Bado tupo utumwani? kwanini tunasita kubadili jina la jiji kubwa zaidi Afrika mashariki

Bado tupo utumwani? kwanini tunasita kubadili jina la jiji kubwa zaidi Afrika mashariki

Kama ni kuuza ardhi hata chief Mangungo alimuuzia Carl Peters, jielimishe
Kwa hiyo umekubali Sultani hakuchukua ardhi kimabavu?

Chief Mangungo hata hakujua lugha ya aliosaini mkataba nao kina Carl Peters. Hakujua utamaduni wao wa Kijerumani. Hakujua kusoma wala kuandika lugha yao ya Kijerumani.

Jumbe Tambaza aliongea Kiswahili na Kiarabu sawa na Sultani, wote Jumbe na Sultani walikuwa Waislamu, Jumbe Tambaza alisoma Uislamu na kujua kusoma na kuandika Kiarabu.

You are comparing apples to oranges.
 
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said, Jina hili linatokana na kiarabu lugha aliyotumia Sultan

Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."

Kuita jiji hili kubwa kwa jina la Sultan kunaambatana na kumbukumbu za historia yetu chungu ya utumwa wa masultan waliokuwa vinara wa biashara ya utumwa, babu zetu walienda Zanzibar kulimishwa karafuu, wengine walienda Marekani nafuu yao waliruhusiwa kuwa na watoto, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta waafrika wenye babu zao waliotumikishwa, utaowakuta ni waliohamia kuanzia miaka ya 70s

Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
Kwani Dar ni jina la Sultani?
 
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said, Jina hili linatokana na kiarabu lugha aliyotumia Sultan

Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."

Kuita jiji hili kubwa kwa jina la Sultan kunaambatana na kumbukumbu za historia yetu chungu ya utumwa wa masultan waliokuwa vinara wa biashara ya utumwa, babu zetu walienda Zanzibar kulimishwa karafuu, wengine walienda Marekani nafuu yao waliruhusiwa kuwa na watoto, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta waafrika wenye babu zao waliotumikishwa, utaowakuta ni waliohamia kuanzia miaka ya 70s

Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
Na wewe mbona bado unajiita round kick. Hilo si jina la utumwani?😎
 
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said, Jina hili linatokana na kiarabu lugha aliyotumia Sultan

Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."

Kuita jiji hili kubwa kwa jina la Sultan kunaambatana na kumbukumbu za historia yetu chungu ya utumwa wa masultan waliokuwa vinara wa biashara ya utumwa, masultan wameuza na kutumikisha kikatili babu zetu, wapo waliolimishwa mashamba Zanzibar, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao kama Marekani, utaowakuta ni waliohamia kuanzia miaka ya 70s

View attachment 3250594

Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
Naunga mkono hoja, ila hapa tegemea mpambano mkali sana kutoka kwa Mohamed Said FaizaFoxy Malaria 2
 
Kwa hiyo umekubali Sultani hakuchukua ardhi kimabavu?

Chief Mangungo hata hakujua lugha ya aliosaini mkataba nao.

Jumbe Tambaza aliongea Kiswahili sawa na Sultani, wote Jumbe na Sultani walikuwa Waislamu, Jumbe Tambaza alisoma Uislamu na kujua kusoma na kuandika Kiarabu.

You are comparing apples to oranges.
Jumbe Tambaza hakuwa na haki ya kuuza ardhi kwa masultani waliotesa wenzake.

yani upo bize kuwatetea masultan wakati babu yako angekamatwa kama mtumwa angeng'olewa viungo vya uzazi, kucharazwa viboko mashambani, n.k.
 
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said, Jina hili linatokana na kiarabu lugha aliyotumia Sultan

Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."

Kuita jiji hili kubwa kwa jina la Sultan kunaambatana na kumbukumbu za historia yetu chungu ya utumwa wa masultan waliokuwa vinara wa biashara ya utumwa, masultan wameuza na kutumikisha kikatili babu zetu, wapo waliolimishwa mashamba Zanzibar, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao kama Marekani, utaowakuta ni waliohamia kuanzia miaka ya 70s

View attachment 3250594

Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
Bandari salama hiyo..
 
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said, Jina hili linatokana na kiarabu lugha aliyotumia Sultan

Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."

Kuita jiji hili kubwa kwa jina la Sultan kunaambatana na kumbukumbu za historia yetu chungu ya utumwa wa masultan waliokuwa vinara wa biashara ya utumwa, masultan wameuza na kutumikisha kikatili babu zetu, wapo waliolimishwa mashamba Zanzibar, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao kama Marekani, utaowakuta ni waliohamia kuanzia miaka ya 70s

View attachment 3250594

Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
Vipi na kiswahili?
Tuondoe na maneno yote yaliyoletwa na Hao masultan?

Pathetic
 
Jina la Dar es salaam tulishalikubali, tulikichukua na kulifanya letu, si la Sultani tena.

Ukishikilia kuwa ni la Sultani, wewe ndiye unampa Sultani umuhimu asiokuwa nao.

Pia, kihistoria Dar es salaam kama mji ni mji ulioanzishwa na Sultani. Hiyo ni historia ambayo haifutiki hata ukibadili jina.
Bombay ilibadilishwa kuwa Mumbai,
Harare zamani ilikuwa Fort Saalisbury
Instanbul zamani ilikuwa Constantinople
Gold Coast ilibadilishwa kuwa Ghana
Toronto ilikuwa York zamani
 
wanyeji wao wapa Dar es Salaam wanashida na hilo jina na wala huyo Sultan, sasa kama wewe unateska na vyo rudi mkoani mkuu tuachie wenyewe.
 
Jumbe Tambaza hakuwa na haki ya kuuza ardhi kwa masultani waliotesa wenzake.

yani upo bize kuwatetea masultan wakati babu yako angekamatwa kama mtumwa angeng'olewa viungo vya uzazi, kucharazwa viboko mashambani, n.k.
Hata huelewi hoja yangu.

Kwa sababu you are using a one track mindset.

Kwani siwezi kuwa simtetei Sultani halafu pia nikasema Sultani hakuchukua mji kwa nguvu?

Why the false dichotomy logical fallacy?
 
Bombay ilibadilishwa kuwa Mumbai,
Instanbul zamani ilikuwa Constantinople
Gold Coast ilibadilishwa kuwa Ghana
Toronto ilikuwa York zamani
This logical fallacy is called the problem of induction.

Kwa kuwa Bombay imebadili jina si lazima na sisi tubadili.

Bombay ilikuwa wrong pronounciation of Mumbai. Wana haki ya kubadili jina.

Mji wa Dar es salaam, kama mji, umeanzishwa na Sultani. This is a historical fact. Hata ukibadikisha jina hiyo historical fact huifuti.

What's next? Mtataka kuondoa maneno yote yenye mzizi wa Kiarabu kwenye Kiswahili?
 
Hata huelewi hoja yangu.

Kwa sababu you are using a one track mindset.

Kwani siwezi kuwa simtetei Sultani halafu pia nikasema Sultani hakuchukua mji kwa nguvu?

Why the false dichotomy logical fallacy?
Hapa hatuwezi kuelewana, you are very narrow minded you are thinking subjectively

Seems you would be ok if Sultan culstrated yo grandpa for the sake of slave trade profits
 
Watanzania wengi wanapenda sana kuvalia njuga non-issues wakati wana issues nyingi sana za msingi hawataki hata kuziongelea.

Ndiyo maana wakahamisha mji mkuu bila sababu, kutatua tatizo ambalo halikuwapo, kwa gharama kubwa, wakati hawana hata bajeti ya kutosha kutatua matatizo mengi ya msingi yaliyokuwapo.

Ukibadilisha jina la mji unatatua tatizo gani la muhimu la watu sasa hivi?

Sanasana utaongeza gharama za kuchapisha jina jipya tu na ku confuse watu.
 
sehemu gani official inapaita hivyo
Upanga pale kuna middle school inaitwa Mzizima, ukienda kariakoo pia kuna mtaa wa Mzizima na maeneo yake unapakata na Mtaa wa Mafia

Hii ni Mitaa ya Likoma, Kibambawe, Twiga, Congo, Mafia na maeneo ya Mzizima katika kata ya JANGWANI katika Halmashauri ya Jiji la Ilala imegeuzwa kuwa maeneo ya Kupakia na Kupakua mizigo inayosafirishwa kwenda Mikoani.
 
Back
Top Bottom