House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Mara ya mwisho yanga amemfunga simba 2-1, sioni yanga kufanya maajabu makubwaHapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.