Ili nigundue nini?Sawa ongeza iwe 20 for no reason
Asee probably mshahara utakuwa zaidi ya 2M au kuna biashara nyingine wafanya!!Bajeti yangu kwa mwezi na 1.2 m. Hapo ni gharama ya chakula home na kazini (mara nyingi kazini nabeba msosi) , mafuta ya gari, umeme, maji, mahitaji mengine ya nyumbani kama sabuni etc. Saloon natumia buku 4 kwa mwezi maana nina nywele fupi. Kama kuna michango mingine ndio inaenda hadi 1.5 m. Hapo silipi kodi ya nyumba. Nina familia ya watu 4.
Alisikika MLEVi MmojaAsubuhi chapati mbili na maharage 800
Mchana ugali dagaa 1000 kwa mama nitilie
Jioni maziwa au juice na matunda tunda 1000 au siku nyingine nabadilisha uji wa ulezi au maziwa au supu ya pweza na finyango mbili 1000 hapo kijiweni
Usiku wali nyama au wali samaki 2000
Jumla 4800
Nisipo pita jion kijiweni bajeti inakuwa 3800 kwa siku
Nilipika nyumbani basi ni buku 1000
Asee probably mshahara utakuwa zaidi ya 2M au kuna biashara nyingine wafanya!
NdioAsee probably mshahara utakuwa zaidi ya 2M au kuna biashara nyingine wafanya!!
Kwanin ?Hii formula yako niliijaribu ikafail kabsa nyumbani kwangu
Hujaweka bejeti yako, bali ulitamani iwe.Tsh 10,000/= Ila vitu vya msingi vyote viwepo,mchele,unga,maharage makande nyanya vitunguu carrot nk .
Kama una uwezo unachukua nyama 2Kg na samaki wa 20K unaweka kwenye friji unaacha wanajipangia wenyewe kwa bajet, kama unaishi mjini kununua ndizi za kutosha familia ni anasa siku wakipika ndizi wamix na wali siku zisogee.
Billionaire traders are the wealthiest traders in the world, earning more than 1.000.000.000 dollars from trade assets.Moja kati ya watu waongo waongo ni kundi la watu wanaotrade forex [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]njaaa Kama yote ila kutwa kushinda kwenye mahotel kupiga picha za kupost mitandaoni kuonesha wanakula bata kumbe maisha magumu jua linawawakia mpaka mfukoni ...!