Masalakulangwasa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 354
- 436
Sasa hivi nina 80yrs naomba hayo yatekee hata kesho nione kabla sijafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] jinga kweli weweSasa hivi nina 80yrs naomba hayo yatekee hata kesho nione kabla sijafa
Kaangalie vizuri ramani hiyo landlocked countryFinally DRC will no longer be land locked countries
Hiyo Bible imeandikwa na nani wewe mfia dini?Sisi tunaosoma Biblia na kuelewa NENO la MUNGU, tunasema that will never happen, haitakaa itokee.
Sababu ni kwamba, Biblia imetabiri matukio yote makubwa yatakayotokea duniani. Tukio la kugawanyika kwa bara la Africa ni tukio kubwa mno na halijatabiriwa kwenye Biblia.
Tukio kubwa lililotabiriwa ni tetemeko kubwa la ardhi litakaloikumba dunia yote kwa mara moja na kusababisha milima yote kudidimia na kufutika kabisa kwenye uso wa dunia. Pia, visiwa vyote vitatoweka sababu ya tetemeko hilo. Miji yote, majiji yote ya duniani yataanguka, majumba na maghorofa yote yatakaa chini.
Na baada ya tetemeko hilo kuu, ndipo KRISTO ataonekana akishuka kutoka mawinguni, akija na malaika wengi mno na sauti kuu ya parapanda itasikaka duniani kote.
Basi mkishavuta bangi zenu hizi stori zinawakaa kweri-kweriSisi tunaosoma Biblia na kuelewa NENO la MUNGU, tunasema that will never happen, haitakaa itokee.
Sababu ni kwamba, Biblia imetabiri matukio yote makubwa yatakayotokea duniani. Tukio la kugawanyika kwa bara la Africa ni tukio kubwa mno na halijatabiriwa kwenye Biblia.
Tukio kubwa lililotabiriwa ni tetemeko kubwa la ardhi litakaloikumba dunia yote kwa mara moja na kusababisha milima yote kudidimia na kufutika kabisa kwenye uso wa dunia. Pia, visiwa vyote vitatoweka sababu ya tetemeko hilo. Miji yote, majiji yote ya duniani yataanguka, majumba na maghorofa yote yatakaa chini.
Na baada ya tetemeko hilo kuu, ndipo KRISTO ataonekana akishuka kutoka mawinguni, akija na malaika wengi mno na sauti kuu ya parapanda itasikaka duniani kote.
Amini nakwambia, [emoji253][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ni vizuri kumjua Mungu na kuyaishi mapenzi yake, japo sio rahisi kiasi hichoo[emoji736][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590] hili ni jibu sahihi kabisa
Umenikumbusha mbali sana ile 'Biology' ya Kidato cha Kwanza!watabaki kina Plasmodium, ameoba, eugenia na wenzao kama hao nadhani na kina Chordata pia
Mawazo ya kumtawala tu mwenzioTanzania mletwe Rwanda tuwatumikishe
Nani kakwambia kuwa DRC ni landlocked country?Finally DRC will no longer be land locked countries
Kama Kila alichoumba sahihi, kwa nini tunakufa!? kwa nini tunazaliwa!????Sema Mungu wenu katiri sana na gaidi kwan hawez kufanya huo uharamia wake wa kuijenga dunia apendavyo bila kuharibu maisha ya watu na kuacha maumivu?
Emu acheni kumsingizia huyo Mungu, mambo mengine tumieni akili, majanga yanatokea sababu ya kijiografia na sio sababu za Mungu, yeye alishaumba hahusiki tena kuedit uumbaji wake, maana alishasema kila alichoumba ni sahihi so how arekebishe tena??
Elimikeni.
Leta picha tafadhari.
Hakutakuwa na rwanda wala burundi tena na kama vitabaki ni vipisi tu vya hizo nchi vyote vitamezwa na maji eneo lenye ukubwa wa kama kilometa 50 kila upande lita momozokea kwenye huo mpasuko na kumezwa na bahari mpyaTanzania mletwe Rwanda tuwatumikishe
Wakijitahidi sana ni majambazi, kinyume na hapo wanawake zao ni malaya wetuWatusi huku Nyakanazi, ushirombo, Kahama, Katoro, Geita na Kagera ni Vibarua tuu. Hawana la ziada
Wakijitahidi sana ni majambazi, kinyume na hapo wanawake zao ni malaya wetu
Siyo lake tanganyika tu bali eneo kubwa la ardhi lita potea kuwa sehemu ya bahari nchi kama burundi na rwanda zinaweza kumezwa na hiyo bahari mpya na mikoa ya kigoma nk ardhi yake kubwa ita mezwa na maji ....dalili kubwa ya kugawanyika ni kuanza kupungua kwa kina cha maji kwenye ziwa tanganyika kutakako tokana na mpasuko chini kwa chiniNini hatma ya mto congo maana naona lake Tanganyika halitakuwepo tena.