Bado sijaelewa jambo moja: Hivi tunataka kuendesha SGR sambamba na reli ya zamani?

Bado sijaelewa jambo moja: Hivi tunataka kuendesha SGR sambamba na reli ya zamani?

siamini kuwa wewe huoni tofauti ya sisi na CCM yetu, na wao na vyama mbalimbali vilivyoweza kushika madaraka.
Umateka uliowekwa na CCM, kwamba huwezi kamwe kuwaondoa madarakani umekuzima akili kabisa?
Mie binafsi I dont care whether ni CCM, au Chadema au nani sijui wanaongoza nchi. I believe in people, not vyama vyao. Najua CCM mna watu wazuri tu, wazalendo wa kweli, lakini pia najua mna mafisadi waliokubuhu. Najua pia Chadema wana wazalendo wazuri na pia wachumia tumbo. Kuna wakati CCM katika ujumla wao wanaongea na kufanya utumbo uliooza, kama vile tu Chadema na wengineo

So whether raisi wangu ni CCM au Chadema, au TLP is immaterial, nataka kiongozi msafi, asiye fisadi mzalendo wa kweli. Sasa kama wewe umeamua kuifanya CCM kama mama au baba yako, hilo ni juu yako bwana, wewe sio mimi. Watu wanaachana katika ndoa pamoja na kuwa na watoto itakuwa uhusiano kati yao na chama chao? Labda kama ni mwendawazimu unaona ni rahisi kuachana na mkeo au mumeo akikukosea kuliko kuachana na chama chako kinapofanya upumbavu
 
Mkuu, nimeshakuambia, you need to be realistic. Kwa nini tu-pretend maraisi wetu wamemuwa wakiongoza kwa kufuata katika kama walivyoapa? Ndio maana nikasema kama unafikiri hivyo basi wewe ni mwenda wazimu, au huijui katiba yetu.

La pili, unafikiri kwa nini hawa kina Masanja wa TRC, kina Mwigulu Nchemba, wanaishia kuonekana wanaongea mambo tofauti na raisi nyakati fulani fulani? Kwa nini wanakuwa kama wana uwoga fulani kuongea ukweli wote kama wanavyoulewa? Ni kwa sababu wanaogopa kuongea kitu ambacho waswahili wanasema "watashushuliwa na raisi". Samia ni mtu wa vijembe sana, kama hujui basi hujui kusoma watu. Labda ni silka ya Wazanzibar, lakini kuna watu hiyo tabia inawakera.

Unakumbuka Raisi Samia alichomfanyia Prof. Mkenda? Sasa that set a precedent ya uoga kwa wateule wote wa raisi Samia. Hawako confident tena kueleza kile wanachoelewa ili Samia asije kuwaumbua kama alivyomfanyia Prof. Mkenda. Niliandika humu JF, kwamba Samia alikuwa very unwise kwa jinsi alivyo react kwenye kauli ya Prof. Mkenda, na nilitamani she could be bigger (wiser) than that. Ndio maana hata mimi, kwa jinsi ambavyo sasa nimemsoma Samia, nasema ningefanya hivyo hivyo, kwa sababu alternative ni nini, kuachia ngazi? Kwa hiyo, sometimes all you need is to realistic. Msome Samia, mwelewe, na caress her ego, as long as hufanyi madhambi.
Inasikitisha sana kama haya uliyoandika hapa ndiyo yawe ya kuhararisha haramu na kuyafanya kuwa ndiyo kawaida!

Wengine tulishaondoa heshima kwenye uongozi wa aina hiyo unaoupigia chapuo hapa. Hakuna uongozi, na kwa hawa mawaziri unaowasema, hakuna hata mmoja anayestahiri heshima ya uwaziri.

Tatizo la nchi yetu limeanzia hapo, tunapoona uozo na kuanza kuushagilia uozo huo kuwa kama ndiyo hali ya kawaida na kuufanya uonekane una faida, hata kwa watu wenye akili zao timamu kabisa!

Na huu ndio umateka ninaouzungumzia, tunaofanyiwa na CCM.
 
Mie binafsi I dont care whether ni CCM, au Chadema au nani sijui wanaongoza nchi. I believe in people, not vyama vyao. Najua CCM mna watu wazuri tu, wazalendo wa kweli, lakini pia najua mna mafisadi waliokubuhu. Najua pia Chadema wana wazalendo wazuri na pia wachumia tumbo. Kuna wakati CCM katika ujumla wao wanaongea na kufanya utumbo uliooza, kama vile tu Chadema na wengineo
Mkuu 'Synthesizer', naomba unielewe vizuri, sijasema CHADEMA au nani mwingine atafanya tofauti na CCM katika hayo mengine tunayoyazungumzia hapa.
Ninalosema, na nataka uelewe ni kwamba yeyote yule atakayekuwepo, asiwe na uwezo wa kutufanya sisi mateka wake, kiasi kwamba hata kumtoa tu madarakani haiwezekani. Hiyo ndiyo tofauti kubwa..
CHADEMA hawajatuonyesha kama na wao wakiingia watatuzuia kuwaondoa madarakani kwa mitutu ya bunduki, kwa hiyo hatuwezi kuwalaumu kwa hilo.
 
Inasikitisha sana kama haya uliyoandika hapa ndiyo yawe ya kuhararisha haramu na kuyafanya kuwa ndiyo kawaida!

Wengine tulishaondoa heshima kwenye uongozi wa aina hiyo unaoupigia chapuo hapa. Hakuna uongozi, na kwa hawa mawaziri unaowasema, hakuna hata mmoja anayestahiri heshima ya uwaziri.

Tatizo la nchi yetu limeanzia hapo, tunapoona uozo na kuanza kuushagilia uozo huo kuwa kama ndiyo hali ya kawaida na kuufanya uonekane una faida, hata kwa watu wenye akili zao timamu kabisa!

Na huu ndio umateka ninaouzungumzia, tunaofanyiwa na CCM.
Naona inakuwia vigumu sana kunielewa. Labda ni kwa kuwa unanisoma kijuu juu mno.

Hakuna mahali nimesema tuhalalishe uzembe, lakini pia hakuna mahali nimesema tuhalalishe insubordination kwa raisi. Masanja hawezi kupingana na raisi, au hata kutoa kauli inayopingana na raisi, jata Mwigulu. Hawawezi conscientiously, kutoa kauli wanazoona wazi zinapingana na raisi, na watakuwa tayari kujikanyaga ili kuwa waangalifu wakaongea kitu ambacho bosi wao Samia hatakifurahia.

Sasa hilo ndilo nililosema hata mie ningefanya hivyo, kwa sababu watu wanawalaumu kwa kutokuwa clear katika majibu yao juu ya SGR na mabehewa. Mie nimemlaumu Samia. Nimeuliza, ina maana anafanya maamuzi bila kuwashirikisha kiasi kwamba hawajui waseme nini hadharani?

Na mpaka sasa, siwezi kuamimi viongozi wa TRC wamefanya ufisadi katika issue ya mabehewa. Kwa sababu kama wamefanya, basi lazima ni ufisadi ambao Samia nae ni sehemu yake, na siamini mpaka sasa Samia anaweza kujiingiza kwenye jambo kama ufisadi wa kununua mabehewa. After all, Samia akiamua kufanya ufisadi ana nafasi kubwa ya kuufanya zaidi ya hizi chenji za mabehewa

Sasa mie sioni ni kitu gani hapa unasema napigia chapuo. Na kama unaamini kuna ufisadi kwenye mabehewa basi kumbe wewe ndio una tatizo la kufikiri. Najua kuna mambo au uzembe fulani umefanyika, lakini sio ufisadi. Big no.
 
Sasa hilo ndilo nililosema hata mie ningefanya hivyo, kwa sababu watu wanawalaumu kwa kutokuwa clear katika majibu yao juu ya SGR na mabehewa. Mie nimemlaumu Samia. Nimeuliza, ina maana anafanya maamuzi bila kuwashirikisha kiasi kwamba hawajui waseme nini hadharani?
Hili limekwishakuondolea kabisa heshima ya hayo mengine unayoyazungumzia humu. In fact you're much worse kuliko hao akina Mwigulu.
Soma maandiko yako haya utaona jinsi gani unavyojichanganya mwenyewe.

Sijapatai kamwe kukusoma kama ninavyokusoma leo hii katika mada hii.
 
Mkuu 'Synthesizer', naomba unielewe vizuri, sijasema CHADEMA au nani mwingine atafanya tofauti na CCM katika hayo mengine tunayoyazungumzia hapa.
Ninalosema, na nataka uelewe ni kwamba yeyote yule atakayekuwepo, asiwe na uwezo wa kutufanya sisi mateka wake, kiasi kwamba hata kumtoa tu madarakani haiwezekani. Hiyo ndiyo tofauti kubwa..
CHADEMA hawajatuonyesha kama na wao wakiingia watatuzuia kuwaondoa madarakani kwa mitutu ya bunduki, kwa hiyo hatuwezi kuwalaumu kwa hilo.
Unawaonea Chadema. Ni lini Magufuli alituonyesha akiingia madarakani asingetuzuia kumwondoa kwa mitutu ya bunduki?

Ndio maana nikasema, it does not matter ni chama gani. Mie siwezi kuwalaumu Chadema wala CCM kama uongozi wa nchi hii ni mbaya, na kwa ujumla uongozi wa Tanzania ni mbaya sana, kwa sababu hauna checks na balance zinazopaswa kuwekwa na upinzani kwa chama tawala. Ninaowalaumu ni wapiga kura, ambao labda kama wewe wanapiga kura kulingana na ushabiki wao wa kisiasa na sio kulingana na sifa za mgombea. Unakuta CCM ukipewa mgombea total rot katika jimbo lako la uchaguzi, hata ukijua hafai, unampa kura yako kwa sababu unashabikia chama chako. Mie nawaita wapiga kura wote wa Tanzania kuwa politically illiterate, pamoja na wabunge au viongozi wenu.

Wabunge wanakuja na miswaada ambayo hata mtoto mdogo anajua itakuwa na athari kwa nchi, wakionyeshwa hilo na upinzani wanazomea. Sasa what kind of stupid fools tunao kama wawakilishi wetu wa kujadiliana maendeleo ya nchi yetu bungeni? Hoja inakuwa mbovu kwa CCM kwa kuwa imetolewa na Chadema, au kwa Chadema kwa sababu imetolewa na CCM?Kupinga kwa makusudi kitu ambacho unajua kina manufaa kwa nchi kwa sababu tu unashabikia chama chako ni treason!!! You should be jailed for life.

Sasa mimi nasema, tuna wapiga kura ambao ni politically illiterate na matokeo yake tunapata viongozi politically semi illiterate. Sasa hatuwezi kusema tutawabadilisha wapiga kura wetu overnight from their deep slumber ya political illiteracy. Ndio maana nikasema catalyst hapa ni raisi mzalendo wa kweli, ambae kwa mapenzi yake ya nchi ataona umuhimu wa kutengeneza uwiano bungeni utakaoleta check and balance, ili CCM au Chadema wakiwa bungeni watajua wako kwenye serious business, waongee na kupendekeza vitu ambavyo kama ni utumbo havitapita kirahisi.

Ningekuwa Samia ningethubutu hata kuivunja CCM igawanyike ili kuunda upinzani wa kweli, kama ikishindikana kuukomaza upinzani uliopo. Raisi mzalendo anapaswa kusikitika pale anapoona chama chake kina zaidi ya 90% ya wabunge. Sio jambo la kufurahia hata kidgogo hilo kwa mtu yeyote mwenye akili timamu
 
Kuna kila dalili kwamba SGR itakapokamilika bado tutakuwa na reli ya zamani ikitoa huduma. Hapo mwanzo nilifikiri kwamba reli ya zamani itaendelea kutoa huduma kwa matawi ya Tabora - Mpanda, na labda Dar -es Salaam kwenda Tanga, Moshi na Arusha, ambako sijasikia lolote juu ya kuwepo kwa SGR.

Lakini kila habari zinapotolewa, sisikii hili likiwekwa wazi. Ninasikia tu kuhusu SGR sambamba na reli ya zamani, na manunuzi yakifanywa kwa ajili ya reli zote mbili.

Kwa nini tuendelee kuhudumia na kuwekeza kwenye reli zote mbili? Ni kupanua wigo wa huduma katika bei, kwamba SGR iwe kwa mabwana na reli ya zamani watwana?

Ninachelea kwamba uwepo wa SGR utafanya reli ya zamani iendeshwe kwa hasara iwapo tutaendelea kuitumia. Nilidhani labda SGR ikikamilika reli ya zamani itauzwa kama vyuma chakavu.

Labda ni ule uswahili wetu tu wa kiafrika, tunaendelea kutaka kumiliki vitu vya zamani, tunashindwa kuvitupa hata kama tumenunua kitu kipya mbadala
Unachokimaanisha ni sawa na kuacha matumizi ya daladala baada ya uwepo wa mabasi ya mwendo Kasi sio!?
 
Unawaonea Chadema. Ni lini Magufuli alituonyesha akiingia madarakani asingetuzuia kumwondoa kwa mitutu ya bunduki?

Ndio maana nikasema, it does not matter ni chama gani. Mie siwezi kuwalaumu Chadema wala CCM kama uongozi wa nchi hii ni mbaya, na kwa ujumla uongozi wa Tanzania ni mbaya sana, kwa sababu hauna checks na balance zinazopaswa kuwekwa na upinzani kwa chama tawala. Ninaowalaumu ni wapiga kura, ambao labda kama wewe wanapiga kura kulingana na ushabiki wao wa kisiasa na sio kulingana na sifa za mgombea. Unakuta CCM ukipewa mgombea total rot katika jimbo lako la uchaguzi, hata ukijua hafai, unampa kura yako kwa sababu unashabikia chama chako. Mie nawaita wapiga kura wote wa Tanzania kuwa politically illiterate, pamoja na wabunge au viongozi wenu.

Wabunge wanakuja na miswaada ambayo hata mtoto mdogo anajua itakuwa na athari kwa nchi, wakionyeshwa hilo na upinzani wanazomea. Sasa what kind of stupid fools tunao kama wawakilishi wetu wa kujadiliana maendeleo ya nchi yetu bungeni? Hoja inakuwa mbovu kwa CCM kwa kuwa imetolewa na Chadema, au kwa Chadema kwa sababu imetolewa na CCM?Kupinga kwa makusudi kitu ambacho unajua kina manufaa kwa nchi kwa sababu tu unashabikia chama chako ni treason!!! You should be jailed for life.

Sasa mimi nasema, tuna wapiga kura ambao ni politically illiterate na matokeo yake tunapata viongozi politically semi illiterate. Sasa hatuwezi kusema tutawabadilisha wapiga kura wetu overnight from their deep slumber ya political illiteracy. Ndio maana nikasema catalyst hapa ni raisi mzalendo wa kweli, ambae kwa mapenzi yake ya nchi ataona umuhimu wa kutengeneza uwiano bungeni utakaoleta check and balance, ili CCM au Chadema wakiwa bungeni watajua wako kwenye serious business, waongee na kupendekeza vitu ambavyo kama ni utumbo havitapita kirahisi.

Ningekuwa Samia ningethubutu hata kuivunja CCM igawanyike ili kuunda upinzani wa kweli, kama ikishindikana kuukomaza upinzani uliopo. Raisi mzalendo anapaswa kusikitika pale anapoona chama chake kina zaidi ya 90% ya wabunge. Sio jambo la kufurahia hata kidgogo hilo kwa mtu yeyote mwenye akili timamu
Sina sababu ya kuendeleza mjadala huu nawe.
It's just a waste of time.
 
Sina sababu ya kuendeleza mjadala huu nawe.
It's just a waste of time.
Exactly, kwa sababu unachoona ni chama chako kuwa madarakani zaidi ya Tanzania kuendelea. We cant see at the same level
 
Unachokimaanisha ni sawa na kuacha matumizi ya daladala baada ya uwepo wa mabasi ya mwendo Kasi sio!?
Hapana, nimesema hapo juu hayo ni mambo mawili tifauti. Nimesema ni kuacha matumizi ya Nokia 10 kwa sababu una Samsung Note 15.

Hatujengi SGR kwa sababu reli ya zamani imelemewa kwa demand. Tunajenga SGR kwa sababu itakuwa na capacity over and above reli ya zamani, with more efficiency.
 
Exactly, kwa sababu unachoona ni chama chako kuwa madarakani zaidi ya Tanzania kuendelea. We cant see at the same level
Inawezekana upo 'under the influence' ya kilevi; vinginevyo usingeandika hivi; na hayo mengine uliyoandika huko juu kujaza tu kurasa.
 
Inawezekana upo 'under the influence' ya kilevi; vinginevyo usingeandika hivi; na hayo mengine uliyoandika huko juu kujaza tu kurasa.
Nimegundua kitu kimoja, wewe ni mvivu wa kusoma. Uko kwenye ile category wanayosema Mwafrika ukitaka kumficha kitu kiweke kwenye maandishi. Ungekuwa unasoma maelezo yangu usingekuwa unajibu unavyojibu
 
Nimegundua kitu kimoja, wewe ni mvivu wa kusoma. Uko kwenye ile category wanayosema Mwafrika ukitaka kumficha kitu kiweke kwenye maandishi. Ungekuwa unasoma maelezo yangu usingekuwa unajibu unavyojibu
Nimekuwa 'discouraged' kukusoma nilipoona unajichanganya mwenyewe katika maandishi yako.

Baada ya hapo, haya mengine maandishi marefu sikuwa tena na hamu ya kuyasoma, kwa makini, nilichofanya ni ku'scheme' tu na kuona hakuna tofauti na yale ya mwanzo niliyosoma.
 
Nimekuwa 'discouraged' kukusoma nilipoona unajichanganya mwenyewe katika maandishi yako.

Baada ya hapo, haya mengine maandishi marefu sikuwa tena na hamu ya kuyasoma, kwa makini, nilichofanya ni ku'scheme' tu na kuona hakuna tofauti na yale ya mwanzo niliyosoma.
Exactly! You prove my point. Hujasoma lakini umekimbilia kusema " Sina sababu ya kuendeleza mjadala huu nawe.It's just a waste of time"

A truly, typical African, ukiona sentensi zaidi ya tatu inakuwa too much kwako kusoma, uko tayari ujibu bila kusoma. Ndio maana watu wetu wanatia sahihi mikataba ya ajabu sana, uvivu wa kusoma. CCM wanajibu ndiooooo miswaada ambayo hawajasoma, uvivu tu wa kusoma muswada wa CCM na kuulinganisha na mapendekezo ya upinzani. Wanaona rahisi kujibu ndioooo ili mjadala ufungwe.
 
Nimekuwa 'discouraged' kukusoma nilipoona unajichanganya mwenyewe katika maandishi yako.

Baada ya hapo, haya mengine maandishi marefu sikuwa tena na hamu ya kuyasoma,
Basi hukupaswa kujibu. Mtu mwenye akili angeacha ajibu hata kesho, lakini sio kulaumu kitu ambacho hujasoma. NI UJINGA
 
Exactly! You prove my point. Hujasoma lakini umekimbilia kusema " Sina sababu ya kuendeleza mjadala huu nawe.It's just a waste of time"

A truly, typical African, ukiona sentensi zaidi ya tatu inakuwa too much kwako kusoma, uko tayari ujibu bila kusoma. Ndio maana watu wetu wanatia sahihi mikataba ya ajabu sana, uvivu wa kusoma. CCM wanajibu ndiooooo miswaada ambayo hawajasoma, uvivu tu wa kusoma muswada wa CCM na kuulinganisha na mapendekezo ya upinzani. Wanaona rahisi kujibu ndioooo ili mjadala ufungwe.
I am a speed reader. I scheme through any writing and judge whether it merits my waste of time on it or not.

Lakini ngoja nimalizane nawe.

Hivi "chama changu" ni chama kipi?

NBinapoona mjadala wa aina hiyo najua sina mtu makini wa kujadili naye jambo.
 
Basi hukupaswa kujibu. Mtu mwenye akili angeacha ajibu hata kesho, lakini sio kulaumu kitu ambacho hujasoma. NI UJINGA
Unajitahidi sana, lakini leo niko vizuri sana, vinginevyo tungeelewana tu.
Basi inatosha.
 
I am a speed reader. I scheme through any writing and judge whether it merits my waste of time on it or not.

Lakini ngoja nimalizane nawe.

Hivi "chama changu" ni chama kipi?

NBinapoona mjadala wa aina hiyo najua sina mtu makini wa kujadili naye jambo.
You may be a speed reader, lakini unapo peruse badala ya kusoma, huwezi ku-conclude mwandishi anajichanganya. Anaye peruse ndio rahisi kujichanganya.

Mfano, give me one specific example nieandika kwa kujichanganya. Prove your assertion.
 
Ndio utajua hakuna viongozi pale, kitu kama mabehewa hata kutoa maelezo ya maana kwamba ni kwa ajiri ya treni ya zamani na sio SGR wameshindwa,ilikuwa ni kitu kidogo sana kueleza ukweli kuhusu yale mabehewa lakini nafikiri hata waowenyewe hawaelewi tofauti au wanafikiri kila mtu fala kama wao kama yule aliyesema juzi vitu vimepanda bei kwa ajiri ya Ukraine
Wali yaleta kwa ajili ya iyo mpya pengne wabongo walivyo shtuka yaka badilishiwa matumizi
 
Back
Top Bottom