Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

5G, Chip na 666. Zina mahusiano makubwa sana.
Wanatakakutupeleka kwenye Chip ili maandiko ya 666 yatimie
 
5G, Chip na 666. Zina mahusiano makubwa sana.
Wanatakakutupeleka kwenye Chip ili maandiko ya 666 yatimie

Mkuu unadhani huko Uganda, Kenya na hata Uganda kasi ya vifo vya high profile individuals iko juu hivyo?

Sasa chip ya 5G inahusika Tanzania tu?
 
Unaposema vifo vimeongezeka una maana kwamba kabla ya corona ulikuwa unafutilia idadi au hali ya vifo Tanzania kiasi cha kuweza kujua kuwa hivi sasa idadi ya vifo imeongezeka kuzidi baada ya kuingia kwa corona?

Mimi nafikiri kipimo kizuri ni kila mtu kuangalia eneo zima analoishi hali ikoje? je,maeneo tunayoishi kuna ongezeko la vifo kusiko kawaida?
 
Taarifa za huu ugonjwa ziwekwe wazi
 
I repeat, did you read your preceding comment that I had replied to?

Get back to your senses if you have any left with you, patsy. You had my promise - "you won't miss it!"

Miminika ....
OH! I was right... you've no confidence with your own argument, that's why you been beating around the bush instead of going directly to the point!
 
Mkuu tahadhari gani hizo ambazo yule RC alishindwa kuchukua? Kwa maneno yake alisema: "sijui ni sharti lipi sikuzingatia". Mwisho wa kumnukuu.
Kuzunguka hovyo hovyo na social distancing hakuzingatia.
 
Dah mkuu P naona unamtetea sana poti wako, lakini kiukweli amekula kona na nchi inakwenda tu.
 
uyo wa kahama sio kweli mkuu
Kafa kwa tatizo gani?
Anazikwa lini?
Nilisikia alipelekwa kituo cha afya kwema akazidiwa usiku huo huo akafa kwa tatizo la upumuaji japo tetesi za kitaa wanasema alikuwa mgonjwa wa dozi za hisani ya watu wa marekani ( mtaani kuna maneno sana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tufanyeje tupate kupona?
Ikiwa twaambiwa tahadhari za msingi za kunawa na kuziba pua na midomo kwa barakoa nazo twazifuata
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungetaja hicho kisicho sawa ingekuwa msaada mkubwa sana.
Hakuna kificho watu wanakufa na kuugua sana tu, na tahadhari tunazoambiwa zinafanyiwa KAZI, tena wengi wanaoripotiwa kufa ni wale usiowatilia shaka kuwa wanachukua tahadhari.
Sasa tufanye nin?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote haya sababu ya covid19 hakuna swali, tunashuhudia kwenye jamii tunayoishi.
Nini kifanyike sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama benki zinavyofanya, unaweza pia kulinganisha Jan 2019 na Jan 2020 ama Q1 2019 na Q1 2020. Nakubaliana na wewe kuwa data zinahitajika. Otherwise ni umbeya tu.
 

Mkuu cha kwanza ni elimu kuwa hivi ni vita vya taifa siyo vita vya mtu mmoja mmoja.

Mzee baba kule anatuangusha sana.

Maamuzi pale juu kwa mzee baba ni lazima yabadilike kulinusuru taifa hili.

Busara za marais wastaafu zinaweza saidia kumfunga huyu paka kengele. Watu hawawezi kuendelea kufa wakati wenye akili zao wakiangalia misukule ikitamalaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…