GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Wewe mwanamke acha ufukunyuku.[emoji1787][emoji1787]Kumbe we mselaah
Afu leseni yako ya udereva imexpire toka 2021
๐๐Yani mhitimu wa geology awe dalali buguruni?nakataaBongo njaaa/umaskini, nyege na wivu Bado ni maadui wakubwa sana hao wanaom-attack Glenn ukipata fursa ya kuwaona utakua ni mtu kahitimu geology mzumbe 2009 afu mpaka saiv hana ramani ni dalali Buguruni ila kwa sababu ya fake ID bas tutakoma
๐คฃ๐คฃHuoni imeexpireWewe mwanamke acha ufukunyuku.
Ulikataa katu katu.Hongera Mkuu kwa kuja kunishukuru JF.
Siku nyingine acha hata Million 1 plae ofisini kwangu.
Nilikataa kwa sababu dau lako lilikuwa dogo sana. Ningeonekana mwenye njaa.
Na pengine thread yako leo ingekuwa 'Meneja Njaa abania vitu vya mteja. Adai fidia kuvirudisha'.
Nimeona, ila kwann uulize.[emoji1787][emoji1787]Huoni imeexpire
Soma tarehe hizo
AahhhNimeona, ila kwann uulize.
๐คฃ๐คฃRelaxUmeanza ujinga๐
za
Haya maisha Yana Siri ww acha tu tuone nyuma ya keyboard tu, humu vingereza vingi ila kwenye maisha halisi hali ni tete tunatiana mikwara๐๐Yani mhitimu wa geology awe dalali buguruni?nakataa
Buguruni wamejaa darasa la 7