Njaa ishakupanda kichwani sasa karibia utaanza kuokota makopo.Mzee kafanya mambo makubwa sana ila kwenye barabara data ndio hizo,
Mama ni levels zingine kabisa mkuu,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
WATANZANIA AKILI ZITURUDI SASA,
Wale mnaolia na hayati kumbe miaka mitano mlijenga Km 1,004 tu za lami nchi nzima Mungu anawaona?
Hivi kumbe mlikuwa mnawapiga watu fix tu?
Ndio maana mnamwonea wivu mama kipenzi cha Watanzania kwa kufanya yale Watanzania wanataka,
Njooni tuungane tujenge nchi na chama chetu sioni ata haja ya Upinzani Tanzania,
Ndio kwa mara ya kwanza Ujenzi wa barabara,madaraja tunapewa pesa nyingi zaidi kwenye historia ya nchi hii ni kweli,
Mbataka nisimuunge mkono Rais wangu kwa lipi?
Inyeshe liwake nitakuwa na samia
Tukubali sasa tupo njiapandaPamoja na mapambio yote hayo na sifa za kijinga bado haieleweki mama anakusudia kutupeleka wapi, yaani hakuna mwelekeo.
TwaaaafwaaaaaBoss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.
Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.
Kazi iendelee
😆😆😆😆 Iliandalowa eeh,Mbona mnamuita bibi tozo? Kwa nini msimuite hivyo yule jamaa yenu?
Mnaweweseka na kuteseka Sana.
Hapa shilling inazidi kuimarika,soma sababu 👇
View attachment 1963770
It was a syndicate sio bahati mbaya ndio maana vyombo vya habari vilipigwa ban,wapinzani ban na alitaka kufungua hadi hizi social media.I like the man Msigwa. Kuna uwezekano haitakuja kutokea Setikali nyingine tena katika Historia ya nchi yetu, itakayokuja kuibiwa pesa kama iilivyoibiwa hii ya JPM.
Halafu ni hatari sana kwa Serikali kuibiwa pesa kwa kiwango hicho kwa sababu wanaoiba hizo hela wanajenga nguvu ambayo inaweza ikaja ikawawezesha siku moja hata kufanya mapinduzi. Kumbuka kuwa kwenye wizi huo unaweza kuwemo pia mtandao wa watu wengine ambo si raia wa nchi hii, au watu wanaofadhili pesa watu kwa ajili ya kuishi nje ya nchi, watu hao wakiwa kwenye harakati za kufanya mkakati wa kuja kuchukua madaraka ya nchi baadaye
Ningekubali kama ningekuwa na sifa,kuna sifa muhimu sana hapo sina.nataka tukupe waziri wa fedha wewe utakubali?
Mapesa yote haya njaa inatoka wapi we jamaa bure kabisa 👇Njaa ishakupanda kichwani sasa karibia utaanza kuokota makopo.
Mtaishia kuchungulia mafigure huku kwenu mnapiga pasi ndefu
Ni kwa sababu huna jibu.Mkuu naona unamatatizo zaidi ya huu mjadala,
Endelea na wengine Mimi No,
Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.
Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.
Kazi iendelee
Stupidity,
SGR km 1,000 unajenga wewe?
SG Rufiji unajenga wewe?
Barabara kila kona unajenga wewe,
Mishahara watumishi unalipa wewe?
Ndege unanunua wewe?
Chanjo unaagiza wewe?
Meli unanunua wewe?
Elimu bure unatoa wewe,
Madarasa elfu 15 unajenga wewe?
Vituo vya afya 220 unajenga wewe?
Viwanja vya kimataifa ikiwemo Msalato unajenga wewe,
Bil 500 Za HESLB unatoa wewe?
Ajira elfu 56 unaajiri wewe?
Acha ukichaa tumia akili vizuri
Acha umalaya wa kisiasa hizo sgr na miradi mikubwa yote pesa ilikuwa imetafutwa muda mrefu tu . Kipande kile wachina walikuwa tayari kwenye mazungumzoStupidity,
SGR km 1,000 unajenga wewe?
SG Rufiji unajenga wewe?
Barabara kila kona unajenga wewe,
Mishahara watumishi unalipa wewe?
Ndege unanunua wewe?
Chanjo unaagiza wewe?
Meli unanunua wewe?
Elimu bure unatoa wewe,
Madarasa elfu 15 unajenga wewe?
Vituo vya afya 220 unajenga wewe?
Viwanja vya kimataifa ikiwemo Msalato unajenga wewe,
Bil 500 Za HESLB unatoa wewe?
Ajira elfu 56 unaajiri wewe?
Acha ukichaa tumia akili vizuri
Tatizo ni ubora wa barabara hizo, pia madeni makubwa zaidi kwa raia maskini.Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21
Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,
Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1963497
Acha umalaya wa kisiasa hizo sgr na miradi mikubwa yote pesa ilikuwa imetafutwa muda mrefu tu . Kipande kile wachina walikuwa tayari kwenye mazungumzo
Huyo ubayemsifia hakuna kitu cha maana kafanya kwa hii miezi na hakuna haki ya kujifanyaa mnaponda jpm mbwaa nyiee
Labda bi mkubwa tumpe muda anaweza kufanya vizur tu huko mbeleni
We mpuuzi nyamaza kila siku kelele tu!Nimegundua kuna mambo mengi sana wewe huyajui,
SGR ilisimama naona hauko unformed nikuache,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Tatizo ni ubora wa barabara hizo, pia madeni makubwa zaidi kwa raia maskini.
We mpuuzi nyamaza kila siku kelele tu!
Atakuwa Makolokocho huyo!Ukiitwa upotolo itika bila kusita