Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Mjue sana Mungu na uyajue makusudi yake kuhusu kuzaana hapo ndipo utakuwa umeelimika vya kutosha ila kwa sasa huna elimu yoyote pimbi wewe
Kuzaa taahira hakusababishwi na uzazi wa uzeeni, kwa mfano Ibrahim na mkewe Sara walizaa mtoto Isaka wakiwa wazee vikongwe unadhani Isaka alikuwa taahira?
La hasha
Kuzaa taahira hakusababishwi na uzazi wa uzeeni, kwa mfano Ibrahim na mkewe Sara walizaa mtoto Isaka wakiwa wazee vikongwe unadhani Isaka alikuwa taahira?
La hasha