ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
G Sam,
Tuna mkuu wa ajabu Sana,unaweza pata picha alipokuwa sengerema ilibidi atoe amri ya kujenga kibarabara ambacho watu Wana shida nacho kuliko hilo daraja,hii ni matumizi mabaya ya pesa na madaraka.
Hata stiglaz ni sawa tu na huu mradi maana utazalusha umeme ambao utakuwa hautumiki kwa vile so far tuna surplus,unaniuliza kwani wangejenga bwawa la mgwt 400 pesa inayobaki ikafanya mengine kungetokea shida gani? Akili za maccm ni tatizo kubwa Sana kwenye nchi hii.
Hayo mahilioni unazungumzia km 750 za lami
Tuna mkuu wa ajabu Sana,unaweza pata picha alipokuwa sengerema ilibidi atoe amri ya kujenga kibarabara ambacho watu Wana shida nacho kuliko hilo daraja,hii ni matumizi mabaya ya pesa na madaraka.
Hata stiglaz ni sawa tu na huu mradi maana utazalusha umeme ambao utakuwa hautumiki kwa vile so far tuna surplus,unaniuliza kwani wangejenga bwawa la mgwt 400 pesa inayobaki ikafanya mengine kungetokea shida gani? Akili za maccm ni tatizo kubwa Sana kwenye nchi hii.
Hayo mahilioni unazungumzia km 750 za lami