BAKITA yaonya kuhusu maneno kama Famasiala na Fautani

Ila maneno ya kiarabu kama MUBASHARA wanakubali kufuta LIVE lililozoeleka
 
Naona Bakita wamesahau kwamba huwa kuna Lahaja za Msimu.

Wakitaka yasitumike inabidi kuongezea atakayeyatumia atachukuliwa hatua gani bila hivyo si ajabu hayo maneno yakatumika mara mbili ya hapo mwanzo.
 
Hawa BAKITA ni watumishi wa umma wanaolipwa na serikali?
 
Wachafuzi wa lugha wamepigwa pini...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…