GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Wewe mwanamke acha ufukunyuku.[emoji1787][emoji1787]Kumbe we mselaah
Afu leseni yako ya udereva imexpire toka 2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwanamke acha ufukunyuku.[emoji1787][emoji1787]Kumbe we mselaah
Afu leseni yako ya udereva imexpire toka 2021
😂😂Yani mhitimu wa geology awe dalali buguruni?nakataaBongo njaaa/umaskini, nyege na wivu Bado ni maadui wakubwa sana hao wanaom-attack Glenn ukipata fursa ya kuwaona utakua ni mtu kahitimu geology mzumbe 2009 afu mpaka saiv hana ramani ni dalali Buguruni ila kwa sababu ya fake ID bas tutakoma
🤣🤣Huoni imeexpireWewe mwanamke acha ufukunyuku.
Ulikataa katu katu.Hongera Mkuu kwa kuja kunishukuru JF.
Siku nyingine acha hata Million 1 plae ofisini kwangu.
Nilikataa kwa sababu dau lako lilikuwa dogo sana. Ningeonekana mwenye njaa.
Na pengine thread yako leo ingekuwa 'Meneja Njaa abania vitu vya mteja. Adai fidia kuvirudisha'.
Nimeona, ila kwann uulize.[emoji1787][emoji1787]Huoni imeexpire
Soma tarehe hizo
AahhhNimeona, ila kwann uulize.
🤣🤣RelaxUmeanza ujinga😂
za
Haya maisha Yana Siri ww acha tu tuone nyuma ya keyboard tu, humu vingereza vingi ila kwenye maisha halisi hali ni tete tunatiana mikwara😂😂Yani mhitimu wa geology awe dalali buguruni?nakataa
Buguruni wamejaa darasa la 7