Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

SASA kuna kigeni hapo zaidi kiburi cha Tozo tunazokamuliwa si ndio zinajenga hizo barabara.

Nachojua Mimi Ni kwamba Awamu hii tutegemee miradi mingi kujengwa chini ya Kiwango na pia nje ya wakati

There's a mass lack of effectiveness in this regime
 
Win win gani hiyo mnajadili miaka 6? Bila shaka Serikali ya Chief Hangaya iko makini maslahi yatazingatiwa .

But usitegemee 50/50 ndio ukajua ni win win situation hakuna kitu kama hicho..ukipata 20/80 na teknolojia,ajira na Kodi plus multiplier effects ni big progress hiyo ..
Hiyo hela inayoenda kulala pale ni pesa ndefu sana na tusipokuwa makini uenda miaka 30 ikapita hatujapata chochote zaidi tukiomba taarifa za mapato tunaletewa negative.
 
Sisi tupo huku Mwanza hizo lami zulizojengwa mwaka huu mbona hatuziona au zinajengwa Dar tu.
 
Barabara ya njia nane kutoka Kimara mpk Kibaha mumeshindwa kumlipa mkandarasi, wananchi wanapigwa vumbi barabara ya kutoka Na kuingia Stand ya Mbezi sbb ya ukosefu wa fedha Leo mnapraise ushubwada! Acheni kudemka, twambieni wapi mnatifua ardhi kuweka pavements?
 
SASA kuna kigeni hapo zaidi kiburi cha Tozo tunazokamuliwa si ndio zinajenga hizo barabara.

Nachojua Mimi Ni kwamba Awamu hii tutegemee miradi mingi kujengwa chini ya Kiwango na pia nje ya wakati

There's a mass lack of effectiveness in this regime

Hiyo lack of effectiveness unaipima wapi?

Kama watu wanakusanya 5.4trl kwa miezi 3,

Watu wanakuza uwekezaji kwa 400%

Watu wanaanzisha Universal Insurance for all nchi nzima,

Watu wanapanga kutumai 36.33trl kwenyse bajeti,

Tumieni akili zenu vizuri nyie thinkers
 
Barabara ya njia nane kutoka Kimara mpk Kibaha mumeshindwa kumlipa mkandarasi, wananchi wanapigwa vumbi barabara ya kutoka Na kuingia Stand ya Mbezi sbb ya ukosefu wa fedha Leo mnapraise ushubwada! Acheni kudemka, twambieni wapi mnatifua ardhi kuweka pavements?



Hii sio kweli mkuu,

Ufafanuzi unakuja,
 
Barabara ya njia nane kutoka Kimara mpk Kibaha mumeshindwa kumlipa mkandarasi, wananchi wanapigwa vumbi barabara ya kutoka Na kuingia Stand ya Mbezi sbb ya ukosefu wa fedha Leo mnapraise ushubwada! Acheni kudemka, twambieni wapi mnatifua ardhi kuweka pavements?


Mwanza sehemu gani?
 
Leteni Tume huru ya Uchaguzi , hakuna anekula barabara akashiba. Msitizunguwe
Kwani uchaguzi unakupa lishe? Watakao chaguliwa hata wakiwa wa chama chako, wakishafanikiwa hawakujui tena
 
SASA kuna kigeni hapo zaidi kiburi cha Tozo tunazokamuliwa si ndio zinajenga hizo barabara.

Nachojua Mimi Ni kwamba Awamu hii tutegemee miradi mingi kujengwa chini ya Kiwango na pia nje ya wakati

There's a mass lack of effectiveness in this regime

🚮🚮🚮
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
BARABARA YA MBAGALA NZASA MPAKA KWA MPALANGE IMESIMAMA ZAIDI YA MIEZI 3 WAKATI JPM ALIACHA FEDHA ZOTE ZA UJENZI, HALAFU UNALETA UONGO HAPA??????????
 
Hiyo lack of effectiveness unaipima wapi?

Kama watu wanakusanya 5.4trl kwa miezi 3,

Watu wanakuza uwekezaji kwa 400%

Watu wanaanzisha Universal Insurance for all nchi nzima,

Watu wanapanga kutumai 36.33trl kwenyse bajeti,

Tumieni akili zenu vizuri nyie thinkers


Wewe mtu ni mzalendo sana aise,

Hongera sana Sana
 
Back
Top Bottom