Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Mzee kafanya mambo makubwa sana ila kwenye barabara data ndio hizo,

Mama ni levels zingine kabisa mkuu,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Njaa ishakupanda kichwani sasa karibia utaanza kuokota makopo.
 
WATANZANIA AKILI ZITURUDI SASA,

Wale mnaolia na hayati kumbe miaka mitano mlijenga Km 1,004 tu za lami nchi nzima Mungu anawaona?

Hivi kumbe mlikuwa mnawapiga watu fix tu?
Ndio maana mnamwonea wivu mama kipenzi cha Watanzania kwa kufanya yale Watanzania wanataka,

Njooni tuungane tujenge nchi na chama chetu sioni ata haja ya Upinzani Tanzania,

Ndio kwa mara ya kwanza Ujenzi wa barabara,madaraja tunapewa pesa nyingi zaidi kwenye historia ya nchi hii ni kweli,
Mbataka nisimuunge mkono Rais wangu kwa lipi?

Inyeshe liwake nitakuwa na samia


zimeturudi tayari
 
Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.

Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.

Kazi iendelee
Twaaaafwaaaaa
 
I like the man Msigwa. Kuna uwezekano haitakuja kutokea Setikali nyingine tena katika Historia ya nchi yetu, itakayokuja kuibiwa pesa kama iilivyoibiwa hii ya JPM.

Halafu ni hatari sana kwa Serikali kuibiwa pesa kwa kiwango hicho kwa sababu wanaoiba hizo hela wanajenga nguvu ambayo inaweza ikaja ikawawezesha siku moja hata kufanya mapinduzi. Kumbuka kuwa kwenye wizi huo unaweza kuwemo pia mtandao wa watu wengine ambo si raia wa nchi hii, au watu wanaofadhili pesa watu kwa ajili ya kuishi nje ya nchi, watu hao wakiwa kwenye harakati za kufanya mkakati wa kuja kuchukua madaraka ya nchi baadaye
It was a syndicate sio bahati mbaya ndio maana vyombo vya habari vilipigwa ban,wapinzani ban na alitaka kufungua hadi hizi social media.

Alianza kutusaka sisi tuliokuwa kinyume.Unadhani zile kauli za kusema saizi ni zamu yetu nyie tulieni kwamba zilikuwa za bahati mbaya?

Walichagua miradi mikubwa ambyo ndio rahisi kupiga na kuwa fool idiots wengi wa nchi hii.
 
Njaa ishakupanda kichwani sasa karibia utaanza kuokota makopo.
Mapesa yote haya njaa inatoka wapi we jamaa bure kabisa 👇

2950557_1633242460550.jpeg
 
Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.

Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.

Kazi iendelee


Stupidity,

SGR km 1,000 unajenga wewe?

SG Rufiji unajenga wewe?

Barabara kila kona unajenga wewe,

Mishahara watumishi unalipa wewe?

Ndege unanunua wewe?

Chanjo unaagiza wewe?

Meli unanunua wewe?

Elimu bure unatoa wewe,

Madarasa elfu 15 unajenga wewe?

Vituo vya afya 220 unajenga wewe?

Viwanja vya kimataifa ikiwemo Msalato unajenga wewe,

Bil 500 Za HESLB unatoa wewe?

Ajira elfu 56 unaajiri wewe?

Acha ukichaa tumia akili vizuri
 
Stupidity,

SGR km 1,000 unajenga wewe?

SG Rufiji unajenga wewe?

Barabara kila kona unajenga wewe,

Mishahara watumishi unalipa wewe?

Ndege unanunua wewe?

Chanjo unaagiza wewe?

Meli unanunua wewe?

Elimu bure unatoa wewe,

Madarasa elfu 15 unajenga wewe?

Vituo vya afya 220 unajenga wewe?

Viwanja vya kimataifa ikiwemo Msalato unajenga wewe,

Bil 500 Za HESLB unatoa wewe?

Ajira elfu 56 unaajiri wewe?

Acha ukichaa tumia akili vizuri



Nakataa wewe sio kichaa
 
Stupidity,

SGR km 1,000 unajenga wewe?

SG Rufiji unajenga wewe?

Barabara kila kona unajenga wewe,

Mishahara watumishi unalipa wewe?

Ndege unanunua wewe?

Chanjo unaagiza wewe?

Meli unanunua wewe?

Elimu bure unatoa wewe,

Madarasa elfu 15 unajenga wewe?

Vituo vya afya 220 unajenga wewe?

Viwanja vya kimataifa ikiwemo Msalato unajenga wewe,

Bil 500 Za HESLB unatoa wewe?

Ajira elfu 56 unaajiri wewe?

Acha ukichaa tumia akili vizuri
Acha umalaya wa kisiasa hizo sgr na miradi mikubwa yote pesa ilikuwa imetafutwa muda mrefu tu . Kipande kile wachina walikuwa tayari kwenye mazungumzo

Huyo ubayemsifia hakuna kitu cha maana kafanya kwa hii miezi na hakuna haki ya kujifanyaa mnaponda jpm mbwaa nyiee

Labda bi mkubwa tumpe muda anaweza kufanya vizur tu huko mbeleni
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
Tatizo ni ubora wa barabara hizo, pia madeni makubwa zaidi kwa raia maskini.
 
Acha umalaya wa kisiasa hizo sgr na miradi mikubwa yote pesa ilikuwa imetafutwa muda mrefu tu . Kipande kile wachina walikuwa tayari kwenye mazungumzo

Huyo ubayemsifia hakuna kitu cha maana kafanya kwa hii miezi na hakuna haki ya kujifanyaa mnaponda jpm mbwaa nyiee

Labda bi mkubwa tumpe muda anaweza kufanya vizur tu huko mbeleni


Nimegundua kuna mambo mengi sana wewe huyajui,

SGR ilisimama naona hauko informed nikuache,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Ahsante kwa kutujuza kuhusu bajeti na mipango kabambe ya awamu ya sita mkuu.

Naomba sasa tufahamishe tozo zetu zimefanya kitu gani kwa mtindo huu huu wa takwimu. Kwangu kuelezea kilichofanyika ni rahisi zaidi kuliko mipango.

Pia tumeambiwa na msemaji wa serikali, awamu iliyopita kuna wachache walijinufaisha na kodi, ni hatua zipi zimechukuliwa kuhakikisha hawatafuni tena pesa za umma?
 
Back
Top Bottom