92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
mhh kwenye huu uzi naona watu wanaalamika bei za vitu ila tatizo hamuongei na watu vizur kitu kama gas ni 51k dumu la mafuta 20lt ni 70k mchele safiiii umenyooka 1kg 2200 cjui nyie mnanunulia wapi bidhaa zenu ila nipende kuwaambia mjifunze kuongea na watu vizuri