Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

BARABARA YA MBAGALA NZASA MPAKA KWA MPALANGE IMESIMAMA ZAIDI YA MIEZI 3 WAKATI JPM ALIACHA FEDHA ZOTE ZA UJEZI, HALAFU UNALETA UONGO HAPA??????????


Wakandarasi wako Site na jana gari yao imepata ajali,

Mpalange sio mtu mzuri
 
Nasikia Serikali anawasiliana na watoa huduma wa Facebook na Instagram na Whatsapp kuhakikisha wanarudisha hewani hiyo mitandaoooo....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakyanan nimecheka kishenz nilivyo msikia yule manara wao anaongea huu upupu na Media zinashadadia kabisa.


HOVYOOOOOO
 
Hiyo hela inayoenda kulala pale ni pesa ndefu sana na tusipokuwa makini uenda miaka 30 ikapita hatujapata chochote zaidi tukiomba taarifa za mapato tunaletewa negative.
Kwani serikali ndio inalaza hiyo pesa au wawekezaji?

Alafu extraction ni tofauti na production ,hapo ni viwanda vya kuzalisha gas ndio vitajengwa kwa hiyo kodi iko pale pale sio sawa na mgodi kwamba mtu anatafuta akipata hadi arudishe gharama zake.

Hata ikiwa hivyo unavyosema bado multiplier effects za kuwekeza dola bil.30 zitakuwa kubwa kwenye uchumi wa nchi.
 
Stupidity,

SGR km 1,000 unajenga wewe?

SG Rufiji unajenga wewe?

Barabara kila kona unajenga wewe,

Mishahara watumishi unalipa wewe?

Ndege unanunua wewe?

Chanjo unaagiza wewe?

Meli unanunua wewe?

Elimu bure unatoa wewe,

Madarasa elfu 15 unajenga wewe?

Vituo vya afya 220 unajenga wewe?

Viwanja vya kimataifa ikiwemo Msalato unajenga wewe,

Bil 500 Za HESLB unatoa wewe?

Ajira elfu 56 unaajiri wewe?

Acha ukichaa tumia akili vizuri
Umepaniki ndugu, pole pole.

Ungependa tuzungumzie miradi ipi labda, ya kipindi cha kwanza cha awamu ya tano au kipindi cha pili cha awamu ya tano?

Hiyo miradi yote uliyoorodhesha, ainisha upi umeanza baada ya March 2021 na ipi ilikuwepo!

Hayo mengine kama kuna hata moja ni tangible mpaka sasa, ukiacha kulipa mishahara, njoo na mifano hai.

Madarasa yanayojengwa, 15,000 yanajengwa wapi? Ujenzi umeanza lini?

Barabara kila kona, ni kona gani hizo? Kuna mikoa ina barabara moja tu ya lami ya maana, Dar peke yake hakuna hizo barabara kila kona.

Mpaka sasa kuna ajira ngapi mpya zimetolewa ukiacha hizo za kuziba mapengo yaliyokuwepo kutokana na kustaafu, vifo, magonjwa, kuacha kazi, kutumbuliwa kwa vyeti feki n.k?

Chanjo mmekopa, ndege zimenunuliwa, tumeziona, HESLB si kweli, kuna madogo wengi hawana mikopo, hizo pesa mmewapa wakina January?

Vituo hivyo vya afya vinajengwa wapi? Ujenzi unaanza lini?

Airports, Meli, Bwawa ni vitu vilivyo kwenye utekelezaji tu, kama mtashindwa kuviendeleza kama mlivyotelekeza Stendi, barabara ya moro na moroco, mje mtupe sababu pia.

Zaidi ya hapo, nilisikia wanasema fikra pevu na ukada ni mbingu na ardhi.
 
Chawa kama chawa washaanza ,

Wanaumendea Tu mgongoni Kwa Rais ili wapate teuzi na mishahara minono minono

Hata wote waliopita walisema hivyo hivyo Ila wakienguliwa kwenye nyadhifa wanaanza kubwela bwela

Tanzania hii inamengi sana
 
Huyu jamaa anakosea sana kumcompare huyu samia na magufuli.hiyo bajeti aliyoipitisha samia iliandaliwa wakati yupo magufuli.

Sasa ,acha kushoboka bila mantiki.



Unanimcompare na wewe?

Hata Hayati Magufuli tulimcompare na Mzee Kikwete shida iko wapi?


Mnafahamu maana ya Comparative advantage au analysis?


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
I like the man Msigwa. Kuna uwezekano haitakuja kutokea Setikali nyingine tena katika Historia ya nchi yetu, itakayokuja kuibiwa pesa kama iilivyoibiwa hii ya JPM.

Halafu ni hatari sana kwa Serikali kuibiwa pesa kwa kiwango hicho kwa sababu wanaoiba hizo hela wanajenga nguvu ambayo inaweza ikaja ikawawezesha siku moja hata kufanya mapinduzi. Kumbuka kuwa kwenye wizi huo unaweza kuwemo pia mtandao wa watu wengine ambo si raia wa nchi hii, au watu wanaofadhili pesa watu kwa ajili ya kuishi nje ya nchi, watu hao wakiwa kwenye harakati za kufanya mkakati wa kuja kuchukua madaraka ya nchi baadaye
Ni kweli kabisa .
Kuna kundi dogo ndani ya CCM ,serikali na vyombo vya dola ambalo lilifanikiwa kukwapua Mali za umma kwa mgongo wa kuua upinzani .
Kwao maendelea na amani ya nchi ni kukosekana MTU wa kusema wazi wizi wa watu waliopewa dhamana.

Yaani kundi dogo ndani ya serikali na vyombo vya dola wakiona upinzania umefutika kwao ndio maeneleo mana hakuna tena wa kuishinikiza serikali.
Kumbe maendeleo yao binafsi ndiyo maendeleo ya nchi.
Maisha yao ya anasa ndiyo maisha bora ya watanzania.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Chawa kama chawa washaanza ,

Wanaumendea Tu mgongoni Kwa Rais ili wapate teuzi na mishahara minono minono

Hata wote waliopita walisema hivyo hivyo Ila wakienguliwa kwenye nyadhifa wanaanza kubwela bwela

Tanzania hii inamengi sana


Sawa kama mimi Chawa wewe kunguni,

Awamu ya sita ni fact tu hatutaki propaganda kabisa,

Mtajua hamjui tu
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
Walamba buti a.k.a wasifiaji wameshaanza!
 
Sawa kama mimi Chawa wewe kunguni,

Awamu ya sita ni fact tu hatutaki propaganda kabisa,

Mtajua hamjui tu
Yaani nyie walamba fiatu siyo kabisa

Unasifia weeeee mpaka Radha inapotea AWAMU sita unasema hamtaki hamtaki propaganda hiyo fact wewe unafanya nini

Wewe sema unasambaza Tu kilichowekwa huna lolote lako akitokea kesho karudisha tozo bado utasifia

Mwl nyerere aliposema Malaya Malaya hakukosea
 
Yaani nyie walamba fiatu siyo kabisa

Unasifia weeeee mpaka Radha inapotea AWAMU sita unasema hamtaki hamtaki propaganda hiyo fact wewe unafanya nini

Wewe sema unasambaza Tu kilichowekwa huna lolote lako akitokea kesho karudisha tozo bado utasifia

Mwl nyerere aliposema Malaya Malaya hakukosea


Nani kakuzuia kusifia?

Unataka wote tukosoe?

Jenga hoja acha kulalamika kama yatima,
 
Umepaniki ndugu, pole pole.

Ungependa tuzungumzie miradi ipi labda, ya kipindi cha kwanza cha awamu ya tano au kipindi cha pili cha awamu ya tano?

Hiyo miradi yote uliyoorodhesha, ainisha upi umeanza baada ya March 2021 na ipi ilikuwepo!

Hayo mengine kama kuna hata moja ni tangible mpaka sasa, ukiacha kulipa mishahara, njoo na mifano hai.

Madarasa yanayojengwa, 15,000 yanajengwa wapi? Ujenzi umeanza lini?

Barabara kila kona, ni kona gani hizo? Kuna mikoa ina barabara moja tu ya lami ya maana, Dar peke yake hakuna hizo barabara kila kona.

Mpaka sasa kuna ajira ngapi mpya zimetolewa ukiacha hizo za kuziba mapengo yaliyokuwepo kutokana na kustaafu, vifo, magonjwa, kuacha kazi, kutumbuliwa kwa vyeti feki n.k?

Chanjo mmekopa, ndege zimenunuliwa, tumeziona, HESLB si kweli, kuna madogo wengi hawana mikopo, hizo pesa mmewapa wakina January?

Vituo hivyo vya afya vinajengwa wapi? Ujenzi unaanza lini?

Airports, Meli, Bwawa ni vitu vilivyo kwenye utekelezaji tu, kama mtashindwa kuviendeleza kama mlivyotelekeza Stendi, barabara ya moro na moroco, mje mtupe sababu pia.

Zaidi ya hapo, nilisikia wanasema fikra pevu na ukada ni mbingu na ardhi.
Umepanic Sana sio kwa hili povu.

Miradi iliyoanza ni mingi Sana mfano airport ya Dodoma,logistics centers za kurasini na Ubungo,mabarabara nenda website ya Tanroads na Tarura watakuorodheshea..

Anauliza madarasa yanajengwa wapi? 😆😆 Una akili kweli wewe? Tembelea shule mbali mbali zenye upungufu utakuta ujenzi unaendelea..mimi Niko naweza kukupatia picha za ujenzi wa barabara na madarasa ukitaka.

Vituo vya afya Serikali ilishatoa orodha ya kata ambako vituo vinakojengwa sasa ni kazi yako kwenda au uwe unaangalia TV utaona..Juzi tuu hapo nimeona DC wa Serengeti,RC wa Mwanza na DC wa Handeni wakizimdua ujenzi wa vituo vya afya na ngoma juu wananchi wakifurahia,sasa wewe unaishi nchi gani?

Chanjo ni bure acha kupotosha,zinatolewa chini ya Mfuko wa covax wa kusaidia Mataifa maskini..Na awamu ya pili inakuja kutoka China wame donate yao hakuna shilingi iloyotoka kununua chanjo.

Watoto wote wenye vigezo wamepata mikopo bila kujali ukisoma shule gani,hao waliokopa hawana sifa kama wanazo wataje hapa .. Serikali haigawi fedha inatoa ikopo kwa wastahili.

Kuhusu ajira na kupandisha madaraja watumishi ndio usiseme ,maelfu ya ajira zimetolewa kuanzia walimu,manesi,madaktari,mapolisi,uhamiaji nk hizi ni zile kada zinaajiri mass employment lakini ajira kwenye sekta zingine zinaendelea kila siku tembelea tovuti ya utumishi utaona..

Mwisho ilikuaje miaka yote 6 hakuna hata mradi mmja mlikamilisha? Mlikuwa mnamsubili Samia?

Tunakamilisha miradi yenu na tunaanzisha mipya mingi zaidi tena yenye tija sio ya kukurupuka kama yenu.
 
Tusiangalie Bajeti tusubiri kuona kinachofanyika na hio Bajeti...., Inawezekana hizo Bajeti badala ya kujenga miundombinu zikajenga matumbo ya watu
 
Back
Top Bottom