Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kumbuka tuna deni la kuujaza ulimwengu... Mkuu!Ni nani huyo aliyasema hayo mkuu?
Shame inatoka wapi?Amri kutoka kwa mungu au ulevi wako tu na elimu kiduchu uliyonayo?
Haiwezekani zee lina miaka hamsini bado linazaa tu!
Mtoto wako anazaa na wewe unazaa! SHAMEFUL!
Mnakuwa kama familia ya masungura!
Askari wa Miguu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya mambo ni Ujinga mtupu was mwafrika...Kwa hiyo mwanaume aliyeoa binti yako anakuja kumpa hongera mkeo (mama mkwe wake) kwa kujifungua mtoto mchanga (shemeji yake)?
Ndiyo maana hamuendelei mmebaki jamii ya hovyo Kabisa Bora Hata wanyama.... Poleni sanaEti maadili wewe unajua maadili gani ?.Kuzaa ni kukosa maadili? Nchi inataka watu wewe unaongea upuuzi ? Mpaka binti anaolewa maana yake anakuwa anajua mama yake alifanya nini ndipo akazaliwa yeye sasa hapo ajabu kitu gani?. Usituletee tabia za huko kwenu ulaya. Afrika ambapo binti anazaa akiwa miaka14 anarudi shule anamaliza chuo kikuu anazaa wa pili halafu yule kwanza ameshapevuka na anaweza olewa na akazaa .Amka Afrika siyo Ulaya.Afrika unaweza kuwa na miaka 25 na bado unaye Baba Mdogo wa miaka 2.
Mkuu watu Ni wapuuzi Sana wanatetea ujinga ambao unaligharimu taifa kwa sanaAmri kutoka kwa mungu au ulevi wako tu na elimu kiduchu uliyonayo?
Haiwezekani zee lina miaka hamsini bado linazaa tu!
Mtoto wako anazaa na wewe unazaa! SHAMEFUL!
Mnakuwa kama familia ya masungura!
Sasa hapo utamwitaje hebu nisaidie.Hii ni shida ya lugha tu, hakuna baba mdogo mwenye miaka 5.
Inasikitisha sana mkuuDuh !!
Kwani wanapeana mimba na kuzaa mbele ya watoto?Kujisaidia haja kubwa pia ni natural process. Je, unaweza kujisaidia mbele ya watoto wako?
Saniniu laizee Ana 30 na bado anafyatua.Jichunguze utagundua kuwa wewe ndio huna akili.
Umekariri life ya kizungu bila kuchuja hata moja.
Km uchumi wangu upo stable acha nipate hata watoto 50.
Kupanga uzazi kwangu ni big NO!
Pole wewe maskini wa fikra usiyejua nini maana ya maendeleo .Ndiyo maana huwa mnamshangaa Babu yangu anamiliki ng'ombe elfu kumi mnasema maskini mkiwa mnamiliki tafsiri kuwa lazima aishi ghorofani.Ndiyo maana hamuendelei mmebaki jamii ya hovyo Kabisa Bora Hata wanyama.... Poleni sana
Mkuu, usitutoe nje ya mada kwa kuleta storry za babu yako kumiliki idadi kubwa ya ng'ombePole wewe maskini wa fikra usiyejua nini maana ya maendeleo .Ndiyo maana huwa mnamshangaa Babu yangu anamiliki ng'ombe elfu kumi mnasema maskini mkiwa mnamiliki tafsiri kuwa lazima aishi ghorofani.
"Public Figure" akianza kutembea bila nguo na wewe utamuiga?Saniniu laizee Ana 30 na bado anafyatua.
Tunazungumzia "natural processes" na athari zake kwa jamii kama sizipodhibitiwaKwani wanapeana mimba na kuzaa mbele ya watoto?
Huyo ni mtoto wa babuSasa hapo utamwitaje hebu nisaidie.
mhhh aiseeNi utamaduni[emoji3]View attachment 1669747
Hii mada ndio imenidhihirishia kuwa humu JF bado kuna wajinga wengiMkuu watu Ni wapuuzi Sana wanatetea ujinga ambao unaligharimu taifa kwa sana
Hao wanasikitisha sana mkuuNdiyo maana hamuendelei mmebaki jamii ya hovyo Kabisa Bora Hata wanyama.... Poleni sana