Bado sijaiona Simba SC ya kuifunga Yanga SC tarehe 8 August, 2024 labda wana Simba SC wote tutoane Kafara tufe ndipo tuwafunge

Bado sijaiona Simba SC ya kuifunga Yanga SC tarehe 8 August, 2024 labda wana Simba SC wote tutoane Kafara tufe ndipo tuwafunge

Simba ushawaona?
Bado wanajijenga na Kiufundi Timu inayojengwa inahitaji ama Msimu Mmoja au Miwili kuwa sawa. Acheni kuwa Wabishi Simba SC yetu bado sana japo najua katika Derby lolote laweza kutokea ila haiondoi ukweli kuwa bado Kikosi kinajengwa ili kiwe bora kwa miaka mingi ijayo. Tukiwafunga Yanga SC katika Ngao ya Jamii nitauchukulia huo Ushindi kama wa Ngekewa / Bahati tu ila Uhalisia utabaki ule ule kuwa Timu ( Simba SC ) bado sana ukiilinganisha na Yanga SC ambayo sasa imeshakaa vyema katika Reli.
 
Hapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.
Ni kweli sitarajii Simba hii mpya na kocha mpya asiyeijua yanga vizuri kwamba tushinde mechi.
Nasikitika tu msemaji wa Simba ameanza upuuzi wake wa kudanganya watu eti tutamfanya vibaya utopolo tarehe 8.
Mimi ni mpenzi wa Simba lakini staki kuamini huo ujinga wa Ahmedy
 
Ni kweli sitarajii Simba hii mpya na kocha mpya asiyeijua yanga vizuri kwamba tushinde mechi.
Nasikitika tu msemaji wa Simba ameanza upuuzi wake wa kudanganya watu eti tutamfanya vibaya utopolo tarehe 8.
Mimi ni mpenzi wa Simba lakini staki kuamini huo ujinga wa Ahmedy
Huwa nikikutana na mwana Simba SC mwenye Akili nzuri kama Wewe hivi huwa nafurahi sana kuliko wana Simba SC walio Majuha / Mbumbumbu wengi.
 
Timu inatengenezwa ulitaka Simba ucheze na Nani? Madrid. Kumbe kuna watu humu hata hawajui lolote kuhusu soka. Mwalimu ndo kwanza anatengeneza pattern afu ucheze mechi yenye intensity kubwa 😂😂 dah
Sawa Pep Guadiola ,muda utaongea hizi siasa ndo ziliku zinafanyika miaka yote 3 hiii na tumeambulia fedheha.
 
Ni kweli sitarajii Simba hii mpya na kocha mpya asiyeijua yanga vizuri kwamba tushinde mechi.
Nasikitika tu msemaji wa Simba ameanza upuuzi wake wa kudanganya watu eti tutamfanya vibaya utopolo tarehe 8.
Mimi ni mpenzi wa Simba lakini staki kuamini huo ujinga wa Ahmedy
Yanga imecheza mechi zake zote za kirafiki kwa uwazi kila mmoja kaona, sasa benchi la ufundi la Simba inashindwaje kuijua Yanga?
 
Back
Top Bottom