Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 905
- 1,002
nawasalimu kwa jina la yanga UKANDAJI UENDELEE.Hapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nawasalimu kwa jina la yanga UKANDAJI UENDELEE.Hapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.
Tajiri Mo Dewji kakubali kutolewa Kafara ili Afe na Timu ishinde Siku hiyo kama usemavyo?Game ya terehe 8 simba anaweza shinda na watu hawataamini hili
Hilo sifahamu najaribu tu kuwaza vile kila mtu anaidharau simba na hiki kitu hata wao wachezaji lazima watakua wanakiona na sidhan kama watakubaliTajiri Mo Dewji kakubali kutolewa Kafara ili Afe na Timu ishinde Siku hiyo kama usemavyo?
Labda ishinde njaaNa ikishinda je?
Na wewe uliepigwa kono la nyani ukiwa nafasi ya tatu nani ana afadhali?Timu iliyozidiwa point 6 na timu iliyoshuka daraja nayo ni ya kutamba kua umeufunga uanze kutishia watu? Kaizer ni Wagonjwa
Maduka mliyonunua kuruhusu magoli tumeyatimua,wazee pia tumetimua, na sasa tuna timu iliyojaa vijana ni mwendo wa kuwakanda tu, tutawakimbiza hao wazee wenu mpaka wameze ulimiNa wewe uliepigwa kono la nyani ukiwa nafasi ya tatu nani ana afadhali?
Simba ushawaona?Hapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.
Ukiangalia mechi dhidi ya Galaxy na Yanga vs Augsburg utaona Yanga iliingia uwanjani kwa lengo la kuwafanya wachezaji wake wote wacheze. Kipindi cha kwanza Gamondi aliwaweka wazawa tupu, na kipindi cha pili akawaingiza wachezaji wengi wa kigeni ila hakuzingatia wanaomudu nafasi zao vyema ni wakina nani. Ila dhidi ya Kaizer, Gamondi alionesha anahitaji ushindi ndio maana unaona kikosi kikiwa na watu wanaomudu nafasi ipasavyo na Chama akaanzia benchi.Kwenye zile goli Nne za jana Yanga dhidi ya Kaizer Chiefs,....Goli tatu zote ni uzembe wa mabeki wanafanya kuwapasia kina Aziz KI kabisa,....sasa usitegemee Yanga akicheza na Simba au Azam atapata mteremko kama ule wa jana,...
Ukitaka ujue Yanga haitishi kama unavyodhani katazame mechi yao na TS Galaxy....[emoji1787]
Timu inatengenezwa ulitaka Simba ucheze na Nani? Madrid. Kumbe kuna watu humu hata hawajui lolote kuhusu soka. Mwalimu ndo kwanza anatengeneza pattern afu ucheze mechi yenye intensity kubwa 😂😂 dahTimu inayengenezwa ila tunacheza mechi za kirafiki na timu za uchochoroni tena kwa siri matokeo yanafichwa kama bangi , mashabiki hatujui hata timu inachezaje
Umeandika facts brother.Ukiangalia mechi dhidi ya Galaxy na Yanga vs Augsburg utaona Yanga iliingia uwanjani kwa lengo la kuwafanya wachezaji wake wote wacheze. Kipindi cha kwanza Gamondi aliwaweka wazawa tupu, na kipindi cha pili akawaingiza wachezaji wengi wa kigeni ila hakuzingatia wanaomudu nafasi zao vyema ni wakina nani. Ila dhidi ya Kaizer, Gamondi alionesha anahitaji ushindi ndio maana unaona kikosi kikiwa na watu wanaomudu nafasi ipasavyo na Chama akaanzia benchi.
Mpaka sasa, timu ya Simba haijajulikana ni timu ya aina gani lakini Yanga mchezo wao upo wazi sio siri. Sapraizi ya Simba inaweza kuja na mambo mengi inaweza kuwasapraizi mashabiki wa Simba wenyewe au wa Yanga. Nadhani mechi dhidi ya APR itatoa picha kamili kuelekea mechi ya tarehe 8
Hapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.
[/QUOTE Kama mpira ni kujificha ficha basi mwaka huu mnyama ndiyo bingwa ila kama mpira ni mchezo wa wazi basi tareh 8 tujiandae na kipigo kutoka kwenye timu yenye kiu ya mafanikio.
Itakuwa ni Bahati ila Kiuhalisia Simba SC ya sasa inahitaji Misimu Miwili ili kukaa sawa na kuanza Kushindana na Yanga SC.Na ikishinda je?
Hata ikishinda / tukishinda bado haiondoi Ukweli kuwa Kiufundi Simba SC bado japo najua katika Mpira bahati nayo ipo.Game ya terehe 8 simba anaweza shinda na watu hawataamini hili
Nitamuoa Dada yako anayezeekea Nyumbani kwa kuwa na Sura Mbaya huku akikataliwa na kila Mwanaume hapo Kwenu.Ahidi, utatoa nini iwapo Simba itaifunga Yanga?