Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe ni mchokoziKwenye bag hakukuwa na boxer?
Mkuu kitu cha mtu huwa aikitamani hata kidogo.Hata mimi vitambulisho ningekurejeshea ila ningekuta mifweza, wee hapo ni hallelujah tutaonana.. 😂🤣
Siku moja nipo muhimbili, pembeni yangu kakaa mzee hivi, alipoinuka na kuondoka akasahau simu, vijana wanaita, tambo, mbala, la kwenda.. Shetani akaniambia vipi mwanangu makaveli hapa tunafanyaje, shetani nikampiga kerebu moja nzito saana, nikamwambia kwa hapa hunipati(joke 😂🤣)
Uhalisia niliinuka na kumkimbilia yule mzee nikamkuta anakaribia getini maana toka ainuke mpaka nimeiona simu muda ulikuwa umesogea kidogo, nikampatia mali yake akanishukuru nikarudi kwenye harakati zangu.
View attachment 2816950
Nimekuwekea zote, angalia namba za leseni
Mkuu utakuwa na shida binafsi.Namba ya leseni ni kama ya luku au bill ya maji hazibadiliki hizo mkuu .. jiridhishe leseni 2 hizo majina yatakuwa tofauti
Uongo 😂😂😂Hata mimi vitambulisho ningekurejeshea ila ningekuta mifweza, wee hapo ni hallelujah tutaonana.. 😂🤣
Siku moja nipo muhimbili, pembeni yangu kakaa mzee hivi, alipoinuka na kuondoka akasahau simu, vijana wanaita, tambo, mbala, la kwenda.. Shetani akaniambia vipi mwanangu makaveli hapa tunafanyaje, shetani nikampiga kerebu moja nzito saana, nikamwambia kwa hapa hunipati(joke 😂🤣)
Uhalisia niliinuka na kumkimbilia yule mzee nikamkuta anakaribia getini maana toka ainuke mpaka nimeiona simu muda ulikuwa umesogea kidogo, nikampatia mali yake akanishukuru nikarudi kwenye harakati zangu.
Kumbe we ni muhaya na hujaniambia?Imekusumbua mkuu? Umekereka?
Hakuna sumu ya panya hapo?
Hibi navyo vya kukusumbua?
Na si jambo zuri, ukitaka kufanya jambo jiweke kwenye nafasi ya mtendewa utaona ubaya au uzuri wa jambo hilo.Mkuu kitu cha mtu huwa aikitamani hata kidogo.
Hata pesa sijawahi kufikia point ya kuitamni ambayo sio yangu
Na si jambo zuri, ukitaka kufanya jambo jiweke kwenye nafasi ya mtendewa utaona ubaya au uzuri wa jambo hilo.Mkuu kitu cha mtu huwa aikitamani hata kidogo.
Hata pesa sijawahi kufikia point ya kuitamni ambayo sio yangu
Ila nina sura ya kutokuaminika eehh.. 😂🤣Uongo 😂😂😂
Nilishaumizwa hivyo siwezi kamwa kutaka cha mtu
Nilishaumizwa hivyo siwezi kamwa kutaka cha mtu