Niliwahi fikiri uko timamu na nikakuona wa maanaHii hoja inawauma sana. Mlitishia hadi who mara mabeberu yatatufungia mipaka bla bla kibao ila baba jiwe akaweka ngumu no lockdown na tumesonga. Mlitamani tufe wengi mpate kumlaumu vizuri
Yaani kati ya kipindi Ccm imepoteza mvuto ni kipindi hiki cha Bashiru na Polepole na kijana anaeitwa sijui Heri JamesNimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.
Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.
Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.
Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.
Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.
Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.
CCM MUST FALL!
Mwihulu mtaalamu wa ndumba. Ukimkuta sasa hivi amechanjwa kila mahali..Unaambiwa baadhi ya wagombea ubunge wa CCM akiwemo Mwigulu wameamua kuacha kampeni na kujichimbia kwa DED kupanga njama tu
Hata hizo haramu zitakuwa na madhara kwa CcmKwa njia halali CCM hii haiwezi toboa labda wajaribu njia mbadala ambazo ni haramu!
Jibu laki ni hili, katika kipindi cha miaka 5:Unaposema CCM itashindwa uwe na facts ! Kwa vigezo vipi ishindwe ?ccm ina wanachama wapiga kura takriban 15 M ! Wanashindwa vipi?! Mnapeana matumaini bure tu humu!
Kila kona ya nchi hii kuanzia kwenye mashina huko ccm wapo tele! Wanashindwaje uchaguzi!. Chama cha kukitoa ccm madarakani bado hakipo! TUSIDANGANYANE!
Safi, kuna kura nyingi sana za HASIRA uchaguzi huu. Leo ni Jpili ya mwisho kwa chama cha kitapeli, uongo, hila na wachumia tumbo.Hao wabachama 15m unaowataja, kumbuka wamo wa bukoba, yaani walionyimwa fedha za maafa kutoka kwa "mabeberu" wamo wa mtwara,wale wslioporwa korisho, wamo wafanyakazi waliokosa nyongeza ya mishahara, wamo waliobomolewa nyumba, wamo waliotumbuliwa, wamo waliopotezewa ndugu zao, wamo wakina mama "WEUSI" ambaa magu ameshawabagua, wamo wahanga "kibao" na wakati huo hujui idadi ya wanachama wa chadema, wakati huo hujui waliobaki na ccm ya kinafiki kwa kuchoka visa vya magu.
Wewe jifariji tu!
Three days only..................[emoji352]
Walidanganyana kuwa Chadema kimekufaWangekua kampeni zitakuwa hivi wasingekubali uchaguzi. Imeisha hiyo.
Kuwa mpole mkuu..Bado hajatokea wa kuiangusha CCM.
Embu elezea vizur mkuu, una point ya kinajimu nataka niidake hapoTATHMINI YAKINAJIMU 2+8+1+2+2 SAWA NA 15 1+5 SAWA NA 6 SITA SI ALAMA NZURI KINAJIMU KWA SABABU ISRAIL ANAKALIA NAMBA HII jinsi ya kumdhibiti huyu ni kuwepo usawa atakosa nguvu kabisa na pahala pa kuanzia hatari yake huwanyima watu woga dhidi ya kifo na kuwapa ujasiri almuradi yake yatimie maafa
Ikulu za Magogoni na Chamwino
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.
Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.
Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.
Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.
Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.
Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.
CCM MUST FALL!
Hazitatosha za magufuliKura hazitatosha.... May be next time
Hazitatosha za magufuli
Ukiona Kenge anatoka dam ujue anakalibia kufa. Naona CDM mnavyo haha kwenye mitandao kupeana moto kama vile mgonjwa aliekuwa mahututi mnajifarijiNimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.
Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.
Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.
Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.
Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.
Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.
CCM MUST FALL!
Chadema BaraSasa Kama umeona CCM haiwezi kushinda, tuambie umeona chama gani kitashinda?
Mbili iweke mwanzo na tisa iweke mwishoni. Ndo kura za magufuli hizo hapo kesho kutwaAna 92% Magu
Kweli...Hili la wapambe Wao wakiwemo viongozi wa dini kuhubiri amani fake(manake amani ya kweli ni Ile inayotenda haki),inaonyesha jinsi Gani njia haramu zina madhara.Lakini hakuna namna manake hiyo ndio turufu yao ya mwisho kama wanataka kusalia madarakani!Hata hizo haramu zitakuwa na madhara kwa Ccm
Lissu siyo Lowasa, safari hii lazima mtage,tumejipanga freshPamoja na huo umati wote lowassa hakutoboaView attachment 1611201View attachment 1611202