Bado sijaona mbadala wa Scandinavian katika usafiri wa Mabasi. Nauli ilitofautiana kwa aina ya SCANIA

Bado sijaona mbadala wa Scandinavian katika usafiri wa Mabasi. Nauli ilitofautiana kwa aina ya SCANIA

Nahisi hukuzikuta zikiwa zinatoa huduma hivyo ni sahihi kwako kupingana na wanaoeleza ubora wake wa huduma

V Hao uliowataja hawajafikia hata urefu wa route alizokuwa anakwenda scandinavia kwa urefu na huduma za hali ya juu kwa abiria, mizigo na pesa tena bila kuchoka wahudumu na abiria
Hao uliowataja pale juu hiyo tuu safari ya Dar - Dom wahudumu huanza kuwachoka abiria na full makasiriko je wangekuwa wanakwenda Kampala si wangekuwa wanawapiga mabanzi abiria.... Na abiria nao huanza kuichoka safari kwa setting za seats, harufu za uvundo na kutojaliwa
Hajatokea wa kuwazidi wala kutukumbusha huduma za scandinavia bus service, asilani
Mi najua hali ya kawaida safari ya kuanzia km 500+ kuchoka ni Hali ya kawaida bila kujali upo kwenye luxury au mkweche. Sasa wewe umepanda kampuni zote za mabasi hapa Tanzania?
 
Natumia sana usafiri wa Mabasi bado sijaona mbadala wa Scandinavian kwa kweli

Hawa akina Sauli, Shabiby sijui ABC bado saaana aisee

Scandinavian Ilikuwa Bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani SCANIA tupu hakuna Layland hadi kwenye Huduma

Ligi ya sasa ni Vyuma vya mchina aka Kambi Popote

Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa
Na haitakuja kutokea kamwe, sijapata kuona aina ile ya coordination ya safari nadhani ni ya pili kwa ubora baada ya EAR enzi hizo
 
Mi najua hali ya kawaida safari ya kuanzia km 500+ kuchoka ni Hali ya kawaida bila kujali upo kwenye luxury au mkweche. Sasa wewe umepanda kampuni zote za mabasi hapa Tanzania?
Zile ulizozitaja zoote nimezipanda shabiby ni loyal customer wao wa basi la mwisho kutoka Dar to Dom hivyo najua alipopungukiwa kumfikia scand, Darlux kabla ya hizi zilizomshinda akamuuzia klm alikuwa na zile polo original mbili(2) nazo nilizipanda japo kwa ule upungufu wao wa kuvuja kipindi cha mvua miaka hiyo akiwa na route ya Dar Mwanza. Hao abc ni uchafu usiomfikia hata shabiby
Hivyo ninapokubali ubora wa scand dhidi ya hao uliowataja na wengine ambao umewaruka, sio kwa sababu za kisiasa aka mihemuko ni kwa sababu ya kile alichokuwa anatupatia bila yeye kutuchoka hata tukiwa on board kwa masaa ishirini na zaidi
Sio jambo rahisi kwa hawa wasafirishaji wa leo mteja afanye booking ya mwezi mmoja mbele akubaliwe na siku ya safari akute nafasi ile aliyoomba bila kuletewa sarakasi ila kwa scand ilikuwa inawezekana
 
Wazungu hata tuwapige vita vipi wako vizuri

Scandinavia ilikuwa kipindi kile meneja alikuwa mzungu ndio maana kila kitu kilikuwa kizuri kuanzia stendi yake, mabasi, mfuumo wa ukataji tickets sehemu za kupumzika abiria kama airport kabisa wahudumu wasafi.
Kabisa
 
Zile ulizozitaja zoote nimezipanda shabiby ni loyal customer wao wa basi la mwisho kutoka Dar to Dom hivyo najua alipopungukiwa kumfikia scand, Darlux kabla ya hizi zilizomshinda akamuuzia klm alikuwa na zile polo original mbili(2) nazo nilizipanda japo kwa ule upungufu wao wa kuvuja kipindi cha mvua miaka hiyo akiwa na route ya Dar Mwanza. Hao abc ni uchafu usiomfikia hata shabiby
Hivyo ninapokubali ubora wa scand dhidi ya hao uliowataja na wengine ambao umewaruka, sio kwa sababu za kisiasa aka mihemuko ni kwa sababu ya kile alichokuwa anatupatia bila yeye kutuchoka hata tukiwa on board kwa masaa ishirini na zaidi
Sio jambo rahisi kwa hawa wasafirishaji wa leo mteja afanye booking ya mwezi mmoja mbele akubaliwe na siku ya safari akute nafasi ile aliyoomba bila kuletewa sarakasi ila kwa scand ilikuwa inawezekana
Sio mbaya kushare experience Shabiby kapungukiwa Nini kilinganisha na Scandinavia? Kampuni Gani ulienda kubook mwezi Mmoja kabla wakakataa? Na Kwa Nini walikataa usifanye booking?

Toka kuanzishwa Kwa Scandinavia mpaka Kufa kwake hazikuwahi kupata hitilafu njiani?

Mmeimiss Scandinavia hata Mimi nimeikumbuka
 
Alitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Kipindi hicho hakukuwa na mabasi mengi yenye ubora hivyo kuyafanya mabasi ya Scandinavian yaonekane kama ni kitu cha ajabu sana. Ni pia huduma za mabasi enzi hizo zilikuwa ni za kuringa na kufokea wateja lakini wao walikuwa wanatoa huduma nzuri. Kwa kifupi ni yalikuwa mabasi ya kawaida sana ila kampuni shindani zilikuwa za hovyo.
 
Hope's mkuu mada hii tusiijadili kisiasa, yes I mic service za Scandinavian Express, sijaona kampuni nyingine imefikia even half ya standard ya Scandinavian Express, kwanza ilikua na staff's wako well trained na wamemotishwa,kuanzia kukata ticket, kusubiria pale mapokezi, boarding hadi njiani wapo Safi kabisa,iam Sauli Team now ila ninaelewa what's to expect ninapokua ndani ya bus la Sauli, 1min to do number 1,number 2 sidhani utakua na muda huo, 3mins to order your food na kuingia nacho ndani ya bus,then nduki!,but Scandinavian ilikua tofauti n still unafika border on time na bila stress, nope hakuna kama kampuni Ile,I swear
Hivi mabasi ya Bongo huwa wana wazimu? Hili la kuharakisha abiria kama msukule mimi huwa linaniacha hoi. Kuanzia kupakia, kushusha na kula chakula kila kitu ni amri na haraka kama mko jeshini!
 
Huduma siyo tu kuweka kondakta wa kike bwashee

Hayo mabasi uliyoitaja mpandishe mtoto uone kama hajapitilizwa kituo kwa haraka zao
Si bora hata kondakta wa kiume. Nilipanda gari moja inajitangaza ni luxury, kuna mhudumu wa kike anagawa soda na karanga lakini anatia kichefuchefu kweli kweli. Anazoea watu hovyo, anadhani kila mtu anataka kumtongoza, yaani ni kero kubwa!
 
Sio mbaya kushare experience Shabiby kapungukiwa Nini kilinganisha na Scandinavia? Kampuni Gani ulienda kubook mwezi Mmoja kabla wakakataa? Na Kwa Nini walikataa usifanye booking?

Toka kuanzishwa Kwa Scandinavia mpaka Ku
Nimewahi kata tiketi kwenye shabiby mara mbili hivi. Na nilikuwa napandia bus vituo vitatu mbele toka stand na mara zote nilifika kwenye gari nakuta siti yangu imekaliwa na mtu afu nae ana tiketi kama yangu dadeki,

Hao ABC tulimpakia dogo wamshushe mlandizi tena kwa kuwasisitiza sana na kuwapigia simu mara kwa mara wakiwa njiani, lakini bado walikuja kushtukia wamefika nae mbezi na bahati mbaya dogo alisinzia
 
Hivi mabasi ya Bongo huwa wana wazimu? Hili la kuharakisha abiria kama msukule mimi huwa linaniacha hoi. Kuanzia kupakia, kushusha na kula chakula kila kitu ni amri na haraka kama mko jeshini!
And as usual hatuna uwezo wa kuwaambia, ndio maana Scandinavian Express standards zao hakuna hata kampuni moja iliyofikia even 45%,na tuelewe kuna madereva they're driving fast Sina tatizo na hawa ila wanaoendesha reckless hawa ni cold blooded killers
 
Hivi kampuni ya OTAWA ya pale songea ilishakufaga. nje ya mada.
 
Sio mbaya kushare experience Shabiby kapungukiwa Nini kilinganisha na Scandinavia? Kampuni Gani ulienda kubook mwezi Mmoja kabla wakakataa? Na Kwa Nini walikataa usifanye booking?

Toka kuanzishwa Kwa Scandinavia mpaka Ku
Miongoni mwa kampuni za mwanzo mwanzo kukata tiketi online alikuwa Dar lux, 2019 kwa shauku kubwa kwa ajili ya kupanda zile basi zao za luxury nikajisogeza pale kwenye ofisi yao ya mianzini Arusha, wakashindwa kuweka booking ya wiki mbili mbele sembuse ningewaomba ya mwezi!!!
Hao Shabiby labda mapenzi yako yapo kwao lkn wanamatatizo kuzidi,
 
Scandinavian Express ndio lilikuwa basi la kwanza la kuwa Luxury kwa miaka hiyo. Ilikuwa ni mwendo wa AC Dar to Kampala.

ilfanya hata watoto wa kishua wahamie kwenye kutumia mabasi hayo kwenda shule badala ya ndege. Bila kusahau kwenda kuchukua miamala inayotumwa na wazazi.

Those were the days. Siku hizi ukiambiwa bus Luxury unakutana kwanza na harufu ya uvundo mixer seat kama box la kibiriti.
Zilikuwepo basi zenye choo na viti vya sofa na ac. sema ulikuwa hauendi njia hizo za Mbeya.
 
Natumia sana usafiri wa Mabasi bado sijaona mbadala wa Scandinavian kwa kweli

Hawa akina Sauli, Shabiby sijui ABC bado saaana aisee

Scandinavian Ilikuwa Bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani SCANIA tupu hakuna Layland hadi kwenye Huduma

Ligi ya sasa ni Vyuma vya mchina aka Kambi Popote

Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa
Zipo basi zenye vyoo na makochi pia ac na chaja za simu pia chai au kahawa ukitaka.
 
Hahaha.......siku hizi 2 x 2 ndio Luxury bila kujali vigezo vingine
2x2 sio luxury ni Semi Luxury.

Luxury ni 1x2

Basi za 1x2 za sasa ni Nzuri kuliko Scandnavia za zamani.

Kila Seat ina separate TV, Charger, Seat ni kubwa unakaa mwenyewe, upo comfortable etc.

19731957_1573764262698138_6927150450953261488_n.jpg
 
Zilikuwepo basi zenye choo na viti vya sofa na ac. sema ulikuwa hauendi njia hizo za Mbeya.
Kulikuwa Na mabasi yanaitwa Royal yalikuwa yaki compete Scandnavian pia yalikuwepo baadhi dar express.

Marcopolo ndio ilikuwa Brand ya mabasi Luxury.
 
Back
Top Bottom