RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 498
Waache ujinga hayo n maneno ya mtaani tu mbona yapo mengi TU? Watayazuia yote? Na kwa Sheria ipi? Fanyeni kaziBaraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .
Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Ulitakiwa uwa "CC" watetezi wa mambuzi wote.Cc: Mzee wa kupambania [emoji12]
Kama BAKITA wanauwezo wa kufunga watu pingu basi watangazaji wengi wa redio na Hata baadhi ya runinga watakuwa matatani!!!Watangazaji wa redio ya
Si kweli.Shida ni kwani, si ni Sawa na kusema I'll. Badala ya I will
Hakuna "wanetu" kwenye kiswahili, kuna wana wetu tu.Hivi wanetu hawanaga kazi huko ofisin au?
Exactly; similar to none for no one.Shida ni kwani, si ni Sawa na kusema I'll. Badala ya I will
Kiki tu hiyo..., unazuiaje mtu kuongea neno lisilo tusi wala dhihaka kwa yeyote?Baraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .
Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
au watoto wetuHakuna "wanetu" kwenye kiswahili, kuna wana wetu tu.
"Wanetu" ni kilugha.
Swali kwa BAKITABaraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .
Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .
Hapa kwenye none na no one; una njama za kuibua mjadala ndani ya mjadala!Exactly; similar to none for no one.
Haya ndio madhara ya watu kutokuwa na majukumu ya kuelewekaBaraza la Kiswahili nchini Tanzania (BAKITA) limepiga marufuku matumizi ya maneno mapya yaliyozuka hivi karibuni yanayotumiwa na Wasela wengi wa mjini na baadhi ya Watangazaji wa redio ya "FAMCHEZO na FAMASIHARA" badala FANYA MCHEZO na FANYA MASIHARA , Kutumika popote nchini Tanzania .
Marufuku hiyo inaanza mara moja , japo haijafahamika wale watakaokaidi watachukuliwa hatua zipi .