BAKITA yaonya kuhusu maneno kama Famasiala na Fautani

Kwanza kiswahilii sio lugha

Kwa kuwa hakuna kabila la kiswahili,
Sijui nimeeleweka????
Au niongeze sautiii
 
Hawana kazi hao Bakita.
Ni wapuuzi wameokotana wapumbavu wasio na akili wameketi kwenye baraza wanataka kile wanacho penda wao ndiyo kiwe na udini umejaa sana kwenye kukuza lugha
 
Mkuu rudi shule ukosome tena lugha ya kiswahili
 
Sijui itawashikia wapi watu wenye kawaida ya kuongea hivyo mitaani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…