheria ajaye wa CDM aanze na mpango huu kabla ya October. yaana ni kesi kwenda mbele hadi wachoke wenyewe na watoe kile wananchi wanachi taka- haki tupu. wakichelewa kutenda haki, kesi zitarundikana na wataoneka ni kauzi na watu kuwaambia kama wamechoka kazi waache. ifike mahali mahakama zifanye kazi 24/7 hadi weekend, wanasheria wapo wa kutosha, hakuna haja ya kukalia kesi wakati watu wa kufanya kazi hizo wapo.

sijui ni kwa nini kupata haki humu nchini ni kazi kama kutafuta kazi?
 
Kwamba ni mpango wa JK
Katika Familia hata kama una watoto 10 , kuna mmoja atakuwa ni chaguo lako na mtoto pendwa. Kwenye Family ya Mkwere, Kidoti ni the love of his life. Jamaa anapambania future ya huyu kijana.

Kama akikaa mtu tofauti na Mama pale , itakuwa ni ngumu sana

Ila nina mashaka kama hizi karata Mkwere kazicheza vema; zitafeli kama ilivyofeli ishu ya Mmwera wa Lindi

Kazi kwenu
 
Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?
Na kwamba kama anakubalika kwa kiwango kikubwa, kuna ubaya gani akifuata utaratibu? Kuna kitu gani anachokihofia? Na kwanini apindishe taratibu? Na kwanini hakubaliani na mawazo ya waliowengi anataka ya kwake na mchonganjia wake?
 
Inside information zinasema baadhi ya wazee wa CCM na wajumbe hawajaridhishwa na uamuzi wa kulazimisha AZIMIO nje ya Katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!

Wajumbe wanajadiliana kuwa tulizuia la JPM kutaka kuongeza muda wa Utawala, kwanini tunaruhusu la Samia kupita bila chujio? Tena kwa ajenda iliyopenyezwa nje ya utaratibu

Soma, Pia: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?

Kwamba , "kuruhusu jambo kama hilo ni kuruhusu mtu mwingine kuja kufanya lolote ndani ya chama baadae....ni aina nyingine ya Udikteta ndani ya chama"

Inside info zinasema , wajumbe wanahoji kuna ajenda gani kati ya Mama na JK, kwamba Mchakato mzima wa kulazimisha Azimio unaonekana umesimamiwa na JK na ilikuwa ni idea ya JK, kulikoni ya wawili hawa ?

Sakata la Mpango kukaa Kando, limeenda pia kuamsha mjadala mzito juu ya Samia na utendaji wa nchi kwa ujumla.

Wanasheria wa CCM wame affirm kwa wajumbe kuwa kilichofanyika dodoma sio sawa kwa mujibu wa KATIBA ya CCM, Katiba ya nchi na miongozo ( SoP& Guidelines) ya Uchaguzi mkuu hivyo hata Uandishi wa Azimio Utakuwa ni VOID na BATILI kwa sababu tayari umeshakinzana na Katiba,Kanuni na mionhozo na hakuna lawfull justification ya kufanya hivyo.

Vikao vya siri vya wajumbe ni kutokubali KATIBA YAO kupinduliwa kwa maslahi binafsi :Kwamba kama Samia anakubalika ndani ya miaka 3, ni ipi shida ya kuingia kwenye chujio?

Wajumbe bado wapo kwenye vikao vya siri wakijadili ni

"upi uhalali wa Mama kuvunja katiba ya CCM na Miongozo ya Uchaguzi!?huku mama kwa maksudi akijua anachokifanya sio Taratibu na mienendo ya chama chao.

Na je ni ipi agenda kati ya Mama na Mkwere? Insitincts za wajumbe ni kuwa mchakato wa uvunjifu wa Kanuni na taratibu umekusudia kusafisha njia kwa kijana wa Msoga 2030! ?

kuruhusu uharibifu wa katiba ni kukaribisha uharibifu? au ni Another JPM in the making.

Hizo ni hoja za wazee, wajumbe na vikao vya pembeni.

Kazi kwenu!
HIVYO VIKAO WANAJISUMBUA TU NI KAMA VIKAO VYA KAHAWA TU HAVITAWASAIDIA
 
Wakati wa kuwekeana mapingamizi kule tume ya uchaguzi. Pingamizi lenyewe ni rahisi, kwamba ccm haina mgombea Kwa maana wamevunja kanuni na taratibu za katiba yao iliyopo Kwa msajili wa vyama. Na pingamizi hili, litaibua uhalali wa mgombea huyo na kutupwa nje. Hapo ndipo kwenye issue maana nchi haijaruhusu mgombea binafsi au kujichagulia bila kufuata utaratibu. Hilo jambo pia halikuwemo kwenye ratiba ya kikao na mwenyekiti alikuwa na conflict of interest kukataa kutoka nje ya kikao na hoja toka Kwa kibajaji.
Mchakato huu wa mgombea wao Una kina kirefu maana umevunja fundamental right- ya kuchagua na kuchaguliwa humo vyamani. Mahakama / Quasi judicial body ( tume huru) haiwezi kukubali uvunjifu huu wa uchaguzi Kwa proclamation maana sio njia zilizomo kwenye katiba ya ccm ya Kuteua mtu. Wakitaka kuitumia proclamation, inabidi kwanza waifanyie mabadiriko katiba Yao ( mchakato mrefu huo) na baada ya wajumbe kukubali hiyo njia, kopi ya katiba ipelekwe Kwa msajili- baada ya hapo ndio utaratibu mpya utumike.
Ccm msipo kuwa makini, mtatolewa KO ktk uchaguzi Kwa kutokufuata kanuni na taratibu zenu mlizojiwekea wenyewe.
Jisafisheni kabla hamjalipeleka jina la mgombea wenu huko tume huru…
Wangeanza na Magufuli ingekuwa vizuri
 
Wakati wa kuwekeana mapingamizi kule tume ya uchaguzi. Pingamizi lenyewe ni rahisi, kwamba ccm haina mgombea Kwa maana wamevunja kanuni na taratibu za katiba yao iliyopo Kwa msajili wa vyama. Na pingamizi hili, litaibua uhalali wa mgombea huyo na kutupwa nje. Hapo ndipo kwenye issue maana nchi haijaruhusu mgombea binafsi au kujichagulia bila kufuata utaratibu. Hilo jambo pia halikuwemo kwenye ratiba ya kikao na mwenyekiti alikuwa na conflict of interest kukataa kutoka nje ya kikao na hoja toka Kwa kibajaji.
Mchakato huu wa mgombea wao Una kina kirefu maana umevunja fundamental right- ya kuchagua na kuchaguliwa humo vyamani. Mahakama / Quasi judicial body ( tume huru) haiwezi kukubali uvunjifu huu wa uchaguzi Kwa proclamation maana sio njia zilizomo kwenye katiba ya ccm ya Kuteua mtu. Wakitaka kuitumia proclamation, inabidi kwanza waifanyie mabadiriko katiba Yao ( mchakato mrefu huo) na baada ya wajumbe kukubali hiyo njia, kopi ya katiba ipelekwe Kwa msajili- baada ya hapo ndio utaratibu mpya utumike.
Ccm msipo kuwa makini, mtatolewa KO ktk uchaguzi Kwa kutokufuata kanuni na taratibu zenu mlizojiwekea wenyewe.
Jisafisheni kabla hamjalipeleka jina la mgombea wenu huko tume huru…
Mkurugenzi wa Tume anaweza kukata Jina la Dada Mkubwa?
 
Asante mkuu, lakini hata kama ni za kwao, ingefaa sasa kila kijiji cha nchi hii kifungue shauri la kupinga mambo yote ya ajabu ajabu humu nchini- ni suala la uratibu tu na malipo kwa wanasheria ndio issue.

Majaji wapewe kazi ya zaida zaidi toka kila kijiji cha nchi hii. Wakichoka kusilikiza mashauri ya namna hii ndipo waatanza kutenda haki. yaanai kesi za kupinga kila corner kijiji.

Ningefurahi sana iwapo CDM wangeweka katika kila kijiji/kata/ tarafa mwanasheria wa kufungua kesi mbali mbali nyingi sana, hadi majaji wachoke na waanze kutenda haki. Hapa ndipo tulipo kwama maana hawa majaji wakipewa kashi kashi, hakutakuwa tena na delaying techinics. Ningependa sana mwanasheria ajaye wa CDM aanze na mpango huu kabla ya October. yaana ni kesi kwenda mbele hadi wachoke wenyewe na watoe kile wananchi wanachi taka- haki tupu. wakichelewa kutenda haki, kesi zitarundikana na wataoneka ni kauzi na watu kuwaambia kama wamechoka kazi waache. ifike mahali mahakama zifanye kazi 24/7 hadi weekend, wanasheria wapo wa kutosha, hakuna haja ya kukalia kesi wakati watu wa kufanya kazi hizo wapo.

sijui ni kwa nini kupata haki humu nchini ni kazi kama kutafuta kazi?
Nakupata vyema sana. Huo ni mkakati mzuri. Nafikiri wakuu humu wanapitia Mshana Jr na wenzake, watamfikishia TAL na Dk. Rugemeleza Nshala
 
Zile Siasa za KIBABE walizokuwa wakitufanyia sisi Wapinzani na haswa CHADEMA sasa wanafanyiana CCM kwa CCM na soon wataanza kutekana na kuuana wenyewe kwa kwenyewe.
 
Back
Top Bottom