Brother hili swala hutakiwi kugeneralize, siyo kila mtu hana uwezo wa kulea watoto zaidi ya watatu hadi Saba. Kinachotakiwa ni mtu kufanya tathmini ya hali yake kiuchumi kabla hajachukua maamuzi ya kuongeza idadi ya watoto na pia kuzingatia ushauri wa Afya kuhusu child spacing.
Kuzaa watoto ni baraka Kama una wezo wa kuwalea na kuwapatia mahitaji yao jinsi inavyotakiwa. Kwa hiyo hakuna limit kwamba mtu anatakiwa aishie kuzaa watoto watatu ndo aonekane kuwa anafuata uzazi wa mpango.
sasa ujinga gani, hujui familia kubwa ni faraja.
familia ikiwa ndogo sana misiba ikitokea huwa inachoma sana kwa maana mpo wachache, mkiwa wengi kuna amani na faraja fulani hivi
hivyo tatizo sio big family ni uwezo tu wa kulea, kama mtu ana uwezo azae tu, kama kina kardashian, ni wazungu ila familia ni kuubwa hadi inafurahisha ile ni faraja kubwa sana.
Mtoto ana raha yake sawa mkuu lakini ndio wazaliwe kwa utaratibu maalumcoach, maneno ya mwenye kushiba hayo!! mtoto ana raha yake asikwambie mtu; isitoshe kuna wimbi la wazazi wasiotaka au kupenda watoto wao kulelewa na mabibi siku hizi......ungelipata tabu na majuto.
Utaanzaje kumuambia wife mtumie kontomu?
Nasubiri jibuMtoto ana raha yake sawa mkuu lakini ndio wazaliwe kwa utaratibu maalum
Huyo mzee wako ataweza kumlea huyo mtoto mpaka atakapoweza kujitegemea?...Kabisa mkuu mzee wangu alizaa wakwake akiwa na miaka 65 hiyo ilikua mwaka 2008 sasa hivi ka dogo ndio kanampa kampani na kumchangamsha
Huku kwetu vijijini tuna uwezo huo, chakula tele mashamba na hata nguvu pendwa uhakika... huko mjini dhiki nyingi chumba kimoja cha kupanga unadhani wote tunaishi hivyo?
Tunakumbushana ustaarabu na sio kupangiana maishaNaona tumeanza kupangiana na maisha sasa, nyie endeleeni tu.
Huyo dada anaongea points sana na mifano yake ipo haiNaona Sasa umeanza kujifananisha na samaki😂😂
Ila usisahau huna asili ya samaki. Acha samaki aitwe samaki.
mwafrika mimi hata usiniletee habari hizo:
kama mama bado anayo mayai na yupo katika umri salama wa kuzaa na ninahitaji mtoto; anazalishwa mara moja.
kama mama ana miaka 35 na binti yake wa kwanza na pekee mwenye miaka 18 aliyempata akiwa na miaka 17 naye ni mjamzito.....wala sisiti kumpachika mimba kwa sababu hiyo. utakuwa ni ujinga kuacha kuijaza dunia kwa vijisababu ambavyo ni maoni 'opinion' tu za watu na sio 'fact'.
kwangu kipaumbele ni; je, tunahitaji mtoto? je, ni salama kwa mama kujifungua sasa? basi!
mkuu Jurjana, tujuze suala hili katika msimamo wa kidini tafadhali!!!
A very good pointNature hii hii inayokufanya uzalishe more than a thousand sperms per mshindo?
Mbona hutoi watoto wengi kama samaki ama chura per pregnancy?
Tumeumbwa kuyatawala mazingira (nature) na sio kinyume chake!
Haya mambo kama wewe huwezi, Basi nyamaza waachie wanaoona wanaweza....
Tusipangiane namna ya kuzaliana....
Kama suala ni nature mbona kaka na dada wa tumbo moja hawaoani kama wafanyavyo wanyama wengine kama ng'ombe na mbuzi?Acha uoga mkuu...
Sheria yoyota iliyotofauti na nature ni batili!
So unamaanisha wanaozaa watoto wengi hawatunzi watoto Ila wanozaaa wachache wanatunza watoto?Ishu sio kuzaa,ni wachache sana ambao hawawezi kuzaa,tatizo ni kutunza hao watoto.
Hapo Kuna sababu za kisayansi ambazo zinajulikana kabisa ( inbreeding effects) ndiyo maana hairuhusiwiKama suala ni nature mbona kaka na dada wa tumbo moja hawaoani kama wafanyavyo wanyama wengine kama ng'ombe na mbuzi?
Tuendelee kuzaana kwa stahaZaeni mkaijaze nchi...
Km unaweza kufikiri kuwa watoto wawili wataweza kufanya uwe na furaha,
Sasa kwann umuogope anaepata furaha yake kwa kuwa na watoto wengi?
Tuwajal watoto.
Nosense., Haya mambo si ya kujadili na yaonekana wazi ata dini huna, na unafkiri kila kitu ulimwenguni kinaendeshwa ni mawazo binafsi ya mwanadamu, na ndio mana sasa ukijisikia unakuja hapa jf na kuandika tu chochote.
Wazae kwa staha. Tunataka jamii ya watu waliostaarabikaWakubwa wakizaa wewe unadhurika nini?
Mradi hawazai na wewe kuna shida ipi?
Hizi kauli za kikoloni ziacheni huko, mnatawaliwa mpaka mnashindwa kufanya maamuzi yenu binafsi, kwani mke wangu kubeba ujauzito hata kama binti yake yake naye ana ujauzito shida nini?...
Asante kwa taarifa...Nani kakuambia Mzee Mengi kafariki bila ya wajukuu?? Mtoto wake Rodney Motie Mengi,alifariki mwaka 2005 akiwa na watoto 2 kama sio 3