makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nilishaumizwa hivyo siwezi kamwa kutaka cha mtu
HahaaaaaaBongo njaaa/umaskini, nyege na wivu Bado ni maadui wakubwa sana hao wanaom-attack Glenn ukipata fursa ya kuwaona utakua ni mtu kahitimu geology mzumbe 2009 afu mpaka saiv hana ramani ni dalali Buguruni ila kwa sababu ya fake ID bas tutakoma
Kuna jamaa namjua ndo zake sijui alisoma course gn lkn ni Kati ya udom na mzumbe afu hakupataga ajira ko hua natumiaga mfano ule kutania watuHahaaaaaa
Geology mzumbe hahaaa kama nishaiona mahala pia humuhumu